Kocha Fountain Gate Princess azitaka Simba, Yanga

KOCHA wa Fountain Gate Princess, Noah Kanyanga amesema mikakati ya timu hiyo ni kuhakikisha inarudi kwenye makali yake na kupambania ubingwa mbele ya vigogo Simba Queens na Yanga Princess. Kanyanga aliwahi kuzifundisha Ceasiaa Queens, Mburahati Queens, Gets Program na sasa Fountain Gate aliyoanza nayo mwishoni mwa msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema msimu uliopita haukuwa…

Read More

Baridi La Niña inaweza kurudi, lakini hali ya joto ya ulimwengu imeongezeka: WMO – Maswala ya Ulimwenguni

Takwimu za hivi karibuni zilizoshirikiwa na Shirika la Meteorological Duniani (WMO) inaonyesha uwezekano wa asilimia 55 kwamba joto la uso wa bahari kwenye Pacific ya ikweta lita baridi hadi viwango vya La Niña kutoka Septemba hadi Novemba. Kuhusu Asilimia 90 ya joto kupita kiasi kutoka kwa ongezeko la joto duniani huhifadhiwa baharinikufanya maudhui ya joto…

Read More

Yanga kuzindua ‘Tunapiga kichwani’ kesho Dar

Yanga itazindua tamasha la Wiki ya Mwananchi kesho katika Viwanja vya Zakhem vilivyopo Mbagala jijini Dar es Salaam huku ikithibitisha kuwa baadhi ya tiketi zimeisha. Meneja wa Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amesema katika uzinduzi huo watataja majina ya wasanii watakaonogesha kilele Cha tamasha hilo litakalofanyika Septemba 12. Kamwe amesema wamefanya maboresho makubwa kuelekea kilele…

Read More

Akutwa ameuawa, mwili kutelekezwa relini Kigoma

Kigoma. Mtu mmoja mwanamume amekutwa ameuawa kwa kukatwakatwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana, kisha mwili wake kutelekezwa katika Mtaa wa Butunga relini, Kata ya Kibirizi. Agosti 31, 2025, mwili wa mtu huyo aliyekadiriwa kuwa na umri wa miaka 45 mpaka 50 ulikutwa katika mtaa huo na watu waliokuwa wakipita kuelekea…

Read More

Kamwe amjibu Fadlu, awataja Pacome, Nzengeli

Ulisikia kocha wa Simba, Fadlu Davids akidai kwamba kikosi chake kinakosa mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kuamua mechi akitumia neno X- factor? Basi Yanga imemjibu. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amemjibu Fadlu kiaina akisema timu yao wala haina shida na wachezaji wenye ubora huo. Kamwe amesema Yanga ina wachezaji wengi wenye…

Read More

Simba kuwatangaza Nangu, Yakoub | Mwanaspoti

WACHEZAJI wapya wa Simba, kipa Yakoub Suleiman na beki wa kati Wilson Nangu tayari wamepigwa picha zitakazotumika kuwatangaza kuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao. Chanzo cha uhakika cha Mwanaspoti kimesema baada ya Simba kukamilisha kila kitu kwa ajili ya usajili wa wachezaji hao, leo Jumanne wamepigwa picha kabla ya kujiunga na timu ya…

Read More

Upatu wa kinamama wasaidia kupata majiko ya nishati safi

Mwanza. Baadhi ya kinamama mkoani Mwanza wameamua kushirikiana kupitia michezo ya upatu ili kumudu gharama za majiko ya nishati safi, baada ya kutambua madhara ya kutumia kuni na mkaa. Kwa muda mrefu, maisha ya kinamama wa Mwanza, hasa wajasiriamali wanaokaanga na kuuza samaki, yamekuwa yakitegemea kuni na mkaa. Hali hiyo si tu imekuwa ikiathiri macho…

Read More