Morocco aipania Gaborone, aahidi kuivusha Simba

KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema anatarajia mechi ngumu na ya ushindani lakini wapo tayari kuhakikisha timu hiyo inavuka kwenda hatua inayofuata bila ya kuangalia walichovuna ugenini. Morocco amepewa jukumu la kuiongoza Simba katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana itakayochezwa kesho Jumapili kwenye…

Read More

TARURA yajenga madaraja nafuu 453 , yaokoa Sh. Bilioni 83

Mhandisi Mshauri wa TARURA Pharies Ngeleja akuzungumza na waandishi wa habari katika banda la TARURA katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi jijini Dar es Salaam. Msimamizi wa Mradi wa Raise unaofadhiliwa na Benki ya Dunia wa TARURA Makao Makuu Ephraim Kalunde kuhusiana mradi huo unavyotekelezwa na kuleta matokeo jijini Dar…

Read More

Jaji amkumbusha DPP kukagua mahabusu za Polisi

Geita. Jaji Griffin Mwakapeje wa Mahakama Kuu, Kanda ya Geita, amemkumbusha Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP), kufanya ukaguzi wa mara kwa mara kwenye mahabusu za Polisi ili kubaini wanaoshikiliwa kinyume cha sheria. Hatua hiyo ni baada ya jaji kubaini mtoto wa marehemu kushikiliwa mahabusu ya Polisi kwa siku 62 bila kuelezwa kosa lake, licha ya…

Read More