Wajasiliamali wachangamkia fursa mkutano wa Samia Mbeya

Mbeya. Wananchi na makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya wamejitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano wa mgombea urais wa Chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Mgombea huyo ambaye pia ni Rais wa sasa, anatarajia kufanya mikutano minne mkoani hapa baada ya kumaliza ziara yake mkoani Songwe jana Septemba 3, 2025. Kiongozi huyo akiwa mkoani…

Read More

Sababu za kushamiri kwa matumizi kadi za kielektroniki nchini

Miaka michache iliyopita, tulipozungumza kuhusu kadi za malipo, wengi tungefikiri kuwa ni kadi ya plastiki inayotolewa na benki inayotumika kutoa pesa kwenye mashine ya ATM au kupangusa kwenye mashine maalum madukani. Lakini taswira hiyo sasa inabadilika kwa kasi. Ongezeko la matumizi ya simu janja limefanya kadi hizo zisiwe tena kipande cha plastiki kinachoweka mfukoni au…

Read More

Equity kushirikiana na TALEPPA kufufua sekta ya ngozi

Dar es Salaam. Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania (TALEPPA), hatua inayolenga kufungua minyororo ya thamani katika sekta ya ngozi na kuchochea mapinduzi ya kiuchumi kupitia uzalishaji wa viatu vya shule. Makubaliano hayo yameambatana na uzinduzi wa Mradi wa Viatu vya Ngozi vya Shule…

Read More

Rais mstaafu ahukumiwa miaka 13 jela kwa ufisadi Peru

Rais wa zamani wa Peru, Alejandro Toledo amehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi minne jela kwa tuhuma za utakatitishaji fedha akiwa madarakani. Toledo (78) anaingia kwenye orodha ya marais wastaafu wengine watano ambao wamehukumiwa kwenda jela kwa tuhuma za ufisadi wakiwa madarakani. Imelezwa kuwa Toledo, aliyekuwa rais kuanzia 2001 hadi 2006, alikutwa na hatia…

Read More

Mkali wa mabao aipa Pamba jeuri

ALIYEKUWA kinara wa mabao wa Kagera Sugar msimu uliopita katika Ligi Kuu Bara, Peter Lwasa amejiunga na kikosi cha Pamba Jiji ya Mwanza kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji ambalo lilionekana kuwa butu. Lwasa raia wa Uganda alimaliza msimu uliopita akiwa na mabaio manane akishika nafasi ya 11 katika orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu…

Read More

Bado Watatu – 18

Jioni ya siku ile nikakutana na Hamisa katika hoteli ya Mtendele. Nilimpigia simu na kumjulisha kuwa tukutane hapo saa moja usiku. Kutoka siku hiyo ndopo tukawa mapenzini na Hamisa. Hamisa alifanikiwa kuharibu akili yangu nikawa kama zezeta. Kwa kuona nilikuwa polisi alinieleza mkasa wake ambao ninataka kukuhadithia kwa vile una fundisho ndani yake.

Read More

Tabora Utd yaitaka nafasi ya Singida BS

ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, uongozi wa Tabora United umesema inataka timu kufanya vizuri zaidi ili kumaliza ligi ndani ya nafasi nne za juu kwenye msimamo tofauti na ilivyokuwa msimu uliopita. Timu hiyo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More