Fyatu kuzoea viti vyote chatani na kayani

Kama Mafyatu na wasomaji wangu wote wajuavyo, hiki ni kipindi cha uchakachuaji, sorry, uchafuzi, sorry, uchaguzi. Mbali ya kuwa msimu wa kufyatuana na kufyatuliwa, ni msimu wa kutumia akili vilivyo. Ni msimu wa kusukuti namna ya kufyatuana mkenge. Wakati mwingine inabidi ujitoe ufahamu ili kuwanasa mafyatu ambao unaweza kuwashtaki kwa kujitoa ufahamu kutaka kufahamu mambo…

Read More

Dk Nchimbi amkaribisha Mpina akisubiri kesi yake leo

Kisesa. Wakati shauri kupinga kuenguliwa kwa Luhaga Mpina kwenye kinyang’anyiro cha urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, likipangwa kutajwa leo, jina lake limeibuka kwenye kampeni zinazoendelea. Dk Emmanuel Nchimbi, mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, amemtumia ujumbe Mpina akimwomba ampigie kura na arejee kwenye chama hicho tawala. Dk Nchimbi alitoa ujumbe huo jana Septemba…

Read More

Vyama vya upinzani vinavyosuasua kufanya kampeni

Dar es Salaam. Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu zimefikia siku ya saba, huku wagombea urais wa baadhi ya vyama vya siasa wakisuasua kufanya mikutano ya kampeni kwa kile wanachodai wapo kwenye mipango ya kuibuka kwa kishindo. Pamoja na mikakati hiyo ya kuibuka kwa kishindo, suala la ukata nalo wamelitaja kuwa miongoni mwa sababu za…

Read More