Abbas Mwinyi azikwa Mangapwani, vigogo wahudhuria mazishi

Unguja. Wakati aliyekuwa mgombea ubunge wa Fuoni, Abbas Mwinyi akizikwa, baadhi ya wananchi kisiwani hapa wamemweleza namna ambavyo alikuwa mpole na hakupenda makuu. Abbas ambaye ni kaka wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi alifariki dunia usiku wa kuamkia jana, Septemba 25, 2025 katika Hospitali ya Mkoa Mjini Magharibi Lumumba alipokuwa akipatiwa matibabu na amezikwa…

Read More

Sababu mmoja kati ya wanne kupata mimba utotoni zatajwa

Dodoma. Wakati msichana mmoja kati ya wanne akipata mimba kati ya miaka 15-19, wataalamu wa afya wamesema ukimya wa wazazi, jamii na malezi yasiyofaa ndio chanzo cha wengi kuingia katika janga hilo. Wameeleza kuwa kutokujua ni lini mzazi aanze kuzungumza na kijana wake wa kike, kiume kuhusu afya ya uzazi huchangia mtoto kupata elimu isiyofaa…

Read More

Mgombea ubunge kupambania kuondolewa tozo kwenye mazao

Njombe. Mgombea ubunge wa Njombe Mjini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Sigrada Mligo amesema endapo atachaguliwa atahakikisha anapambania mabadiliko ya sheria ya kodi ya mazao ya kilimo kwa kuwa tozo na ushuru imekuwa kikwazo kikubwa kwa wakulima na wafanyabiashara mkoani Njombe. Mligo ametoa kauli hiyo leo Septemba 26, 2025 wakati akizungumza na Mwananchi…

Read More

Wakili wa hali ya hewa wa UNICEF anawasihi viongozi wa ulimwengu ‘ni pamoja na watoto’ katika majadiliano ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Zunaira, mtetezi wa vijana wa UNICEF, anaongea katika hafla katika Unicef ​​House katika kando ya kikao cha 80 cha Mkutano Mkuu wa UN. Mikopo: Tadej Znidarcic/Unicef na Naureen Hossain (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Septemba 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Septemba 26 (IPS)-Wiki ya Mkutano Mkuu wa UN (22-30 Septemba) imekuwa…

Read More