Ushindi wa Namungo kwa JKU, waibeba City FC Abuja

KITENDO cha Namungo FC kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya JKU katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season Tournament si tu imeifanya timu hiyo kufuzu nusu fainali, bali pia imeibeba City FC Abuja. Ipo hivi; Kabla ya mchezo huo wa Kundi C kuchezwa leo Septemba 5, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani…

Read More

Baresi awaonya mastaa Kagame Cup 2025

WAKATI bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege akiwa na kibarua kizito kesho Jumamosi cha kucheza dhidi ya APR ya Rwanda katika michuano ya Kagame, kocha wa kikosi hicho, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amewataka wachezaji kutofanya makosa kama ilivyokuwa dhidi ya KMC. Baresi alisema mechi ya kwanza dhidi ya KMC waliyopoteza kwa mabao 3-2 imetoa somo kwa…

Read More

Chaja (USB) zinavyogeuka mawindo ya wadukuzi

Shinyanga. Bila shaka umewahi kusikia kuhusu udukuzi mtandao ambao mara nyingi umekuwa ikihusishwa na mifumo ya intaneti kufika data ambazo mwenyewe hakutaka zifikiwe na mtu mwingine. Na pengine utakuwa umesikia kuhusu hatari ya kutumia WiFi za bure ambazo hazina ulinzi (unencrypted WiFi) na namna zinavyogeuka kuwa mawindo ya wadukuzi wenye nia tofauti. Ukiachana na hiyo,…

Read More

OFISI ZA JAMII FORUMS ZADAIWA KUVAMIWA

 :::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo, amesema Ofisi zao zimevamiwa na kwa kile alichodai kuwa uvamizi ulikuwa na Lengo la kumtafuta yeye Kupitia ukurasa wa Melo amechapisha taarifa inayosomeka “Kuna ‘uvamizi’ usio rafiki uliofanyika muda sio mrefu katika ofisi za JamiiForums, Mikocheni jijini Dar wakinitafuta mimi .. Nalaani vitendo kama hivi, ila umma utaujua…

Read More

Aliyeua mke akidai kusemwa vibaya mtaani, kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Mtwara imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Issa Kaunda baada ya kumtia hatiani kwa mauaji ya mkewe, Elimina Severine. Mahakama ilielezwa alimchoma visu mwilini akidai mkewe alikuwa akimzungumzia vibaya mtaani. Katika maelezo ya onyo ya mshtakiwa na maelezo ya ziada inadaiwa baada ya kumuua mkewe kutokana na hasira alikimbilia porini…

Read More

‘Usikose kwenda haja kubwa kila siku’

Dodoma. Ninapata nafasi ya kusimama na kutoa pesa kwenye madirisha ya kutolea pesa kwenye benki (ATM) na maduka ya kutolea pesa. Nikiwa maeneo hayo,  ninaona maneno yasemayo:  Hakiki pesa zako kabla hujatoka mbele ya dirisha la kupokelea pesa.  Hii  ikanifanya nifikiri kumbe ni maneno muhimu. Ni sawa na kusema hakikisha unakagua dawa zako kabla ya…

Read More

Wengi tunaugua maradhi ya kujitakia

Dar es Salaam. Dunia ya sasa inakumbwa na changamoto kubwa ya maradhi yasiyoambukiza, kama vile kisukari, shinikizo la damu, saratani, na magonjwa ya moyo.  Tofauti na magonjwa ya kuambukiza ambayo mara nyingi hutokana na vijidudu, vimelea au maambukizi ya moja kwa moja, magonjwa haya mengi kwa kiasi kikubwa yanatokana na mtindo wa maisha usio sahihi….

Read More