Kifo cha fundi ujenzi chazua utata Mirerani

Mirerani. Fundi ujenzi wa nyumba Mtaa wa Msikiti, Mji Mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, Salimu Kijuu (42) amefariki dunia huku kifo chake kikidaiwa kuwa na utata, baada ya mwili wake kukaa ndani kwa zaidi ya siku tatu bila kujulikana. Mwili wa marehemu umegundulika Septemba 7,  2025 saa 7 mchana baada ya eneo alilokuwa…

Read More

Lissu aibua mapya kesi yake ya uhaini

Dar es Salaam. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, imeshindwa kuendelea kusikilizwa katika hatua ya awali kama ilivyokuwa imepangwa. Hali hiyo imesababishwa na mambo mapya yaliyojitokeza, ikiwamo suala la jopo la majaji na Lissu kumkataa wakili aliyeteuliwa na Mahakama kumwakilisha. Katika kesi hiyo, Lissu anakabiliwa na shtaka…

Read More

Mgombea  Urais CCK aahidi kukomesha njaa nchini

Arusha. Mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele, ameahidi akipewa ridhaa ya kuongoza, atahakikisha anakomesha njaa kwa Watanzania, ikiwemo kuanzisha mashamba makubwa na kusambaza chakula kwa wananchi pamoja na kutoa ajira. Mgombea huyo ametoa ahadi hiyo leo Jumatatu, Septemba 8, 2025, akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Soko Kuu Arusha. “Tunataka…

Read More

ADC yaahidi kuondoa kodi zana za uvuvi, kilimo

Mwanza. Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema kikipewa ridhaa ya kuongoza nchi kitaondoa kodi na ushuru kwenye zana za uvuvi na pembejeo za kilimo, hatua inayolenga kurahisisha uzalishaji na kuongeza kipato cha wavuvi pamoja na wakulima wadogo. Akinadi sera za chama hicho leo, Jumatatu, Septemba 8, 2029, kwa wakazi wa Buchosa, Wilaya ya…

Read More

CRDB yakamilisha uboreshaji wa mfumo, Dubai ukikaribia

Dar es Salaam. Benki ya CRDB Plc imekamilisha mchakato wa kuhamia katika mfumo mpya wa kibenki, hatua inayofungua njia ya kupanu huduma zake kikanda, ikiwamo kufungua tawi Dubai mwishoni mwa mwaka huu. Benki hiyo ya Kitanzania, ambayo pia ina matawi tanzu nchini Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imehama kutoka Mfumo wa Fusion…

Read More

Nangu afichua ishu yote Simba

BEKI mpya wa kati wa Simba, Wilson Nangu bado hajaungana na timu hiyo tangu alipotangazwa kutua hapo, lakini anajua kesho Jumatano katika tamasha la Simba Day itakuwa ni fursa yake kuungana na wenzake na kutambulishwa mbele ya mashabiki na anajua shoo ya tamasha hili ilivyo. …

Read More

Dirisha la kuzuia njaa kuenea huko Gaza ni ‘kufunga haraka’, Un anaonya – maswala ya ulimwengu

Taarifa ya Tom Fletcher huku kukiwa na kile alichoelezea kama “kijeshi kikubwa cha kijeshi” na vikosi vya Israeli dhidi ya Wapalestina katika Jiji la Gaza, na kutofaulu kwa mazungumzo ya kusitisha mapigano na wanamgambo wa Hamas. Mwisho wa Septemba Familia itakuwa imeenea katika Deir al Balah na Khan Younis, alisema, isipokuwa kuna utitiri mkubwa wa…

Read More

Hatima ya Mpina yabaki mikononi mwa majaji kwa siku tatu

Dodoma. Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma itatoa uamuzi wake Alhamisi, Septemba 11, 2025, katika kesi inayomhusu aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT–Wazalendo, Luhaga Mpina, dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kesi hiyo ipo mbele ya jopo la majaji watatu, Abdi Kagomba, Evaristo Longopa, na…

Read More

Makada sita wa Chadema washikiliwa na Polisi Mbeya

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia makada sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko isiyo halali na kupanga kufanya maandamano. Maandamano hayo yalipangwa kufanyika jana, Jumapili, Septemba 7, 2025, nchini kote, ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Mashujaa kimkoa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga, ameliambia…

Read More