UN Chief Hails ‘mfano wa kushangaza’ wa Papua New Guinea wakati anahitimisha safari ya kihistoria – maswala ya ulimwengu

Akiwa ameshikwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, James Marape, Bwana Guterres aliuliza Maoni Alifanya wakati wa hotuba katika Bunge la Kitaifa Jumatano, ambayo alielezea Papua New Guineans kama “Mabingwa wa Multilateralism na Suluhisho za Kimataifa.” Katibu Mkuu alibaini kuwa, katika ulimwengu ambao “tunaona maadili ya kidemokrasia yakihojiwa,” nchi-ambapo lugha 800 zinazungumzwa-inashikilia upendeleo wa kutatua…

Read More

Bado Watatu – 21 | Mwanaspoti

BAADA ya kumtoa shaka yake tuliendelea kuongea mawili matatu, tukacheka kidogo kisha tukaagana. Niliendelea na shughuli zangu za kupika hadi saa sita mchana nikawa nimeshaivisha wali kwa nyama. Hicho ndicho chakula alichokuwa anakipenda mume wangu. Alikuwa akipenda wali kwa nyama kama Mhindi! Ilipofika saa saba Sufiani akarudi nyumbani, nikapakua chakula tukala. Baada ya kula tulizungumza…

Read More

Kuelekeza kupita kiasi kikwazo kwa mtoto kujifunza

Jumamosi asubuhi, Mariam hupewa jukumu la kufagia sebuleni na mama yake. Kila anaposhika ufagio, mama haishi maagizo. “Anzia pale kona, shika ufagio vizuri, pitisha ufagio kama hivi, usisahau chini ya meza, sasa pindua kiti, hapana, usifagie kwa haraka hivyo. Mtoto wa kike usiwe na haraka unaposafisha nyumba.” Mara nyingine, anapokuwa anaosha vyombo, mama haishiwi maagizo:…

Read More

Hatari ya wazazi kubagua watoto

Katika kila familia, watoto ni zawadi ya kipekee yenye thamani isiyo na kifani. Kila mtoto huja duniani akiwa na vipaji, ndoto, na uwezo wa kuchangia kwa namna yake katika jamii. Hata hivyo, hali ya ubaguzi wa watoto imekuwa changamoto inayokua kwa kasi katika jamii nyingi. Wazazi na walezi, kwa kujua au kutojua, huonyesha upendeleo kwa…

Read More

Dk Nchimbi: Wilaya zote nchini kuunganishwa kwa lami

Biharamulo. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo wanakwenda kuziuganisha wilaya zote nchini kwa barabara za kiwango cha lami. Amesema hilo litawezekana iwapo, Watanzania watamchagua mgombea urais wa CCM,  Samia Suluhu Hassan kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025 kuendelea kusalia…

Read More

Jipya lingine la Fadlu hili hapa

KWA mashabiki huko mitaani tambo ni nyingi, lakini katika kikosi cha Simba, mambo yanaendelea kusukwa taratibu, kwani timu iko kambini kujiwinda na Simba Day wiki ijayo, huku uongozi mpya nao ukiweka mambo sawa kwa ajili ya kujipanga na msimu mpya wa mashindano. Lakini, katikati ya yote hayo, kocha wao, Fadlu Davids anaendelea kutesa tu msimbazi…

Read More

Yanga yapeleka jambo lao ushuani

YANGA inaendelea kupiga hesabu za kuanza kwa gia ipi msimu mpya wa mashindano, lakini kuna kitu mabosi wamekifanya kutimiza malengo kwa kuwaita wanachama wa klabu hiyo eneo la ushuani lililopo Masaki, Dar es Salaam ili kujadili kwa kina mikakati yao Pale, Jangwani bado mashabiki wanatembea na kumbukumbu ya kubeba makombe yote msimu ulio-pita hapa nchini,…

Read More

Mechi za mtego Kagame hizi hapa

MICHUANO ya Kombe la Kagame inatarajiwa kuendelea tena kesho, Jumapili, kwa mechi mbili kupigwa ambapo Madani itakabiliana na Al-Hilal Omdurman huku Mogadishu City ikipambana na Kator katika mechi zinazotarajiwa kuamua mwelekeo wa kundi C. Katika mechi zao za kwanza katika mashindano hayo yanayohusisha klabu za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati hakuna timu iliyoibuka na…

Read More

Siri ya ndoa kudumu iko hapa

Dar es Salaam. Ndoa na uhusiano wa kimapenzi ni safari ya maisha yenye changamoto, mafanikio na mafunzo. Ili ndoa au uhusiano udumu, kuna mambo ya msingi yanayopaswa kuzingatiwa na wanandoa au wapenzi, ambayo makala haya itayaangazia. Mojawapo ya mambo hayo ni mawasiliano. Haya ni moyo wa uhusiano wowote. Wanandoa au wapenzi wanapaswa kuwa na uwezo…

Read More