CCM YAJA NA SULUHISHO LA KUDUMU LA MAJI ILALA NA SEGEREA

MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema chama hicho kikipewa ridhaa ya kuongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo, kitahakikisha changamoto ya maji katika Wilaya ya Ilala na Jimbo la Segerea inabaki kuwa historia. Amesema azma ya CCM ni kuanzisha mradi mkubwa wa uzalishaji na usambazaji maji…

Read More

DK.SAMIA AAHIDI KUIFUNGUA WILAYA YA KOROGWE KWA BARABARA ZA LAMI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga kuwa Serikali inakwenda kuifungua Korogwe kwa barabara za lami. Ametoa kauli hiyo leo Septemba 30,2025 alipokuwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga ambapo ametumia nafasi hiyo mbali ya kuomba…

Read More

VYUO VIKUU VYA TANZANIA NA CANADA KUJENGA JAMII IMARA DHIDI YA MABADILIKO YA TABIANCHI

Farida Mangube Morogoro Watafiti na Wahadhiri kutoka vyuo vikuu vitano vikiwemo vinne kutoka Tanzania na kimoja kutoka nchini Canada wamekutana mjini Morogoro kwa ajili ya kutafuta suluhu za changamoto zinazochochewa na mabadiliko ya tabianchi, hususan katika sekta za kilimo, afya na upatikanaji wa maji. Akizungumza katika mkutano wa pili wa kisayansi wa ushirikiano kati ya…

Read More

Salumu Mwalimu aahidi neema ya viwanda Morogoro

Morogoro .Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimewataka wananchi wa  Morogoro kujiandaa kunufaika na neema ya sera ya viwanda, kikiahidi kurejesha hadhi ya mkoa huo kuwa kitovu cha viwanda kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu Julius Nyerere. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mlimba, Leo Jumanne Septemba 30, 2025, Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chaumma, Salum…

Read More