
Bocco alamba shavu jeshini | Mwanaspoti
NAHODHA wa zamani wa Simba na Taifa Stars, John Bocco aliyekuwa akikipiga JKT Tanzania katika Ligi ya msimu uliopita, amedaiwa kulamba shavu jipya kwa maafande hao, licha ya kwamba hatakuwa na kikosi hicho katika Ligi Kuu msimu wa 2025-26. Bocco aliyejijengea heshima akiwa na Azam FC aliyoipandisha Ligi Kuu mwaka 2007 na kutwaa nayo mataji…