Bado Watatu – 42 | Mwanaspoti
SAA mbili na nusu asubuhi niliwasili kwenye nyumba namba 313 iliyokuwa eneo la Chuda. Ilikuwa ni asubuhi ya siku ya pili, ambapo jana yake tulikwenda katika hospitali ya Muheza kuzungumza na askari mstaafu aliyetupa siri ya kuachiwa kwa kina Unyeke.Mtu tuliyekuwa tunamtuhumu kuhusika na mauaji ya kina Unyeke, Thomas Christopher, aliandikisha katika usajili wa laini…