BoT yakusanya tani tano za dhahabu kutoka MPMR

Mwanza. Kiwanda cha kusafisha madini ya dhahabu Mwanza Precious Metals Refinery (MPMR) kilichopo jijini Mwanza, kimefanikiwa kukusanya tani tano za madini ya dhahabu kwa kipindi cha mwaka mmoja, na kuendelea kuipaisha Tanzania katika sekta ya madini kwa ukanda wa Afrika Mashariki. Akizungumza leo Septemba 27, 2025 na ujumbe kutoka Malawi, Ofisa Madini kutoka mkoani Mwanza…

Read More

Tahadhari zachukuliwa vifo vya samaki Mto Malagarasi

Dar/Kigoma. Serikali mkoani Kigoma imesema wananchi wanaendelea kupata huduma ya maji kwa matumizi ya nyumbani kutoka vyanzo vingine salama, huku uchunguzi wa kitaalamu ukiendelea kufanywa kuhusu vifo vya samaki na viumbe wengine vilivyogunduliwa ndani ya Mto Malagarasi. Wananchi ambao wamekuwa wakipata maji kwa matumizi mbalimbali kutokana na chanzo hicho, wameacha kuyatumia kutokana na  tahadhari iliyotolewa…

Read More

Mavunde kuanzisha klabu za wazee jimboni Mtumba

Dodoma. Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtumba (CCM),  Anthony Mavunde amejifunga katika mambo 10 akihutubia wananchi katika Kata ya Nghong’ona huku akielekeza nguvu kuanzisha klabu za wazee. Katika mkutano huo, Mavunde amesema ni wakati sasa kuwakumbuka wazee na kuwaanzishia klabu zao ili tuwaweke pamoja na kusikiliza matatizo na changamoto zinazowakabili. “Jimbo lilikuwa na Kata 41,…

Read More

WAHANDISI WANAOKIUKA MAADILI KUCHUKULIWA HATUA: ULEGA

::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuwachukulia hatua za kinidhamu na kutopewa kazi nyingine wahandisi wasiofanya kazi zao kwa uadilifu na wasiozingatia viapo na miiko ya taaluma yao. Ameeleza hayo Septemba 26, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akifunga maadhimisho ya 22 ya Siku ya Wahandisi Tanzania ambayo…

Read More

DKT. PHILIP MPANGO, BALOZI MULAMULA NA VIONGOZI WENGINE WA TANZANIA WASHIRIKI MKUTANO WA UNGA NEW YORK, USA.

:::::::::: Viongozi mbalimbali wa Tanzania wakiongozwa na Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango wameshiriki mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) New York. Pia, Mtanzania Balozi Liberata Mulamula ambaye ni Mjumbe Maalum Umoja wa Afrika, kuhusu Agenda ya Wanawake, Amani na Usalama, ameshiriki mkutano huo. Viongozi wengine walioshirki huo ni Waziri wa Mambo…

Read More

Wimbo Mpya : MAP MASTAR MKM Ft. NOBE

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Map Mastar MKM wakishirikiana na Nobe wametambulisha rasmi wimbo wao mpya uitwao “Kiongozi Bora”, audio rasmi ikiwa imewekwa kupitia mtandao wa YouTube chini ya Misalaba Media.  Wimbo huu unakuja ukiwa na ujumbe mzito wa kijamii unaogusa nafasi na wajibu wa viongozi bora katika maendeleo ya taifa, ambapo wasanii hao…

Read More

Yanga yaifumua Williete, yawafuata Wamalawi

YANGA imefuzu hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuifunga Wiliete SC ya Angola kwa mabao 2-0 na kusonga mbele kwa jumla ya mabao 5-0, huku maswali ya mashabiki kuhusu ubora wa kiwango cha timu hiyo ya Wananchi yakiendelea kuwa mengi. Kwa ushindi huo, Yanga itakabiliana na Silver Strikers ya Malawi kuwania…

Read More

James arejea KVZ, apiga mkwara mzito

BAADA ya beki wa KVZ, Juma Hassan Shaaban maarufu James kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akikosekana katika maandalizi ya timu hiyo kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Zanzibar, hatimaye amerejea huku akiwapiga mkwara wapinzani wao.Mwanaspoti limemshuhudia James akiwa mazoezini na kikosi cha KVZ ambapo alisema kurejea kwake kikosini, timu hiyo ipo…

Read More