Mtoko wa Simba, Yanga 2025-26 uko hivi

POINTI 82 ilizovuna katika mechi 30 ilizocheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 zilitosha kuwafanya Yanga kunyakua ubingwa wa nchi kwa msimu wa nne mfululizo. Katika mechi hizo 30, Yanga iliibuka na ushindi mara 27, ilitoka sare mara moja na kupoteza mbili, huku ikifunga mabao 83 na kufungwa 10, hivyo ilikuwa na chanya…

Read More

Ulaji maini kupita kiasi watajwa hatari kwa mjamzito

Geita. Maini ni miongoni mwa vyakula vinavyosifika kwa kuwa na virutubisho vingi muhimu, ikiwemo chuma, protini na vitamini A. Hata hivyo, kwa mama mjamzito, ulaji wa maini kupita kiasi unaweza kusababisha madhara makubwa kwa mtoto tumboni. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), vitamini A aina ya retinol ikizidi mwilini hasa wakati wa ujauzito,…

Read More

Dk Biteko kuongoza waombolezaji maziko ya Askofu Shao

Moshi. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amewasili katika  Usharika wa Lole Mwika, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuungana na mamia ya waombolezaji katika ibada ya  Maziko ya  Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Dk Martin Shao (86). Maziko ya Askofu Shao yanafanyika leo, Septemba…

Read More

Wajasiliamali wachangamkia fursa mkutano wa Samia Mbeya

Mbeya. Wananchi na makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya wamejitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano wa mgombea urais wa Chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Mgombea huyo ambaye pia ni Rais wa sasa, anatarajia kufanya mikutano minne mkoani hapa baada ya kumaliza ziara yake mkoani Songwe jana Septemba 3, 2025. Kiongozi huyo akiwa mkoani…

Read More

Sababu za kushamiri kwa matumizi kadi za kielektroniki nchini

Miaka michache iliyopita, tulipozungumza kuhusu kadi za malipo, wengi tungefikiri kuwa ni kadi ya plastiki inayotolewa na benki inayotumika kutoa pesa kwenye mashine ya ATM au kupangusa kwenye mashine maalum madukani. Lakini taswira hiyo sasa inabadilika kwa kasi. Ongezeko la matumizi ya simu janja limefanya kadi hizo zisiwe tena kipande cha plastiki kinachoweka mfukoni au…

Read More