
Mgombea ubunge ACT-Wazalendo Lindi adai kukamatwa, RPC asema…
Lindi. Mgombea ubunge wa Jimbo la Lindi Mjini kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Isihaka Mchinjita anadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa, muda mfupi baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wake wa kampeni. Tukio hilo limetokea leo, Jumamosi Septemba 6, 2025, katika uwanja wa Shule ya Msingi Mpilipili, ambapo Mchinjita ambaye pia ni Makamu…