Manyama ajiweka sawa Azam | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa Azam FC, Edward Manyama amesema kwa namna Ligi Kuu Bara msimu huu ilivyoanza kwa ugumu, inampa picha ya namna anavyotakiwa kukaza buti kuhakikisha huduma yake inakuwa muhimu kikosini.Manyama aliyewahi kuzichezea timu mbalimbali kama JKT Ruvu, Yanga, Ruvu Shooting, Namungo na Singida Black Stars, alisema ushindani wa ligi umekuwa ukiongezeka msimu hadi…

Read More

Fikirini yupo fiti kupambania namba TRA

BAADA ya kipa wa TRA United, Fikirini Bakari kukaa nje wiki mbili akiuguza jeraha la taya alilovunjika katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga wakati wa maandalizi ya msimu huu, kwa sasa amejiunga kambini akipambania namba kikosi cha kwanza.Fikirini alisema kwa sasa anaendelea vizuri, huku akiwa na tahadhari ya kuepuka kugongana na wenzake na anaamini…

Read More

Nahodha Mashujaa kaahidi jambo | Mwanaspoti

NAHODHA wa Mashujaa FC, Baraka Mtuwi amesema wapo tayari kuikabili Singida Black Stars aliyoitaja kuwa haitakuwa rahisi kutokana na uwepo wa nyota wengi bora.Mashujaa inatarajia kushuka dimbani Jumanne ya wiki ijayo, kwenye Uwanja wa KMC kucheza mechi ya tatu ya Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kushinda mechi moja na kutoka sare moja.Akizungumza na…

Read More

Wasira: CCM kuweka kipaumbele ajira na uchumi wa vijana

Moshi. Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kuwa chama hicho kitalitazama kwa karibu kundi la vijana, kulijengea mazingira mazuri ya uchumi na ajira kuanzania kwenye halmashauri. Wasira amesema hayo alipokuwa akizungumza na wana CCM mjini Moshi mkoani Kilimanjaro kuhusu kufanikisha ushindi wa kishindo kwa chama hicho  katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,…

Read More

Mechi za kujiuliza Ligi Kuu Bara

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea leo kwa mechi mbili kupigwa ambapo saa 8:00 mchana, Pamba Jiji itaikaribisha TRA United kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, huku saa 10:15 jioni Mtibwa Sugar ikipambana na Fountain Gate.Hizi ni mechi za kujiuliza kwa timu zote kwani hazijapata ushindi tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu. Kwa Pamba…

Read More

Njia anayopitia Mpina kuliendea sanduku la urais

‎‎Dar es Salaam. Jana, Ijumaa, Septemba 26, 2025, Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma ilimpa kibali, Luhaga Mpina, kufungua shauri kupinga uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa kubatilisha uteuzi wake wa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo. Katika uamuzi uliotolewa na Jaji Wilbert Chuma, ameelekeza Mpina kufungua shauri hilo ndani ya siku 14, kuanzia…

Read More

Mapya yaibuka mazishi ya Edgar Lungu

Pretoria. Zikiwa zimetimia siku 252 tangu kufariki dunia kwa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, mwili wake bado umehifadhiwa katika nyumba ya huduma za mazishi ya Two Mountains, Afrika Kusini kufuatia mvutano wa wapi azikwe, kati ya Serikali na familia yake. Wakati mvutano huo ukiendelea, familia ya Lungu imetoka hadharani kukanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni…

Read More