Jeshi la Polisi laonya wasichana picha za utupu

Tanga. Jeshi la Polisi limewataka wasichana kuepuka kujipiga picha za utupu na kuzihifadhi kwenye simu za mikononi ili kuepuka madhila na udhalilishaji unaoweza kutokea endapo picha hizo zitasambazwa kupitia mitandao ya kijamii. Limesema hata kama mmiliki wa simu hajasambaza picha hizo binafsi, iwapo simu itapotea, kuharibika au kuchukuliwa na mtu mwingine, anaweza kutumia nafasi hiyo…

Read More

Serikali kuongeza vituo vya gesi kufikia 18 mwaka huu

Dar es Salaam. Serikali inatarajia kuongeza idadi ya vituo vya kujazia gesi asilia kutoka 11 vilivyopo sasa jijini Dar es Salaam hadi 18 ifikapo mwishoni mwa mwaka huu, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kupanua upatikanaji wa nishati safi na nafuu kwa wananchi. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba,…

Read More

Vohra, Karan waitwa Guru Nanak Rally

CHAMA kinachosimamia mchezo wa mbio za magari nchini (AAT) kimemtangaza dereva Ahmed Huwel kuwa kinara wa msimamo wa mbio za kusaka taji la taifa kwa mwaka huu. Kwa mujibu wa msimamo wa AAT, Huwel, ambaye ameingia na gari isiyokamatika ya Toyota Yaris, anaongoza akiwa na pointi 105 na kumuacha mpinzani wake wa karibu, Randeep Singh…

Read More

Riadha inalipa…Simbu ajazwa mamilioni, nyumba

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemkabidhi mwanariadha Alphonce Simbu hundi ya Sh20 milioni kwa kuitangaza vyema Tanzania baada ya kushinda medali ya dhahabu katika michuano ya Mbio za Riadha za Dunia zilizofanyika hivi karibuni, jijini Tokyo Japan huku akiahidiwa kupewa nyumba na Rais Samia Suluhu Hassan. Fedha hizo zilizotolewa na serikali kama ‘asante’ kwa…

Read More

BODI YA UTALII TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA UTALII DUNIANI NA WADAU,YATOA VYETI VYA SHUKRANI

Na Mwandishi Wetu KATKA kuadhimisha Siku ya Utalii Duniani iliyofanyika Septemba 27, 2025, Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) iliandaa usiku maalum uliowakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii nchini, ikiwemo wanahabari, waongoza watalii, wamiliki wa kampuni za utalii, sekta ya malazi na watengeneza maudhui ya utalii. Hafla hiyo iliambatana na utoaji wa vyeti vya shukrani…

Read More

Mbinu za kutatua migogoro kwenye ndoa

Uhusiano wa watu wengi umefikia katika hali mbaya na mwingine kufa kabisa, huku wanandoa wakiachana katika maumivu na majeraha makali ya moyo. Chanzo kikubwa kikiwa kutojua kwao kuishughulikia migogoro inayojitokeza katika uhusiano wao. Mara nyingi katika ushauri tunasema shida sio kujikuta ndani ya migogoro bali shida ni namna mnavyoishughulikia migogoro hiyo. …

Read More

Ndugu watavunja ndoa kama mtawawezesha

Kuna usemi maarufu kuwa unaweza kuchagua marafiki, mwenza na hata maadui lakini si ndugu. Uwatake, usiwatake, ndugu wapo. Ndugu hatuwatengenezi wala kuwatafuta bali kutengenezewa na wazazi wetu. Hivyo, ndugu haepukiki katika maisha. Hatuna maana kuwa ndugu hawahitajiki. La hasha! Wanahitajika ila si katika kila jambo. Wanahitajika kwenye msaada na uzuri ili si katika hujuma. Leo,…

Read More