27 wajitosa mbio za magari za Afrika

MADEREVA 27 wa Tanzania walikuwa wamejiorodhesha kushiriki raundi ya tano ya ubingwa wa mbio za magari barani Afrika hadi kufikia mwishoni mwa juma kabla ya mbio hizo kutimua vumbi katikati ya mwezi huu mkoani Morogoro. Mbio hizo zinajulikana kama Mkwawa Rally of Tanzania na zitafanyikia kwenye hifadhi ya msitu wa Mkundi mkoani Morogoro kati ya…

Read More

MBETO :AMANI NA UMOJA FUNGUO ZA MILANGO YA MAENDELEO

::::::” Na Mwandishi wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi kimesema hakitaacha kuzihimiza Serikali zake zizidishe mkazo na kuhakikisha hakuna mtu au kikundi chochote kinachoweza kuvuruga Amani na Umoja.  Vile vile chama hicho kimefichua siri ya kupatikana kwa maendeleo ya haraka katika Awamu ya Nane Zanzibar ni kuwepo kwa Ustawi wa Amani na Utulivu . Hayo yamebainishwa…

Read More

MARY CHATANDA AMUOMBEA KURA DK.SAMIA MKURANGA, AMPIGIA DEBE ULEGA MKURANGA

Na Mwandishi Wetu,Mkurunga  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mary Chatanda amesema Chama hicho  kimewateua wagombea wanaokubalika kuelekea Uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Hivyo amesema jukumu kubwa la wananchi ni kuhakikisha wanawachagua wagombea wa Chama hicho kuanzia nafasi ya Urais ,wabunge na madiwani kwa  kuwapa…

Read More

ABDALLAH ULEGA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE KWA KISHINDO JIMBO LA MKURANGA

  Amuombea kura mgombea Urais CCM Dk.Samia …agusia Katiba Mpya Na Mwandishi wetu, MGOMBEA Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Alhaj Abdallah Ulega amewataka watanzania kama wanataka katiba mpya basi wanapaswa kumchagua Dkt Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Amesema hata katika uzinduzi wa kampeni kitaifa zilizofanyika jijini Dar…

Read More

Kinachosubiriwa leo kesi ya Mpina kuenguliwa urais ACT- Wazalendo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma leo Jumatatu, Septemba 8, 2025 inahitimisha usikilizaji shauri la kuenguliwa kwa mgombea urais aliyeteuliwa na Chama cha ACT-Wazalendo kupeperusha bendera yake katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, utakaofanyika Oktoba 29. Awali Mahakama hiyo ilielekeza shauri hilo lisikilizwe kwa njia ya maandishi na mawakili wa pande zote waliwawasilisha…

Read More