EQUITY YAWEKEZA KATIKA ELIMU YA MAWAKALA

Benki ya Equity imesema zaidi ya asilimia 80 ya miamala yake inafanyika kidigitali, hatua inayodhihirisha kasi ya ukuaji wa teknolojia katika sekta ya fedha,huduma hizo zinajumuisha mfumo wa uwakala ambao umeendelea kuwa njia kuu ya kuwafikishia wananchi huduma za kibenki bila kulazimika kufika kwenye matawi ya benki. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika Jukwaa la…

Read More

Zombie Apocalypse Yaja Na Ushindi Juu Ya Ushindi. – Global Publishers

Kila mchezaji wa kasino mtandaoni anajua kuwa mzunguko mmoja ndani ya mchezo unaweza kubadilisha historia ya kila kitu. Lakini Meridianbet imeamua kuchukua msisimko huo hatua moja mbele na kuunda tukio linalohusisha ushindi, burudani, na changamoto kwa wakati mmoja, ni kupitia promosheni ya Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins. Kila Jumanne na Alhamisi, mitandao ya Meridianbet…

Read More

Serikali yakata mishahara ya wabunge kutuliza waandamanaji

Jakarta. Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, ametangaza kupunguza mishahara na baadhi ya marupurupu kwa wanasiasa wa taifa hilo, ikiwemo wabunge, ili kutuliza maandamano yanayoendelea nchini humo. Hatua hiyo inakuja kutokana na maandamano ya wiki kadhaa katika taifa hilo la Kusini-Mashariki mwa Asia, ukiwemo mji mkuu, Jakarta, ulioshuhudia mamia ya waandamanaji wanaoipinga serikali. Maandamano hayo yamesababisha…

Read More