Tabora Utd yaitaka nafasi ya Singida BS

ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, uongozi wa Tabora United umesema inataka timu kufanya vizuri zaidi ili kumaliza ligi ndani ya nafasi nne za juu kwenye msimamo tofauti na ilivyokuwa msimu uliopita. Timu hiyo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

Mkongwe agusia bato jipya Simba

UWEPO wa Moussa Camara kama kipa namba moja ndani ya Simba unaelezwa ni changamoto kubwa anayokwenda kukabiliana nayo, kipa mpya wa kikosi hicho, Yakoub Suleiman aliyetua hivi karibuni akitokea kwa maafande wa JKT Tanzania. Yakoub ambaye ni kipa namba moja wa timu ya taifa, Taifa Stars kwa sasa, ametua Msimbazi sambamba na beki wa kati,…

Read More

Conte amewasikia, atuma salamu ya kibabe

KUMEKUWA na mijadala mbalimbali juu ya kiwango cha kiungo mkabaji mpya wa Yanga, Balla Mousa Conte aliyetua klabuni hapo kutoka CS Sfaxien ya Tunisia, lakini kumbe mwenyewe amesikia kila kitu kinachoendelea na kuamua kutoa kauli ya kibabe akituma salama mapema. Kiungo huyo amesema licha ya presha kubwa ndani ya kikosi hicho hasa eneo analocheza hana…

Read More

Jeshini kuna vita ya majirani CECAFA Kagame Cup

MIAMBA miwili ya soka la Sudan na Somalia, Al-Hilal Omdurman na Mogadishu City, itakuwa vitani leo Alhamisi kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, kutupa karata zao za kwanza katika mashindano ya Kombe la Kagame. Hii ni mara ya kwanza kwa timu hizi kukutana kwenye michuano hiyo mikongwe ya klabu za Afrika Mashariki na Kati,…

Read More

Dk Nchimbi: Tutaimarisha demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari

Shinyanga. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo watasimamia vyema uhuru wa vyombo vya habari. Pia, chama hicho kikipata ridhaa ya wananchi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025 kitasimamia kukuza demokrasia ili Watanzania wafanye siasa bila hofu wala mashaka. Dk…

Read More

Ushuru wa afya ya akili ya Ukraine – maswala ya ulimwengu

Akiongea kutoka mji mkuu Kyiv ambao ulitikiswa na mashambulio mengine mabaya zaidi ya vita wiki iliyopita – na kufuatia kutembelea mkoa wa mbele wa Sumy – Wanawake wa UNMwakilishi wa Ukraine Sabine Freizer bunduki zilizoelezewa Habari za UN Nathalie Minard uchovu wa kihemko na ujasiri ambao alikuwa ameshuhudia. Mahojiano yamehaririwa kwa uwazi. Habari za UN:…

Read More