Bocco alamba shavu jeshini | Mwanaspoti

NAHODHA wa zamani wa Simba na Taifa Stars, John Bocco aliyekuwa akikipiga JKT Tanzania katika Ligi ya msimu uliopita, amedaiwa kulamba shavu jipya kwa maafande hao, licha ya kwamba hatakuwa na kikosi hicho katika Ligi Kuu msimu wa 2025-26. Bocco aliyejijengea heshima akiwa na Azam FC aliyoipandisha Ligi Kuu mwaka 2007 na kutwaa nayo mataji…

Read More

Datius ajipa tumaini Mtibwa | Mwanaspoti

BAADA ya kupewa miaka miwili na Mtibwa Sugar, beki wa kulia Datius Peter amesema klabu hiyo itafufua matumaini mapya kwake ya kuendeleza kipaji alichonacho kwa kucheza soka la ushindani. Peter alijiunga na Mtibwa katika dirisha la usajili kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Kagera Sugar aliyodumu nayo tangu mwaka 2022, ambapo ameiacha baada ya kushuka…

Read More

WIZARA YA FEDHA YAJINOA UTOAJI WA TAARIFA KWA UMMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano ya Wizara ya Fedha ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja akiwataka wajumbe wa Kamati hiyo kushirikiana na Kitengo hicho katika kufanikisha utoaji wa taarifa kwa umma, wakati wa Kikao kazi kilichofanyika jijini Dodoma. Afisa Habari wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara…

Read More

Straika Kagera atimkia Kenya | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Kagera Sugar raia wa Cameroon, Moubarack Amza amekamilisha usajili wa kujiunga na Bandari FC ya Kenya, itakayocheza mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Yanga katika kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ Septemba 12. Nyota huyo atacheza dhidi ya Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, katika tamasha la kikosi hicho…

Read More

Wahamiaji haramu 10,960 wakamatwa wakiingia nchini, RC Mwassa akerwa

Bukoba. Idara ya uhamiaji mkoani Kagera imefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 10,960 wakiingia nchini kinyemela kuanzia Januari hadi Septemba 2025. Akizungumza na Mwananchi Digital, Septemba 3, 2025 ofisa Uhamiaji Mkoa wa Kagera, Mrakibu mwandamizi, Eleneus Kasimbazi amesema idara hiyo ya uhamiaji Mkoa wa Kagera kupitia doria mbalimbali walizozifanya kwenye maeneo muhimu ya mipaka ya nchi jirani…

Read More

Adam apigia hesabu mpya Tabora United

MSHAMBULIAJI wa Tabora United, Adam Adam amesema mashindano ya Tanzanite Pre-Season International Tournament yaliyoandaliwa na Fountain Gate na kufanyika kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati mkoani Manyara, yanawasaidia kuwaweka tayari kimwili na kimbinu kwa ajili ya hesabu mpya za msimu wa Ligi Kuu Bara inayotarajia kuanza Septemba 17. Nyota huyo wa zamani wa Azam, Tanzania…

Read More

Udsm, China waanzisha kituo cha elimu ya kidijitali kwa walimu

Dar es Salaam. Katika kuelekea maendeleo ya elimu kwa kutumia teknolojia ya kidijitali, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm) kwa kushirikina na Chuo Kikuu cha  Zhejiang Normal cha nchini China, wamefungua Kituo cha ushirikiano wa elimu ya kidijitali mahususi kwa ajili ya kuwapatia mafunzo walimu. Kituo hicho kitakachoitwa ‘China-Africa Regional Centre for Digital Education…

Read More