Jela miaka 15 kwa kumuua mkewe kwa mchi bila kukusudia

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Mtwara, imemhukumu adhabu ya kifungo cha miaka 15 jela, Shaibu Mtavira, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua bila kukusudia mkewe, Aziza Mtelia, kwa kumpiga na mchi kisha kumzika kwenye shamba lao. Shaibu alikiri kumuua mkewe baada ya kutokea kutokuelewana  katika mazungumzo yao na kusababisha mapigano kati yao ambapo…

Read More

Chaumma yaomba kura wanachama wa Chadema, yaeleza kuwaletea ‘reforms’

Morogoro. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amewaomba wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kukichagua chama hicho ili mabadiliko ya sheria za uchaguzi ‘reforms’ ambazo wanazipigania wakaziharakishe. Devotha amesema hata wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanapaswa kuichagua Chaumma ili ikabadili mifumo ya kodi ambayo sio…

Read More

Mido ya boli APR yaanza na moto

KIUNGO mpya wa APR ya Rwanda, Dao Rouaf Memel ameanza na moto kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame baada ya kuibuka mchezaji bora wa mechi dhidi ya Bumamuru wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0, juzi, Jumatano kwenye Uwanja wa KMC. Licha ya mabao ya APR kufungwa na Ouattara Dj dakika ya…

Read More