Nyenzo utekelezaji sera ya maendeelo watoto yapatikana

Unguja. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Abeida Rashid Abdallah amesema kuwa mpango jumuishi wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa miaka mitano, ni nyenzo katika utekelezaji wa sera za maendeleo ya watoto pamoja na kufanikisha malengo ya kitaifa na kimataifa. Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akifungua…

Read More

CCM na mkakati wa kutibu majeraha kura za maoni

Dar es Salaam. Katikati ya vinyongo vya baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutokana na kuenguliwa katika michakato ya uteuzi wa kuwania nafasi mbalimbali, chama hicho kimeanza mkakati wa kutibu majeraha. Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira, ndiye aliyekabidhiwa kibarua hicho, akifanya ziara katika mikoa mbalimbali, hasa maeneo ambayo kumeibuka manung’uniko…

Read More

NCBA Bank Launches “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu” Campaign in Tanzania

NCBA Bank has officially unveiled its new brand campaign, “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu”, signaling a renewed commitment to driving impact across Tanzania. The campaign highlights how every decision from financial choices to community actions adds up to meaningful progress for individuals, businesses, and society at large. Speaking at the launch in Dar…

Read More

Kupunguzwa kwa fedha kunaweza kushinikiza watoto zaidi ya milioni 6 kutoka shuleni, anaonya UNICEF – maswala ya ulimwengu

Msaada wa Maendeleo rasmi (ODA) kwa elimu unakadiriwa Kuanguka kwa $ 3.2 bilioni – Kushuka kwa asilimia 24 kutoka 2023 – na serikali tatu tu za wafadhili zinahasibu kwa karibu asilimia 80 ya kupunguzwa. Kupungua kama vile kushinikiza idadi ya watoto wa nje ya shule ulimwenguni kutoka milioni 272 hadi milioni 278. UNICEF Alisema –…

Read More

Matawi CRDB kufungwa kwa muda ili kuboresha huduma

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetangaza kufunga huduma katika matawi yake yote kwa siku tatu kuanzia Septemba 5 hadi 7 mwaka huu. Kufungwa kwa matawi hayo kunalenga kutoa nafasi kwa wataalamu kufanya maboresho na kuweka mifumo ya kisasa ili kuongeza ufanisi huduma zinazotolewa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na benki hiyo kwa umma, ndani…

Read More

Biashara ya mkaa yapaa, kuni ikiporomoka

Dar es Salaam. Katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeripoti kuwapo kwa ongezeko la fedha zinazotumika kununua mkaa kwa zaidi ya mara mbili. Katika ripoti tofauti za uchumi wa Kanda za BoT, zinaonesha mauzo ya mkaa yaliongezeka kutoka Sh3.5 bilioni katika mwaka ulioishia Machi 2023, hadi Sh7.6 bilioni katika mwaka…

Read More

Matawi ya CRDB kufungwa kwa siku tatu nchi nzima

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetangaza kufunga huduma katika matawi yake yote kwa siku tatu kuanzia Septemba 5 hadi 7 mwaka huu. Kufungwa kwa matawi hayo kunalenga kutoa nafasi kwa wataalamu kufanya maboresho na kuweka mifumo ya kisasa ili kuongeza ufanisi huduma zinazotolewa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na benki hiyo kwa umma, ndani…

Read More