VIONGOZI AFRIKA MASHARIKI WAAHIDI KUKABILIANA NA UVUVI HARAMU

  Katika kujenga mshikamano wa kikanda, viongozi wa serikali, wataalamu wa masuala ya bahari na uvuvi, viongozi wa jamii na wanaharakati wa uhifadhi wa mazingira ya pwani wameweka saini makubaliano ya kihistoria ya kuimarisha ushirikiano katika mapambano dhidi ya Uvuvi Haramu, Usioripotiwa na Usiodhibitiwa katika maji ya Afrika Mashariki. Makubaliano haya yamefikiwa kupitia Kongamano la Sauti…

Read More

Ushindi wampa jeuri Maximo | Mwanaspoti

KOCHA wa KMC, Márcio Máximo amesema ushindi wa mabao 3-2 walioupata dhidi ya Mlandege katika mechi yao ya kwanza wa mashindano ya Cecafa Kagame ni sehemu ya mchakato wa kukijenga zaidi kikosi hicho. Máximo alieleza alifurahishwa na nidhamu ya wachezaji wake kwa dakika 80 za mwanzo, lakini alikiri dakika 10 za mwisho walipoteza umakini na…

Read More

Magereza Mbeya walivyofanikiwa kuacha kuni, mkaa

Mbeya. Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya limesema tangu kuanza matumizi ya nishati safi, limepata unafuu wa kupunguza gharama, kuokoa muda na kutoa mwanga katika uhifadhi na utunzaji mazingira, huku likieleza mkakati wa kuwafikia wananchi kuondokana na nishati chafu ya kupikia. Mkuu wa Gereza la Ruanda Mbeya, Christopher Fungo anasema tangu mwaka jana, gereza hilo…

Read More

Mtoko wa Simba, Yanga 2025-26 uko hivi

POINTI 82 ilizovuna katika mechi 30 ilizocheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 zilitosha kuwafanya Yanga kunyakua ubingwa wa nchi kwa msimu wa nne mfululizo. Katika mechi hizo 30, Yanga iliibuka na ushindi mara 27, ilitoka sare mara moja na kupoteza mbili, huku ikifunga mabao 83 na kufungwa 10, hivyo ilikuwa na chanya…

Read More

Ulaji maini kupita kiasi watajwa hatari kwa mjamzito

Geita. Maini ni miongoni mwa vyakula vinavyosifika kwa kuwa na virutubisho vingi muhimu, ikiwemo chuma, protini na vitamini A. Hata hivyo, kwa mama mjamzito, ulaji wa maini kupita kiasi unaweza kusababisha madhara makubwa kwa mtoto tumboni. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), vitamini A aina ya retinol ikizidi mwilini hasa wakati wa ujauzito,…

Read More

Dk Biteko kuongoza waombolezaji maziko ya Askofu Shao

Moshi. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amewasili katika  Usharika wa Lole Mwika, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuungana na mamia ya waombolezaji katika ibada ya  Maziko ya  Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Dk Martin Shao (86). Maziko ya Askofu Shao yanafanyika leo, Septemba…

Read More