Mwalimu aahidi utajiri kwa vijana akiingia Ikulu

Tanga. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, atahakikisha vijana wa Kitanzania wanakuwa matajiri kupitia njia halali na endelevu. Ameyasema hayo leo Jumanne Septemba 2, 2025 wakati akihutubia wananchi wa kata za Maramba na Mapatano wilayani…

Read More

Mati Technology Yapanua Wigo wa Kilimo kwa Teknolojia ya Drone

Na Mwandishi Wetu. KAMPUNI ya Mati Super Brands Ltd kupitia tawi lake la Mati Technology imezindua teknolojia mpya ya ndege nyuki (drone) zinazotengenezwa nchini, zenye uwezo wa kuboresha sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii. Mkurugenzi Mtendaji wa Mati Group of Companies, David Mulokozi, amesema kampuni hiyo imeamua kuwekeza katika uzalishaji wa drone zinazotumika…

Read More

Dk Slaa: Kampeni za uchaguzi hazijagusa masuala muhimu

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema kampeni za uchaguzi wa mwaka huu, zimekosa chama kinachozungumza masuala muhimu kwa raia. Dk Slaa anasema hayo, wakati chama chake kikiwa si miongoni mwa vinavyoshiriki uchaguzi kutokana na ajenda yake ya kudai mabadiliko mifumo ya uchaguzi maarufu…

Read More

TAKUKURU Kinondoni Ilivyofuatilia Miradi ya Bilioni Moja – Global Publishers

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee. Dar es Salaam, 2 Septemba 2025: Taarifa iliyowasilishwa leo na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee inahusu mafanikio katika utendaji kazi wa TAKUKURU mkoa wa Kinondoni kwa kipindi cha Aprili mpaka Juni 2025 ambapo taasisi hiyo imetekeleza majukumu ya kufuatilia miradi ya maendeleo,…

Read More

Tishio jipya wizi mita, koki za maji

Dar es Salaam. Wimbi la wizi wa mita na koki za maji limezidi kuwa kero, likiathiri upatikanaji wa huduma kwa mamia ya wananchi na kusababisha upotevu mkubwa wa mapato kwa mamlaka za maji. Uhalifu huo unatajwa kuchangiwa na wauza vyuma chakavu na mafundi wanaotengeneza mapambo au vifaa vya matumizi ya nyumbani kwa kutumia miundombinu hiyo…

Read More

MZUMBE NA UNDP WAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

Farida Mangube, Morogoro Katika jitihada za kuendeleza elimu ya juu, utafiti na ubunifu nchini, Chuo Kikuu Mzumbe kimesaini mkataba wa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Makubaliano hayo ambayo yanalenga kuimarisha mchango wa elimu katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) huku yakitoa fursa kwa vijana na watafiti nchini kushiriki kikamilifu…

Read More

Matumizi ya Nishati Safi Kupikia Yapata Msukumo Mpya

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza baada ya baadhi ya wananchi kukabidhiwa zawadi walizojishindia kupitia kampeni ya “Gesi Yente” inayoendeshwa na kampuni ya Oryx Energies, kama motisha ya kuhamasisha ununuzi na matumizi ya gesi ya kupikia. Hafla ya kukabidhi zawadi hizo imefanyika leo Septemba 2, 2025…

Read More