Profesa Nombo ataja mambo matano kuimarisha elimu Afrika

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo ametaja mambo matano ambayo nchi za Afrika zinapaswa kufanya kuinua sekta ya elimu ikiwemo uimarishaji wa mafunzo ya walimu. Mafunzo hayo ya walimu ni kwenye Tehama na stadi mbalimbali za elimu ili waendane na mabadiliko ya teknolojia na kuandaa wanafunzi…

Read More

CCM yaahidi kuendeleza jitihada kukuza zao la korosho

Mtwara. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendeleza mapinduzi katika sekta ya kilimo, akisisitiza kuwa Serikali imewekeza kwa kiwango kikubwa katika ruzuku ya pembejeo ili kuongeza uzalishaji, hasa wa korosho na mazao mengine kote nchini. Akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 26, 2025 mkoani Mtwara, Samia amesema katika…

Read More