ELIMU YA USALAMA NA AFYA KAZINI YAWAFIKIA WASIOONA PWANI NA DAR
Na Mwandishi Wetu Watu wasioona kutoka mikoa ya Dar es Salaam na Pwani wamenufaika na mafunzoyaliyotolewa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kwa lengo la kuwawezesha kushiriki shughuli za uzalishaji kwa kuzingatia kanuni bora za usalamana afya kazini. Mafunzo hayo ya siku moja ambayo yametolewa kwa wanachama 50 wa Jumuiya yaWasioona…