TPA yaja na mkakati wa soko la DRC

Dar es Salaam. Baada ya mkakati wa maboresho kuongeza ufanisi wa utendaji wake, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) sasa imegeukia kuyasaka masoko, ikianza na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). DRC inachangia zaidi ya asilimia 40 ya mizigo yote inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam, kwa mujibu wa ripoti ya TPA ya…

Read More

Wachambuzi wataja sababu Tanzania kupaa maboresho ya utawala bora kidunia

Dar es Salaam. Wachambuzi wa masuala ya uongozi na utawala bora nchini wamesema mageuzi ya falsafa ya utawala yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kutatua changamoto zilizokuwapo awamu ya tano, yamechangia kupanda viwango kwenye kipimo cha utawala bora duniani. Kauli hiyo inakuja kufuatia ripoti ya Chandler Good Government Index (CGGI) 2025, iliyoonesha kuwa, Tanzania…

Read More

Mpango wa afya kwa wote waanza, 3,561 wakihitimu

Lindi. Safari ya kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma za afya bila vikwazo vya kiuchumi imeanza rasmi, baada ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii 3,561, kati ya 137,294 wanaotarajiwa nchi nzima, kuanza kutoa huduma baada ya kupatiwa mafunzo na vitendea kazi. Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Grace Magembe, amesema hayo leo, Jumatatu, Septemba 8, 2025,…

Read More

UN tayari kusaidia Nepal kufuatia maandamano mabaya juu ya marufuku ya media ya kijamii – maswala ya ulimwengu

Polisi walitumia gesi ya machozi na kufungua moto kwa waandamanaji kujaribu kujaribu kutikisa Bunge katika mji mkuu, Kathmandu, kulingana na ripoti za vyombo vya habari. Kutengwa kwa watu kumewekwa katika sehemu za jiji na Rupandehi, na vizuizi kwa harakati zenye ufanisi katika Pokhara. ‘Kwa hivyo tofauti na Nepal’ Mratibu wa mkazi wa UN, Hanaa Fikry…

Read More

Morocco yaibeba Stars, ikiifumua Zambia

LICHA ya kuwa nchi ya kwanza kufuzu fainali za Kombe la Dunia za 2026, Morocco jioni hii imeifumua Zambia ikiwa kwao kwa mabao 2-0 na kuilainishia Tanzania kumaliza nafasi ya pili katika Kundi E. Mabao yaliyofungwa kila moja kipindi kimoja katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja la Levy Mwanawasa, jijini Ndola, lilififisha tumaini la wenyeji…

Read More

Makamba alivyowaaga Bumbuli, amnadi Samia na mgombea ubunge

Tanga. Ni furaha na huzuni vilitawala wakati aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga, January Makamba aliposimama kwenye jukwaa kuwaafa wananchi hao baada ya kuwatumikia kwa miaka 15. Huzuni na furaha hiyop ulitokana na baadhi ya wananchi kueleza jinsi wanavyokumbuka nyakati za shida na raha wakati Makamba alipokuwa akiwatumikia ndani ya miaka hiyo. Pamoja…

Read More