Datius ajipa tumaini Mtibwa | Mwanaspoti
BAADA ya kupewa miaka miwili na Mtibwa Sugar, beki wa kulia Datius Peter amesema klabu hiyo itafufua matumaini mapya kwake ya kuendeleza kipaji alichonacho kwa kucheza soka la ushindani. Peter alijiunga na Mtibwa katika dirisha la usajili kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Kagera Sugar aliyodumu nayo tangu mwaka 2022, ambapo ameiacha baada ya kushuka…