Viongozi wa Ulimwenguni huangazia Vijana kama Wakala wa Maendeleo – Maswala ya Ulimwenguni

Annalena Baerbock, Rais wa Mkutano Mkuu na moja ya Vijana wachanga kushikilia ofisialisisitiza hiyo Vijana ni “wabuni wa maisha yao ya baadaye” lakini haipaswi kuijenga peke yake. Akichora mazungumzo na viongozi wachanga kutoka Ethiopia kwenda Afghanistan, alionyesha changamoto za uso wa vijana wa leo – kutoka kwa migogoro na shida hadi kwa ujasusi na ukosefu…

Read More

EWURA YATEMBELEA MRADI WA UMEME WA SOLA KISHAPU

  Na Tobietha Makafu & Janeth Mesomapya Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetembelea mradi wa kuzalisha umeme kwa nishati ya jua uliopo Kishapu, mkoani Shinyanga, leo tarehe 27 Septemba 2025. Akitoa taarifa kwa Bodi, Meneja wa Mradi Mha. Emmanuel Anderson alisema, mradi huo unatekelezwa kwa awamu…

Read More

EWURA YATEMBELEA MRADI MKUBWA WA UMEME WA SOLA KISHAPU

Na Tobietha Makafu & Janeth Mesomapya Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetembelea mradi wa kuzalisha umeme kwa nishati ya jua uliopo Kishapu, mkoani Shinyanga, leo tarehe 27 Septemba 2025. Akitoa taarifa kwa Bodi, Meneja wa Mradi Mha. Emmanuel Anderson alisema, mradi huo unatekelezwa kwa awamu mbili,…

Read More

Tanzania Yapata Medali ya Dhahabu Apimondia 2025

Tanzania imepata heshima kubwa ya kimataifa baada ya kutunukiwa Medali ya Dhahabu katika Kongresi ya 49 ya Apimondia iliyofanyika katika ukanda wa Scandinavia (Sweden, Denmark na Norway). Tuzo hiyo ilitangazwa Septemba 27, 2025 ambapo banda la Tanzania lilishinda katika kipengele cha Large Stand (zaidi ya mita 36 za mraba) kutokana na ubunifu na ubora wa…

Read More

TRA yajizatiti huduma kwa wafanyabiashara wadogo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wadogo na wa kati mkoani Dar es Salaam wametakiwa kuchangamkia dawati la uwezeshaji biashara lililozinduliwa likilenga kuimarisha biashara zao. Dawati hilo limezinduliwa leo Septemba 27, 2025 na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Dawati hilo…

Read More

Furaha ya wazazi inayoangamiza kesho ya watoto

Dar es Salaam. “Mitandao haisahau.” Ni usemi kueleza kwamba, lolote liwekwalo mtandaoni, ama iwe ni picha, maandiko, video, maoni au taarifa binafsi hubaki na kuna uwezekano wa kuonekana hata kama likifutwa. Hii ni kutokana na kuwa, taarifa mara nyingi huhifadhiwa kwenye seva mbalimbali, watu huhifadhi kwa kuzipakua au kuzipiga picha na wana uwezo wa kuzisambaza…

Read More

Serikali, wadau kushirikiana kukuza utalii

Ngorongoro. Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau katika kukuza sekta ya utalii, ambayo kwa mwaka 2024 imeingizia Taifa Dola za Marekani bilioni 3.9 (sawa na Sh9 trilioni). Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi, amesema hayo jana Septemba 27, 2025 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Utalii Duniani yaliyofanyika katika eneo la Ngoitokitoki,…

Read More

Othman aahidi elimu itakayojenga ushindani Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema mfumo wa elimu utakaoundwa na serikali ya chama hicho utawezesha wanafunzi wa Zanzibar kushindana na si kuwa wasindikizaji. Amesema ACT-Wazalendo ikishika madaraka katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 imedhamiria kuhakikisha Zanzibar inakuwa Taifa lililoelimika ili kuendana na hali ya…

Read More

Singida BS yapeta CAF ikiitandika Rayon Sports

WANA fainali ya Kombe la FA msimu uliopita, Singida Black Stars, imefuzu hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda kwa jumla ya mabao 3-1. Ushindi huo umetokana na leo Singida Black Stars kushinda mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ikiwa ni…

Read More

UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE WAIMARIKA

:::::: Imeelezwa kuwa, utendaji kazi wa Wizara ya Nishati kupitia Taasisi inazosisimamia umezidi kuimarika na kufikia asilimia 96.16 katika kipindi cha robo nne ya mwaka 2024/2025. Hayo yamefahamika wakati wa kikao cha Tano cha Tathmini ya utendaji kazi wa Wizara ya Nishati  na Taasisi zake kwa robo nne ya mwaka 2024/2025 kilichofanyika jijini Dodoma  na…

Read More