Ahadi tano za CCM zilizoacha matumaini mikoa ya kusini

Ziara ya mgombea wa urais wa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan katika mikoa ya kanda ya kusini imeacha matumaini kufutia ahadi tano alizozitoa zinazolenga kuchagiza uchumi ya kanda hiyo. Kwa siku sita Samia alipita katika majimbo ya mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara akiinadi ilani ya CCM na kutoa ahadi ambazo Serikali…

Read More

Mashaka yeye kwake kambi popote

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema kitendo cha Simba kumtoa kwa mkopo ni fursa kwake kujipanga ili arejee katika ushindani. Katika mahojiano na Mwanaspoti, Mashaka anasema kujipanga upya siyo kitu cha ajabu kwa mchezaji, badala yake anaweza kufanya vitu vikubwa kuliko mwanzo akisisitiza hata Ulaya inafanyika hivyo. Baada ya kutoonyesha kiwango bora akiwa na…

Read More

Ruwaich ataja athari za jamii kukizoea kifo

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi ametuma ujumbe kwa Watanzania akiwataka kutokizoea kifo kwani kufanya hivyo watakuwa viumbe wa ajabu. Ametahadharisha endapo watu watajenga mazoea dhidi ya kifo, watasababisha mauaji ya binadamu wenzao kwa mzaha. Ametoa wito huo leo Jumamosi Septemba 27, 2025 wakati…

Read More

Mwalimu: Tutaibadili Uyole kuwa kitovu cha biashara Afrika

Mbeya. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, serikali yake itaanzisha mpango kabambe wa kuliboresha eneo la Uyole, mkoani Mbeya. Amesema ataboresha eneo hilo kwa kujenga kituo cha kimataifa kitakachokuwa mfano wa ukaribisho wa Tanzania kwa wageni kutoka…

Read More

NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA WILAYA YA KIGAMBONI.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Dalmia Mikaya  Septemba 26,2025 amepokea vifaa tiba viivyotolewa na benki ya NMB ikiwa ni sehemu ya benki hiyo kurudisha sehemu ya faida yake katika Jamii. DC Dalmia amesema vifaa vilivyotolewa ni pamoja na vitanda vya Wanawake kujifungulia na vitanda vya uchunguzi 20 pamoja na mashine 20 za kusaidia kupumulia kwa…

Read More

MAHAFALI YA 47 YA BODI YA NBAA YAFANA

  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Jenifa Christian Omolo akisoma hotuba yake kwenye mahafali ya 47 ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA). Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA. Prof. Sylvia S. Temu akizungumza kuhusu namna Bodi hiyo ilivyofanikisha kuongeza idadi…

Read More