DKT NCHIMBI ATOA AHADI UPANUZI MAEGESHO KIVUKO CHA MAGOGONI PAMOJA NA KIGAMBONI’
Na Mwandishi Wetu MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Joh Nchimbi leo Septemba 28,2025 amefanya mkutano mkubwa wa kampeni katika Uwanja wa Mwenbe Yanga jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo,Dkt.Nchimbi pia alipata nafasi ya kuwanadi baadhi ya wagombea Ubunge wa mkoa…