
Mtoko wa Simba, Yanga 2025-26 uko hivi
POINTI 82 ilizovuna katika mechi 30 ilizocheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 zilitosha kuwafanya Yanga kunyakua ubingwa wa nchi kwa msimu wa nne mfululizo. Katika mechi hizo 30, Yanga iliibuka na ushindi mara 27, ilitoka sare mara moja na kupoteza mbili, huku ikifunga mabao 83 na kufungwa 10, hivyo ilikuwa na chanya…