Bado Watatu – 42 | Mwanaspoti

SAA mbili na nusu asubuhi niliwasili kwenye nyumba namba 313 iliyokuwa eneo la Chuda. Ilikuwa ni asubuhi ya siku ya pili, ambapo jana yake tulikwenda katika hospitali ya Muheza kuzungumza na askari mstaafu aliyetupa siri ya kuachiwa kwa kina Unyeke.Mtu tuliyekuwa tunamtuhumu kuhusika na mauaji ya kina Unyeke, Thomas Christopher, aliandikisha katika usajili wa laini…

Read More

Kocha Yanga apata shavu Morocco

ALIYEKUWA kocha wa viungo wa Yanga, Taibi Lagrouni amejiunga na kikosi cha Olympique de Safi cha Morocco baada ya mtaalamu huyo kuondoka kwa mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025 kutokana na mkataba wake kumalizika. Lagrouni alijiunga na Yanga Julai 18, 2023 na kukitumikia kikosi hicho kwa mkataba wa miaka miwili, ambapo…

Read More

Nani msuluhishi wa ndoa yako?

Ndoa ni taasisi muhimu katika jamii, na inahitaji juhudi za pande zote mbili ili iendelee kudumu. Ingawa ndoa inaweza kuwa chanzo cha furaha na utulivu, pia inaweza kuwa na changamoto ambazo, ikiwa hazitashughulikiwa kwa uangalifu, zinaweza kusababisha migogoro, machafuko na hata talaka. Katika hali ya migogoro ya ndoa, usuluhishi unakuwa chombo muhimu cha kutatua matatizo…

Read More

Simba, Azam moto wa CAF umewashwa

JANA Yanga na Singida Black Stars zilikamilisha vibarua vya mechi za marudiano katika michuano ya kimataifa, lakini leo ni zamu ya Simba na Azam.Timu hizo zinaingia uwanjani zikiwa na mtaji wa ushindi baada ya kufanya vizuri wikiendi iliyopita zikiwa ugenini ambapo pia hazikuruhusu mabao.Simba inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika inaikaribisha Gaborone United kwenye Uwanja wa…

Read More

Mbinu za kumfundisha mtoto kuwa mkweli

Dodoma. Fikiria uko jikoni ukiandaa chakula cha jioni. Watoto wako wawili wadogo Fred na Linda wanacheza sebuleni. Salome yuko mezani akifanya kazi za shule. Mara unasikia mlio wa kitu kuvunjika sebuleni. Unapatwa na wasiwasi. Unakwenda haraka kujua kilichotokea. Maji yanatiririka sakafuni. Chupa ya chai imedondoka na kupasuka. Unakasirika. Fred, mwanao mdogo, haonekani kuwa na wasiwasi….

Read More

RAIS SAMIA ANATHAMINI MCHANGO WA WAONGOZA WATALII NCHINI

Na Mwandishi Wetu- Karatu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anathamini na kujua kazi na mchango wa waongoza watalii nchini Tanzania. Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi ameyasema hayo katika tukio la Fainali ya Safari Field Challenge Toleo la 10, likiambatana na maadhimisho ya Miaka…

Read More