Tanzania Prisons, KMC leo patachimbika

BAADA ya kila moja kutoka kupoteza mechi zilizopita za Ligi Kuu Bara, Tanzania Prisons na KMC zinashuka uwanjani kuvaana leo, huku makocha  wakitambiana ili kuepuka aibu mwisho wa msimu. Prisons imepoteza mechi mbili zilizopita mbele ya Coastal Union na Namungo ugenini wakati KMC iliyoanza na ushindi dhidi ya Dodoma Jiji ilipasuka mechi iliyopita mbele ya…

Read More

Bado Watatu – 41 | Mwanaspoti

AFISA upelelezi akauliza kwenye simu:“Natumaini naongea na mstaafu Hashim Malick?”“Hapana. Unaongea na daktari mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza. Mzee Hashim Malick amepata ajali ya gari dakika chache zilizopita. Ameletwa hapa akiwa hajitambui pamoja na dereva wake.”Maelezo hayo yalimshitua afisa upelelezi.“Unasema amepata ajali ya gari?” akauliza.“Ndiyo. Gari lake limegongana na lori la mafuta, kilometa…

Read More

Hekaya za Mlevi: Wapinzani hoyahoya mpaka lini?

Dar es Salaam. Siku moja tulishuhudia mtanange wa soka wa kushangaza sana. Lilikuwa “Ndondo Cup” enzi hizo likipigwa mchangani. Wengine walicheza peku, na timu iliyopungukiwa na jezi ilicheza matumbo wazi. Siku hiyo timu ya kitaani iliyokuwa bingwa mtetezi ilicheza fainali dhidi ya mahasimu wao wakubwa.  Walipokutana hawa ilikuwa kama Simba na Yanga, kitaa kizima kilinuka….

Read More

Ahueni wakulima Kishapu wakikabidhiwa matrekta

Shinyanga.  Wakulima wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekabidhiwa matrekta yenye thamani ya Sh238.4 milioni ili kuondokana na matumizi ya jembe la mkono na kuongeza uzalishaji kupitia kilimo na kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla. Akikabidhi matrekta hayo Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Peter Masindi leo Septemba 26, 2025 amesema hatua hiyo ni chachu ya kuwaletea…

Read More

OMO: Kinachopaswa kufanya na Wazanzibari tutafanya wenyewe

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema Serikali atakayoiunda itahakikisha shughuli zote zinazopaswa kufanywa na Wazanzibari, zinafanywa na wenyewe badala ya wageni. Othman maarufu ‘OMO’ amesema hatua hiyo, itasaidia  faida itakayopatikana kubakia katika mzunguko wa fedha Zanzibar, ili kupunguza ukali na ugumu wa maisha kwa Wazanzibari. Othman amesema…

Read More

KONGAMANO LA TAWEN MBEYA LIMELETA ELIMU NA FURSA

  Mtandao wa Uwezeshaji Wanawake Tanzania (TAWEN) umeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati ya kuwawezesha wanawake na vijana kupitia kongamano kubwa lililofanyika jijini Mbeya, ambapo elimu na fursa mbalimbali ziliwasilishwa kwa washiriki kutoka sehemu tofauti za mkoa huo. Kongamano hilo lilifunguliwa rasmi na Mheshimiwa Solomoni Itunda, Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa…

Read More

PIGABET YAENDELEA KUVUNJA REKODI KWA WASHINDI WA WIKI YA 4

 Dar es Salaam,– Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet inaendelea kutimiza ndoto za wateja wake kupitia kampeni zake kubwa mbili: Shinda Ndinga na Pigabet pamoja na Jismartishe, inayofanyika kwa ushirikiano na Mixx by Yas.   Katika droo ya wiki hii ya Shinda Ndinga, Shafii Kayamba ameibuka mshindi na kujinyakulia simu mpya aina ya Samsung…

Read More