
TBS na ZBS zasaini hati ya makubaliano yatarahisisha biashara ndani ya Muungano
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) na Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitano yenye lengo la kuimarisha utendaji, kurahisisha mzunguko wa bidhaa na kuboresha usimamizi wa viwango katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makubaliano hayo, ambayo ni ya tatu kati ya taasisi hizo…