Polisi waimarisha ulinzi, kesi ya Lissu Mahakama Kuu Dar

Dar es Salaam. Wakati Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akitarajia kupandishwa kizimbani leo katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizwaji wa hoja au maelezo ya awali ya kesi ya uhaini inayomkabili, ulinzi umeimarishwa kuanzia nje, getini hadi ndani ya Mahakama. Ulinzi huo umeimarishwa na askari…

Read More

Baharia anayeamini 2025 ni zamu yake kuwa Rais

Mambo mengi yanajenga kumbukumbu kuhusu Mei 18, 1966. Chombo cha anga cha Surveyor 1, kilichobuniwa na kuundwa na Shirika la Sayansi ya Anga la Marekani (Nasa), kilitua kwa mara ya kwanza mwezini kwa majaribio. Kwa Canada, ni kumbukumbu mbaya kwani magaidi walilipua jengo kuu la Bunge la nchi hiyo kwa mabomu yaliyotegwa. Kinyota, Mei 18…

Read More

Adarus Walii aingiza sokoni filamu mpya “Mke wa Mama”

Na Mwandishi Wetu MUONGOZAJI wa filamu nchini Tanzania, Adarus Walii ambaye pia ni msanii, ameingiza sokoni filamu yake inayojulikana kwa jina la ‘Mke wa Mama’ hivi karibuni katika mitandao mbalimbali ya kijamii ukiwemo ‘YouTube’. Walii amewahi kutamba na filamu mbalimbali kama ‘Muuza Genge’, ‘Aisha’, ‘Namtaka Mwanangu’, ‘Bondo DSM’, ‘Slay Queens’ na ‘Mapenzi na Muziki ambazo…

Read More

Shambulio la Urusi laua wanne, lajereuhi 18 Ukraine

Kyiv, Ukraine. Watu wanne, akiwemo mama na mtoto mchanga, wamefariki dunia huku wengine 18 wakijeruhiwa kufuatia shambulio la anga lililofanywa na vikosi vya Urusi nchini Ukraine. Kwa mujibu wa Meya wa Kyiv, Vitali Klitschko, mashambulizi hayo yamefanyika usiku wa kuamkia leo, yakihusisha ndege zisizo na rubani na kufuatiwa na makombora yaliyolenga maeneo ya makazi Klitschko…

Read More

Mukwala anahesabu saa tu Msimbazi

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja…

Read More

Kachwele aanza na kishindo Marekani

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Cyprian Kachwele anayekipiga Whitecaps FC 2 amesema amekuwa na wakati mzuri tangu alipotoka kwenye kipindi cha kuuguza majeraha ya nyama za paja mwezi Juni mwaka huu. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC, huu ni msimu wake wa pili Marekani na uliopita akiwa…

Read More

NIRC Yaridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Wa Skimu Ya Makwale-Kyela – Global Publishers

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Miundombinu, Mhandisi Leopord Runji, imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ikiwemo ujenzi wa skimu ya Umwagiliaji Makwale, iliyopo Kyela mkoani Mbeya. Katika ziara hiyo Mhandisi Runji ameeleza kuridhishwa na kazi inayoendelea na kumtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kuongeza nguvu ili kukamilisha…

Read More

Wananchi watahamaki kupatwa kwa mwezi Dar

Dar es Salaam. Jana, Jumapili Septemba 7, 2025, Tanzania ilishuhudia tukio adimu la kupatwa kwa mwezi ambalo limeacha simulizi tofauti miongoni mwa wananchi. Wakati baadhi ya makundi yalionekana kujikusanya mitaani kushuhudia kwa mshangao anga likibadilika na mwezi kufunikwa kwa kivuli cha dunia, wengine walihisi hofu kubwa na kujifungia ndani kwa imani kuwa ni ishara ya…

Read More

Kocha BK Hacken amsifU Sabri

KWENYE moja ya mahojiano, kocha wa BK Hacken, Sven-Agne Larsson, amemtaja kiungo mshambuliaji wa Kitanzania, Sabri Kondo, kuwa mmoja wa wachezaji wenye njaa ya mafanikio. Sabri, ambaye msimu uliopita alicheza Coastal Union kwa mkopo, awali alienda katika timu hiyo inayokamata nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi ya Sweden, ikicheza mechi 17 na kukusanya pointi…

Read More