Muacheni Yakoub akapambane na Camara

UKIONA mchezaji anasajiliwa na hizi timu zetu mbili kubwa za Kariakoo, yaani Simba na Yanga ukute ana kitu ambacho zimekitathimini na kuona kama kinaweza kusaidia kuimarisha vikosi vyao. Sasa mchezaji kusajiliwa huwa ni jambo moja na kwenda kuipa timu iliyomsajili matunda chanya hubakia kuwa jambo lingine ambalo linaweza kutokea au lisitokee. Kijiweni hapa huwa tunashangaa…

Read More

Mtunzi ajivunia vitabu vyake kusomwa kimataifa kupitia MwanaClick

Dar es Salaam. Ni imani kuwa, mambo yanayohusu vijana yakizungumzwa na vijana wenyewe hueleweka zaidi. Ndivyo anavyoamini Abdulkadir Thabit Massa, hivyo kuwekeza muda wake mwingi kuandika kazi za fasihi zinazohusu vijana. Licha ya kuwapo sera na miongozo inayohusu kundi hilo, bado wenyewe wanapaswa kusimama kueleza wanayokabiliana nayo na kushirikishana fursa na mbinu za kutatua changamoto…

Read More

Henry Joseph ala shavu Fountain Gate

SIKU chache baada ya kocha Denis Kitambi kutua Fountain Gate, amemuongeza kwenye benchi lake la ufundi kiungo wa zamani wa Simba, Henry Joseph. Joseph ambaye msimu uliopita alikuwa akiinoa Moro Kids inayoshiriki First League, ametua Fountain Gate kwa kazi mbili. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zinabainisha kuwa kazi ya kwanza, Joseph amekabidhiwa majukumu ya…

Read More

Teknolojia kuleta mapinduzi ya kilimo

Babati. Wadau wa kilimo nchini watanufaika na teknolojia ya ndege nyuki shambani, ikiwamo kunyunyizia dawa, kupanda mbegu, kupima maeneo na kusafirisha mazao, hivyo kuongeza tija katika kilimo. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni za Mati Group, David Mulokozi akizungumza mjini Babati mkoani Manyara, Septemba 4 mwaka 2025 amesema shughuli za kilimo kupitia ndege nyuki zitalenga kuongeza tija,…

Read More

Mtunzi ajivunia vitabu vyake kusoma kimataifa kupitia MwanaClick

Dar es Salaam. Ni imani kuwa, mambo yanayohusu vijana yakizungumzwa na vijana wenyewe hueleweka zaidi. Ndivyo anavyoamini Abdulkadir Thabit Massa, hivyo kuwekeza muda wake mwingi kuandika kazi za fasihi zinazohusu vijana. Licha ya kuwapo sera na miongozo inayohusu kundi hilo, bado wenyewe wanapaswa kusimama kueleza wanayokabiliana nayo na kushirikishana fursa na mbinu za kutatua changamoto…

Read More

Dharau yaiponza Tausi Royals Ligi ya Kikapu Dar

KUJIAMINI  kulikofanywa na timu ya Tausi Royals, katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (WBDL) ndiko kulikoifanya timu hiyo ishindwe kucheza nusu fainali ya Ligi hiyo. Timu ya Tausi Royals ilifungwa na DB Troncatti katika  michezo 2-1.  Sababu iliyofanya ijiamini hivyo, ilionyesha  ni kutokana na uwezo wa wachezaji walionao, na huku timu ya…

Read More

Semina ya TAKUKURU ifanyiwe kazi na marefa, wadau

KUNA pongezi nyingi ambazo kijiwe kimeamua kutoa kwa TFF na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuandaa semina elekezi kwa marefa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao ya namna ya kupambana na vitendo vya rushwa. Ni jambo zuri ndiyo maana tunalipongeza kwa vile marefa ni watu muhimu sana katika kuendeleza au…

Read More

Pazi yaonyesha ukubwa wake BDL

Timu kongwe ya Pazi ilidhihirisha ubora wake katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ni baada ya kuifunga timu ngumu ya ABC  katika michezo 2-1. Kwa ushindi huo, timu hiyo itacheza na JKT katika mchezo wa nusu fainali, na mchezo huo utatangazwa   baada ya mashindano ya Majeshi (BAMATA) kumalizika. JKT katika mchezo…

Read More