Majaliwa aitaja miradi mitano mikubwa akizindua kampeni Mchinga

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amewahakikishia wananchi wa Lindi kuwa miradi mbalimbali ya maendeleo itaendelea kutekelezwa endapo watamchagua mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29,2025. Amesema miradi hiyo ni pamoja na gesi, bandari ya uvuvi Kilwa, ujenzi upya wa barabara ya Dar es Salaam–Lindi,…

Read More

Itutu: Tutauza gesi kwa Sh3,000, kukomesha ufisadi na rushwa

Mwanza. Mgombea ubunge wa Ilemela kwa tiketi ya chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, amesema akiingia madarakani yeye na chama chake watafanya mapinduzi makubwa kuboresha maisha ya Watanzania, ikiwemo kushusha gharama za gesi ya kupikia, kutatua changamoto ya maji, kujenga uwanja wa soka mkoani Mwanza na kupambana na ufisadi na rushwa. Itutu…

Read More

Polisi walivyoyazima maadhimisho ya Chadema

Dar/Mikoani. Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hayakufanyika, baada ya viongozi wake wa ngazi ya kanda kujikuta mikononi mwa polisi, huku wengine wakizuiliwa kufika eneo la tukio. Hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, kuzungumzia matukio hayo, simu yake iliita bila kupokelewa, na hata alipotumiwa…

Read More

Jeshi la Polisi lilivyoyazima maadhimisho ya Chadema

Dar/Mikoani. Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hayakufanyika, baada ya viongozi wake wa ngazi ya kanda kujikuta mikononi mwa polisi, huku wengine wakizuiliwa kufika eneo la tukio. Hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, kuzungumzia matukio hayo, simu yake iliita bila kupokelewa, na hata alipotumiwa…

Read More

Yanga kutumia Sh 33 Bilioni msimu ujao

YANGA imetangaza itatumia kiasi cha Sh 33 Bilioni kwa msimu ujao wa 2025-2026 kuhakikisha wanaendelea kutamba. Akitangaza bajeti hiyo Makamu wa Rais wa Yanga Arafat Haji amesema bajeti hiyo ni ongezeko la kama Sh 8 bilioni kulinganisha na bajeti ya Sh 25.3 Bilioni ya msimu uliopita. Arafat amesema katika bajeti ya msimu uliopita, Yanga ilibaki…

Read More

City FC Abuja mabingwa Tanzanite Pre-Season International

MASHINDANO ya Tanzanite Pre-Season International yamehitimishwa leo Septemba 7, 2025 kwa City FC Abuja kuwa mabingwa. City FC Abuja kutoka Nigeria, imetwaa ubingwa huo kufuatia ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Namungo ya Ruangwa mkoani Lindi. Katika mchezo huo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, dakika tisini zilimalizika kwa…

Read More

Watu wawili wafariki ajali ya basi na lori Shinyanga

Shinyanga. Madereva wawili wa Fuso na basi aina ya Tata wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea barabara kuu ya Tinde–Isaka, eneo la Tarafa ya Itwangi, Kijiji cha Nyashimbi. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema chanzo ni uzembe wa dereva wa basi.  Amesema ajali hiyo ilitokea Septemba 6, 2025 majira…

Read More

Kasi ya mikopo inapungua, sekta nyingine zinakua

Dar es Salaam. Wakati ukuaji wa mikopo kwa shughuli za kiuchumi ukiendelea kuwa chanya, takwimu mpya zinaonesha kasi yake inapungua, huku baadhi ya sekta zikionekana kupata mwendo wa kasi na nyingine zikibaki nyuma. Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha kuwa katika mwaka ulioishia, mikopo kwa sekta binafsi ilikua kwa asilimia 15.9, ikipungua kutoka…

Read More