September 2025
WAJASIRIMALI TEMEKE WAHAMASIKA NA MATUMIZI YA MAJIKO YA NISHATI SAFI
Afisa Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Temeke, Bw. Goodluck Assenga akitoa elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa wakazi wa Manispaa ya Temeke walioshiriki katika Kongamano la Nishati Safi lililofanyika Agosti 30, 2025 katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Kibasila, jijini Dar es Salaam. (PICHA NA…