Ahmed: Simba kesho tunaanza upya

OFISA Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema wana mechi ngumu kesho watakapokutana na timu ambayo haina cha kupoteza, hivyo wapo kwenye wakati mgumu kufikiria nini watafanya ili kuvuka hatua inayofuata. Katika kufikiria huko, Ally amebainisha kwamba, wataingia kwenye mechi hiyo akilini mwao matokeo yakiwa 0-0 licha ya kwamba ugenini walishinda bao 1-0. …

Read More

ADC kutoa mitaji kukuza uchumi wa wajasiriamali

Pemba. Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia  Chama cha Alliency For Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed  amesema  iwapo wananchi  watampa  ridhaa ya kuiongoza Zanzibar, atawasaidia wajasiriamali na vijana kwa  kuwapatia mitaji itakayowawezesha kujiendesha kiuchumi na kukuza kipato chao. Akizungumza na wananchi na wanachama wa chama hicho katika  mkutano wa hadhara uliofanyika  Mtambwe Wilaya ya…

Read More

Richkard azitaka alama tatu Pemba 

Kocha Msaidizi wa Malindi, Mohamed Salah ‘Richkard’ amesema timu hiyo imejipanga vyema kuhakikisha inazipata pointi tatu za kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar. Mechi hiyo itachezwa leo Jumamosi saa 10:15 jioni kwenye Uwanja wa Gombani uliopo Pemba, ambapo Chipukizi itakuwa mwenyeji wa Malindi. Akizungumzia maandalizi ya timu hiyo, Richkard amesema kutumia wachezaji wapya katika mechi hiyo sio sababu…

Read More

Mmomonyoko wa maadili kilio elimu ya juu

Unguja. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel Mushi, amesema kutokana na changamoto ya mmomonyoko wa maadili inayowaathiri vijana wa vyuo vikuu, wanapaswa kupewa uelewa wa namna ya kukabiliana na janga hilo. Amesema hayo leo Jumamosi Septemba 27, 2025 akifunga mkutano wa 43 wa Chama cha Washauri Wanafunzi Tanzania (Taccoga1984), uliofanyika…

Read More

Kocha Gaborone aipiga mkwara Simba

KOCHA wa Gaborone United, Khalid Niyonzima, amesema hawana presha yoyote kuelelea mchezo wa kesho dhidi ya Simba huku akiwahakikishia furaha mashabiki wa timu hiyo. Gaborone United inaingia kwenye mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali itakayochezwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar, ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza nyumbani kwa bao…

Read More

Simba: Kesho tunaanza upya | Mwanaspoti

OFISA Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema wana mechi ngumu kesho watakapokutana na timu ambayo haina cha kupoteza, hivyo wapo kwenye wakati mgumu kufikiria nini watafanya ili kuvuka hatua inayofuata. Katika kufikiria huko, Ally amebainisha kwamba, wataingia kwenye mechi hiyo akilini mwao matokeo yakiwa 0-0 licha ya kwamba ugenini walishinda bao 1-0. …

Read More