Morocco aipania Gaborone, aahidi kuivusha Simba
KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema anatarajia mechi ngumu na ya ushindani lakini wapo tayari kuhakikisha timu hiyo inavuka kwenda hatua inayofuata bila ya kuangalia walichovuna ugenini. Morocco amepewa jukumu la kuiongoza Simba katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana itakayochezwa kesho Jumapili kwenye…