Wanaume wahimizwa kupima saratani ya tezi dume mapema

Moshi. Wakati saratani ya tezi dume ikitajwa kushika kasi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini, tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume 470 waliopimwa mwaka 2023, 170 walikutwa na saratani hiyo bila wao kujua. Hayo yameelezwa leo Septemba 28, 2025, na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Magonjwa Yasiyoambukiza (KCRI) cha Hospitali ya KCMC, Profesa Blandina…

Read More

Wazazi wahimizwa kuwekeza kwenye malezi bora ya watoto

Moshi. Wazazi wametakiwa kuwalea watoto katika misingi ya maadili na hofu ya Mungu, ili kujenga jamii yenye kizazi chenye nidhamu na maadili, hatua itakayowezesha kuepuka mmomonyoko wa maadili ambao umeendelea kuwa changamoto kwa Taifa. Rai hiyo imetolewa leo Septemba 28, 2025 na mwanafunzi wa uchungaji, Neema Mangale wakati akihubiri katika ibada ya sikukuu ya watoto…

Read More

Mtanzania ana kibarua michuano ya Ulaya

CHAMA la Mtanzania, Sabri Kondo anayekipiga BK Hacken ya Sweden, Alhamisi hii watakuwa na kibarua cha kutafuta pointi tatu mbele ya Shelbourne FC ili kutafuta nafasi ya kufuzu michuano ya UEFA Conference League. Kondo alisajiliwa msimu huu akitokea Coastal Union, alipoitumikia kwa mkopo wa msimu mmoja akitokea Singida Black Stars. Chama hilo linatafuta nafasi ya…

Read More

Shime bado hajaridhishwa | Mwanaspoti

KOCHA wa kikosi cha timu ya taifa ya wasichana U20, Tanzanite Queens, Bakari Shime amesema ingawa timu hiyo imeshinda dhidi ya Angola na kwenda raundi ya tatu ya kuwania fainali za Kombe la Dunia 2026, hajaridhika kwa vile kuna makosa yalifanyika kuanzia eneo la ulinzi na ushambuliaji. Tanzanite Queens jana ikiwa ugenini ikirudiana na Angola…

Read More

Pamba Jiji yabanwa nyumbani | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana ikicheza kwa mara ya kwanza mechi y Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani ilibanwa mbavu na Watoza Ushuru wa TRA United baada ya kutoka suluhu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Katika pambano hilo lililokuwa la tatu kwa Pamba na la pili kwa wageni, lilihudhuriwa na mashabiki wachache, huku wenyeji wakishindwa kurudia…

Read More

Kinda Azam bado kidogo England

KINDA la Azam FC, Abdulkarim Kiswanya amesema amemaliza wiki moja ya kufanya majaribio kwenye klabu ya QPR inayoshiriki Championship, England. Kiungo huyo aliongozana na Makamu wa Rais wa Azam, Abdulkarim Amin ‘Popat’, alipomsindikiza kuhakikisha mambo yanakuwa sawa. Akizungumza na Mwanaspoti, Kiswanya alisema tayari amemaliza majaribio na anarejea nchini leo huku akisubiri majibu kama amefaulu ama…

Read More