
Muacheni Yakoub akapambane na Camara
UKIONA mchezaji anasajiliwa na hizi timu zetu mbili kubwa za Kariakoo, yaani Simba na Yanga ukute ana kitu ambacho zimekitathimini na kuona kama kinaweza kusaidia kuimarisha vikosi vyao. Sasa mchezaji kusajiliwa huwa ni jambo moja na kwenda kuipa timu iliyomsajili matunda chanya hubakia kuwa jambo lingine ambalo linaweza kutokea au lisitokee. Kijiweni hapa huwa tunashangaa…