Gamondi ajipanga upya Afrika | Mwanaspoti

SINGIDA Black Stars imetinga raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuing’oa Rayon Sports ya Rwanda kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-1, huku kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi akisema anajipanga upya ili kuhakikisha wanafuzu hatua ya makundi. Gamondi mwenye rekodi ya kuifikisha Yanga katika hatua ya makundi ya…

Read More

Mwili wa Askofu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Bukoba. Mwili wa Askofu Rugambwa, aliyekuwa Balozi wa Papa nchini New Zealand, umepokelewa na mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki mkoani Kagera, uwanja wa ndege wa Bukoba ukiwasili kutoka Dar es Salaam. Mwili huo umewasili saa 6:17 mchana kwa ndege ya kampuni ya Air Tanzania. Baada ya kupokelewa uwanja wa ndege, umepelekwa makao makuu ya…

Read More

SAID SOUD SAID: Ole wao watakaolalia vitanda vya 6 × 6 Zanzibar

Haina maana kuwa ili ushindane na mtu sharti uwe hukubaliani naye. Inawezekana ukaona anafaa kwa kila nyanja, lakini kwa sababu ushindani umewekwa, unaamua kujitosa kumkabili unayemkubali. Inaitwa ushindani bila chuki. Said Soud Said ni mgombea urais wa Zanzibar kwenye Uchaguzi Mkuu 2025. Anasema anajitosa kumkabilia Rais aliye madarani, Dk Hussein Ali Mwinyi, lakini wakati huohuo…

Read More

Vinyozi, wasusi, wapigapicha sasa kusajiliwa Basata

Dar es Salaam. Vinyozi, wasusi, wabunifu wa michoro, wapigapicha, wachoraji na wataalamu wengine wa kazi za ubunifu sasa watalazimika kusajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) ili kuendesha shughuli zao kihalali nchini Tanzania. Agizo hili jipya linatokana na marekebisho ya kanuni za Basata zilizochapishwa katika Gazeti la Serikali Juni 30, 2025, na kuashiria mabadiliko…

Read More

Msimu wa Kelvin John Denmark

MSHAMBULIAJI wa AaB Fodbold ya Denmark, Kelvin John licha ya timu yake hiyo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Lyngby Boldklub amezidi kuwa bora na amesema huu ni msimu wake wa kuonyesha kiwango bora. Jana, timu ya Mtanzania huyo ilipoteza mabao 2-1 dhidi ya Lyngby Boldklub kwenye muendelezo wa Ligi Daraja la Kwanza Denmark na…

Read More

10 Taekwondo wafaulu ukocha kimataifa

MAKOCHA 10 kati ya 30 wamefaulu kozi ya ukocha wa Taekwondo inayotambuliwa na Shirikisho la mchezo huo la Dunia. Kozi hiyo iliyofanyika kwenye kituo cha Olympafrica kilichopo Kibaha, Pwani iliendeshwa na mkufunzi kutoka Shirikisho la Taekwondo la Dunia, Dk Jun Cheol Yoon. Yoon ambaye pia ni Mwenyekiti wa Waamuzi wa mchezo huo duniani amesema ambacho…

Read More

TRA Yazindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda, amezindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara litakalosaidia kuwatambua wafanyabiashara ambao hawapo kwenye mfumo rasmi na kutatua changamoto zinazowakabili ili kukuza biashara zao. Uzinduzi huo umefanyika jana, Septemba 27, 2025, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya…

Read More

OMO aahidi kurasimisha mazao ya bahari Zanzibar

Unguja. Mgombea wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT – Wazalendo, Othman Masoud Othman, maarufu OMO, ameahidi kuyageuza mazao ya bahari kuwa sekta rasmi yenye mchango mkubwa ili kukuza uchumi wa visiwa hivyo. Othman ameeleza hayo leo Jumapili, Septemba 28, 2025 wakati akizungumza na wavuvi na waanikaji wa dagaa eneo la Mangapwani, Wilaya ya Kaskazini B,…

Read More

Kriketi T20: Yadav ang’ara Tanzania ikiifunga Botswana

KIJANA mdogo wa Kitanzania, Arun Yadav ndiye aliyekuwa nyota wa mchezo wakati Tanzania ikianza vyema michuano ya kufuzu Kombe la Dunia kwa Kriketi ya mizunguko 20 (T20) kwa ushindi wa wiketi 7 dhidi ya Botswana mjini Harare, Zimbabwe mwishoni mwa juma. Kwa ujasiri mkubwa, kijana Yadav alitengeneza mikimbio 62 kutokana na mipira 32 na kuipelekea…

Read More