Mmmh! Diarra mtegoni Yanga | Mwanaspoti
KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra ameingia msimu wa tano akiitumikia timu hiyo aliyojiunga nayo msimu wa 2021-2022 akitokea Stade Malien ya Mali, huku akiweka utawala Ligi Kuu Bara na katika klabu hiyo kongwe nchini. Licha ya kuweka utawala huo, lakini anakabiliwa…