MWANDISHI WA HABARI AMTABIRIA MAKUBWA DKT SAMIA

Na Rashid Mtagaluka Mwandishi wa habari na mchambuzi wa masuala ya siasa na kijamii nchini, Saleh Mohamed, amesema Tanzania ipo katika njia sahihi ya maendeleo na kwamba miaka mitano ijayo nchi itakuwa imepiga hatua kubwa zaidi chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza Septemba 4, 2025 kupitia mahojiano na Radio Free Afrika jijini…

Read More

Barbara arudi Simba, Mo akijivua uenyekiti wa bodi

Simba imefanya mabadiliko makubwa ya Bodi ya Wakurugenzi baada ya mwekezaji Mohammed Dewji ‘MO’ akijiweka kando, huku akimteua Crescentius Magori kuchukua nafasi hiyo, ilihali CEO wa zamani wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez akirejea klabuni. Mabadiliko hayo ambayo yametangazwa dakika chache zilizopita, MO mbali na Magori aliyewahi kuwa, Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo na mshauri wa…

Read More

Hatari iliyopo watumiaji ‘system charge’ za simu

Shinyanga. Kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni kuhusu ulinzi wa taarifa binafsi duniani, takribani nchi 144 zimepitisha sheria zinazolenga kulinda data binafsi za raia wao. Sheria hizi zinawahusu watu takribani bilioni 6.64, sawa na asilimia 82 ya watu wote duniani. Hii ina maana kuwa karibu asilimia 83 ya watu duniani wapo chini ya sheria…

Read More

Samia awataja wakulima akiahidi kongani za viwanda

Mbalizi.  Leo ikiwa ni siku ya nane tangu kuzinduliwa kwa kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano Oktoba 29, 2025, mgombea wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa ahadi kwa wananchi endapo watamchagua. Katika maeneo yote aliyopita, mgombea huyo amekuwa akitoa ahadi zinazolenga kuchochea maendeleo na ustawi wao hasa katika huduma…

Read More

Wadau Afrika Mashariki waungana kukabiliana na uvuvi haramu

Dar es Salaam. Wadau kutoka sekta mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki wameungana kuanzisha juhudi za pamoja za kukabiliana na uvuvi haramu, ambao unaendelea kuwa tishio kwa rasilimali za bahari, mazingira na maisha ya mamilioni ya watu wanaotegemea uvuvi kwa ajili ya kipato na lishe. Hayo yamebainika katika kongamano la Sauti za Buluu lililofanyika hivi…

Read More

Jaji huyu apangiwa kusikiliza kesi ya uhaini ya Lissu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania sasa iko tayari kuanza usikilizaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, baada ya kuipangia tarehe ya usikilizwaji wa awali na jaji atakayeisikiliza. Mmoja wa mawakili wa Lissu, Hekima Mwasipu, amelieleza Mwananchi leo Alhamisi, Septemba 4, 2025 kuwa kesi hiyo…

Read More

Straika Zambia afariki dunia | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa timu ya taifa ya Zambia, Tapson Kaseba amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu (UTH), baada ya kuugua kwa muda mfupi. Rais wa Shirikisho la soka Zambia, (FAZ) Keith Mweemba ametangaza kifo cha straika huyo akiandika; “Tumesikitishwa na kifo cha Tapson Kaseba tuliyemfahamu kama mchezaji wa zamani…

Read More

Chaumma kubinafsisha sekta ya maji ikishika dola

Dodoma. Mgombea mwenza Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema tatizo la maji nchini litakomeshwa chini ya Serikali ya chama hicho kwa sekta hiyo kubinafsishwa. Amesema ubinafsishaji ni sehemu ya kuondoa kero ya maji ambayo kwa muda mrefu Serikali chini ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeshindwa kuwapatia huduma ya uhakika Watanzania. Mgombea mwenza…

Read More