Wengi tunaugua maradhi ya kujitakia

Dar es Salaam. Dunia ya sasa inakumbwa na changamoto kubwa ya maradhi yasiyoambukiza, kama vile kisukari, shinikizo la damu, saratani, na magonjwa ya moyo.  Tofauti na magonjwa ya kuambukiza ambayo mara nyingi hutokana na vijidudu, vimelea au maambukizi ya moja kwa moja, magonjwa haya mengi kwa kiasi kikubwa yanatokana na mtindo wa maisha usio sahihi….

Read More

Hii hapa afya ya pingili za mgongo

Russia. Pingili za mgongo ni mifupa muhimu katika usaidizi wa muundo na shughuli za mwili.  Huunda safu ambayo hutumika kama mhimili wa kati wa mwili na kutoa usaidizi kwenye kichwa, shingo na kiwiliwili. Mpangilio wake huruhusu kupinda na kujipinda kupitia diski za katikati na maungio yake. Mfereji wa pingili hulinda uti wa mgongo na mishipa ya fahamu inayojichomoza…

Read More

Nyongeza ya pensheni inaposababisha kizungumkuti kwa wastaafu

Mstaafu wetu anadhani kuwa litakuwa jambo jema kwa Seri-kali na mifuko inayohusika kuliweka sawa hili la nyongeza ya pensheni ya wastaafu waliokuwa wakipata mshahara wa kima cha chini. Maana sasa linaishia kuwapa wastaafu kimuhemuhe, kama siyo kuwabananga na kuwabagaza. Tukumbuke kuwa miezi 11 iliyopita, Oktoba mwaka jana, Seri-kali hatimaye iliamua kuwapa wastaafu wa kima cha…

Read More

Bado Watatu – 19 | Mwanaspoti

“NITAKWENDA.”“Basi nitakuja twende sote.”“Sawa. Nitakusubiri.” Saa nane mchana Raisa akaja nyumbani. Nikakaa naye hadi saa tisa tulipoondoka kwenda Hospitali ya Bombo iliyoko eneo la Raskazoni pembezoni mwa Bahari ya Hindi.Ukiwa hospitalini hapo unaweza kuiona bahari na bandari ya Tanga. Tulipofika hospitalini hapo, muda wa kutazama wagonjwa ulikuwa umewadia. Tukaingia ndani na kufika katika wodi aliyokuwa…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN AKISALIMIANA NA KUOMBA KURA KWA WANANCHI JIMBO LA UYOLE

Na Said Mwishehe,Mbeya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan akisalimiana Wananchi wa Jimbo la Uyole Mkoani Mbeya waliofurika Barabarani kumlaki wakati wa Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 05,2025. Dk.Samia wamepata nafasi ya kusalimiana na wananchi hao na kisha kuomba kura akiwa…

Read More

NEMC YAJA NA USAFI KAMPENI 2025

:::::::: Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezindua kampeni mpya ya usafi iitwayo “NEMC Usafi Campaign 2025” yenye lengo la kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu katika usafi wa mazingira na kuhakikisha nchi inakuwa safi, salama na yenye afya kwa wote. Kampeni hiyo ambayo itatekelezwa kwa ushirikiano na Ofisi ya Rais – TAMISEMI,…

Read More

Idadi ndogo ya kesi za wanawake na wasichana yashtua Mahakama ya Afrika, yaitisha kongamano kujadili

Na Seif Mangwangi, Arusha KUFUATIA kuwepo kwa idadi ndogo ya kesi zinazohusu wanawake katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCPHR), Mahakama hiyo imelazimika kuwakutanisha wadau mbalimbali ili kuboresha uelewa wao kuhusu taratibu za Mahakama na nafasi ya wanawake na wasichana katika kupata Haki. Kwa mujibu wa Naibu Msajili wa Mahakama hiyo,…

Read More

Cheza Super Heli na Meridianbet, Shinda Samsung Galaxy A25

MERIDIANBET imezindua ofa ya kipekee inayochanganya msisimko wa mchezo na zawadi ya thamani, nafasi ya kushinda Samsung Galaxy A25 mpya kabisa kwa kucheza mchezo maarufu wa kasino mtandaoni, Super Heli. Super Heli ni mchezo unaotumia dhana rahisi lakini yenye kuvutia. Helikopta inapopaa angani, odds huongezeka kadri inavyopaa juu, na mchezaji anapovuta dau lake kwa wakati…

Read More

JALI USALAMA WAKO NA WA WATUMIAJI WENGINE WA BARABARA – RTO PWANI

MKUU wa kikosi Cha Usalama Barabarani Mkoa wa Pwani, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi Edson Mwakihaba amewataka maafisa usafirishaji wa Mapinga na Kerege Wilayani Bagamoyo kujali usalama wao, Usalama wa watumiaji wengine wa barabara na kuzingatia sheria za usalama barabarani. Ameyasema hayo Septemba 04, 2025 alipofanya kikao na maafisa usafirishaji huko Mapinga ambapo aliwataka kuzingatia sheria…

Read More