Thamani ya Yanga yaizidi hadi Al Ahly

MWENYEKITI wa Kamati ya Mabadiliko ya Mfumo wa Uendeshaji wa Klabu ya Yanga, Alex Mgongolwa, amesema kwa sasa thamani ya timu hiyo imefikia kiasi cha Sh100 bilioni. Thamani hiyo ni kubwa kuliko hata iliyo nayo klabu ya Al Ahly ambayo ni Euro 30 Milioni ambao ni zaidi ya Sh 88 bilioni) ikiwa ni zaidi ya…

Read More

Wiki mbili tu, hati ya uwanja mpya Yanga freshi

YANGA imehakikishiwa kuwa, ndani ya wiki mbili tu itakabidhiwa rasmi hati ya ongezeko la eneo la ujenzi wa uwanja unaotarajiwa kujengwa makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa Jangwani. Eneo hilo awali ndiko ulikokuwa Uwanja wa Kaunda ulioifanya Yanga kuwa klabu ya kwanza kumiliki uwanja kabla ya mambo kuwatibukia na kuhaha kuurejesha, ila kikwazo ilikuwa…

Read More

WanaCCM Same Mashariki watakiwa kuvunja makundi

Same. Mgombea mteule wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Bushiri, amewataka wanachama wa chama hicho katika Jimbo la Same Mashariki kuvunja makundi na kuungana kwa pamoja ili kuhakikisha wagombea wa CCM wanashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Bushiri ametoa wito huo alipozungumza katika mkutano…

Read More

DK. NCHIMBI APAA KWA HELIKOPTA KUSAKA KURA ZA CCM KAGERA

MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, leo Septemba 7, 2025, ameruka kwa helikopta akizisaka kura za kishindo za CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Balozi Dk. Nchimbi ameanza ziara yake ya kampeni Mkoani Kagera kwa kishindo, ambapo atafanya mikutano katika…

Read More

TANZANIA KUSHUHUDIA KUPATWA KWA MWEZI KIKAMILIFU LEO

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeeleza kuwa, Septemba 7,2025 kunatarajiwa kuwepo kwa tukio la kupatwa kwa Mwezi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Septemba 6,2025 na TMA imefafanua kuwa,hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa Mwezi….

Read More

Dk Msolla ashindwa kuvumilia, atoa tano kwa kina Hersi

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Yanga, Dk Mbete Mshindo Msolla, ameshindwa kuvumilia na kuumwagia pongezi uongozi wa timu hiyo kwa kazi kubwa waliyoifanya hadi sasa, huku akiwaomba wanachama kuendelea kushikamana kwa ajili ya mafanikio zaidi. Akizungumza katika mkutano mkuu wa Yanga unaofanyika kwenye Ukumbi wa Super Dome Masaki, Dk Msolla amesema siri ya timu hiyo kufanya vizuri…

Read More

Manji akumbukwa mkutano wa Yanga

ALIYEKUWA mfanyabiashara na mdhamini wa Yanga, Yusuf Manji amepewa heshima katika mkutano mkuu wa klabu hiyo unaoendelea kwenye Ukumbi wa Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam. Mkutano huo wa kawaida wa mwaka unafanyika leo ukiwa na ajenda 10, lakini kubwa ni mipango mkakati kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-26. Manji…

Read More

Kocha Yanga ameshindikana, agoma kutabasamu 

KOCHA wa Yanga, Romain Folz ni kama kashindikana katika ishu ya kucheka, kwani mapema leo asubuhi amekuwa gumzo katika mkutano mkuu wa klabu hiyo, baada ya kugoma kabisa kutabasamu kwenye majaribio mawili tofauti aliyofanyiwa na wanajangwani. Iko hivi. Folz ametua na benchi la ufundi katika mkutano mkuu huo unaofanyika kwenye Ukumbi wa Super Dome, Masaki…

Read More