Mgombea urais DP: Niikichaguliwa nitafunga mipaka niwashukulikie kwanza mafisadi

Musoma. Mgombea urais kupitia Chama cha Democratic (DP), Abdul Mluya amesema kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa Tanzania, hatua yake ya kwanza itakuwa kufunga mipaka ya nchi ili kuwazuia waliopo ndani wasitoroke, kwa lengo la kuwachukulia hatua mafisadi waliotafuna fedha za walipa kodi. Hata hivyo, Mluya hakufafanua jinsi atakavyowachukulia hatua mafisadi, ila alisema mipaka ikifungwa, watakaozuiwa…

Read More

Samia aahidi kukamilisha miradi iliyoombwa na Msuya Kilimanjaro

Kilimanjaro. Mgombe urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Kilimanjaro akiahidi kukamilisha miradi mikubwa miwili wilayani Mwanga aliyoombwa na aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya. Miradi hiyo ni wa maji Same-Mwanga Korogwe wenye thamani ya Sh304.4 bilioni ulioweza kupandisha upatikanaji wa maji kutoka asilimia 75 hadi asilimia 85 na ule wa…

Read More

DK SAMIA:TUTAIMARISHA UKUSANYAJI MAPATO KUEPUKA MIKOPO NA MISAADA YA MANYANYASO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kilimanjaro  MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali itaendelea kuongeza makusanyo ya mapato ndani ya nchi yetu ili kuepuka manyanyaso yanayotokana na mikopo na misaada.  Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa kampeni…

Read More

NGORONGORO YAENDELEA NA KUBORESHA HUDUMA YA MAJI SAFI NA MIUNDOMBINU KWA AJILI YA WANANCHI.

…………. Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii imetembelea kijiji cha Olpiro kilichopo Kata ya Eyasi, wilayani Ngorongoro, na kuchukua hatua za kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi pamoja na mifugo yao. Wataalam kutoka NCAA katika ziara iliyofanyika Septemba 30, 2025, wamekagua marekebisho na…

Read More

Dk Mwinyi awaahidi wavuvi wadogo uvuvi wa bahari Kuu

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi ameahidi kuwa endapo atapata ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili, serikali yake itaweka mkazo mkubwa katika kuwawezesha wavuvi wadogo kuvua bahari kuu ili kuongeza kipato chao na kukuza uchumi wa taifa. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumanne Septemba 30, 2025,…

Read More

ADC kuzalisha tani 150,000 za chakula kuondoa njaa Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed amesema chama hicho kikichaguliwa ndani ya mwaka mmoja kitazalisha tani 150,000 za mchele kwa kutumia hekta 5,000. Hayo ameyasema leo Jumanne Septemba 30, 2025 katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja. Amesema, ikiwa wakulima wa…

Read More

Dk Nchimbi aahidi kumaliza tatizo la barabara Ukonga, Kivule

Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameahidi kusimamia vyema kutatua changamoto ya barabara katika majimbo ya Ukonga na Kivule. Pia, ameahidi chama hicho kikichaguliwa, kitajenga masoko mawili Gongo la Mboto na Kivule ili kukidhi mahitaji ya wananchi na wafanyabiashara wa maeneo hayo. Dk Nchimbi amewaambia wananchi…

Read More