MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AANIKA MAENDELEO LUKUKI YALIYOPATIKANA MTWARA
*Aihitimisha kampeni zake mkoani humo kwa kishindo …wananchi wamuahidi kutiki Oktoba 29 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mtwara. MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM amesema katika miaka mitano iliyopita Mkoa wa Mtwara kwa upande wa huduma za kijamii uwekezaji mkubwa umefanyika kwenye maeneo mbalimbali. Akizungumza leo Septemba 25,2025 katika mkutano wa…