Ahadi tano za CCM zilizoacha matumaini mikoa ya kusini
Ziara ya mgombea wa urais wa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan katika mikoa ya kanda ya kusini imeacha matumaini kufutia ahadi tano alizozitoa zinazolenga kuchagiza uchumi ya kanda hiyo. Kwa siku sita Samia alipita katika majimbo ya mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara akiinadi ilani ya CCM na kutoa ahadi ambazo Serikali…