Fundi wa boli Fountain gate ala kiapo

KIUNGO fundi wa mpira wa Fountain Gate, Elie Mokono aliyeisumbua ngome ya Simba jana usiku kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara amekula kiapo akisema anaamini kikosi chao kitarejea katika mwenendo mzuri kama ilivyokuwa mwanzoni mwa  2024/25. Fountain Gate iliyolazimika kuivaa Simba ikiwa na wachezaji 13 na kupasuka kwa mabao 3-0 awali ilianza msimu kwa kuchapwa…

Read More

Saadun aona mwanga Azam FC

BAO alilofunga mechi ya kwanza ya Ligi Kuu dhidi ya Mbeya City limempa mzuka Nassor Saadun wa Azam aliyesema presha ya namba ndani ya kikosi imekuwa kubwa na kufunga kwake kumemuongezea morali. Saadun aliifungia timu hiyo ilipoibuka na ushindi wa mabao 2-0 jingine likifungwa na Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika mechi iliyopigwa Uwanja wa Azam…

Read More

Polisi yaanza kwa kipigo Zanzibar

UHAMIAJI imejiandikia rekodi ya kuwa timu ya kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar kufunga bao na kupata ushindi ikiwa ugenini huku mchezaji wake akionyeshwa kadi nyekundu. Mechi iliyofanyika Septemba 25, 2025 kwenye Uwanja wa Mao A, Mjini Unguja, dakika 90 zilimalizika kwa Uhamiaji kutoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi iliyopanda daraja msimu huu….

Read More

Watatu walioshtakiwa kwa mauaji akiwemo mtalaka, waachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Morogoro imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kumuua Marietha Petro na kuutelekeza mwili wake kando ya barabara. Watuhumiwa waliokuwa wakikabiliwa na kesi hiyo ni Stanley Winfred, Dabobertus Natalis (ambaye awali alikuwa mume wa Marietha kabla hawajaachana kwa kupeana talaka) pamoja na Magnus Anton. Wote watatu walikuwa…

Read More

AI ikitumika maabara, wataalamu wapewa angalizo

Mwanza.  Chama cha Wataalamu wa Maabara za Afya Tanzania (MeLSAT) kimesema kimeanza kutumia teknolojia ya akili mnemba (AI) katika utekelezaji wa majukumu yake. Hata hivyo, kimesisitiza kuwa wataalamu wake hawawezi kupoteza ajira, bali wataendelea kuwa kiungo muhimu kuhakikisha huduma za afya zinatolewa kwa ufanisi. Akizungumza jijini Mwanza jana Septemba 25, 2025, katika kongamano la 38…

Read More

Simba, Yanga kuna kazi Oktoba 9

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa ratiba ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) itakayoanza kuchezwa kwa mechi za nusu fainali ya Ngao ya Jamii zitakazopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge Dar es Salaam. Timu zilizomaliza nafasi nne katika msimamo wa Ligi ya msimu uliopita ambazo ni bingwa mtetezi JKT Queens, Simba Queens,…

Read More

DIT Yabuni Vifaa Maalum vya Elimu ya Vitendo, “Train Kits”

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) wamebuni vifaa maalum vya elimu ya vitendo vinavyojulikana kama Train Kits, vilivyotengenezwa hapa Tanzania kwa kutumia rasilimali za ndani. Akizungumza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Kitaifa yanayoendelea Ukumbi wa Mlimani City, Hosea Kimaro, mwanafunzi wa DIT na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More

Vijana wasipoandaliwa kidijitali, taifa litaachwa nyuma

Dar es Salaam. Wataalamu wa elimu nchini wamesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kuchukua hatua za haraka na kufikiria upya dhana ya maarifa ya kusoma na kuandika, ili kuendana na mahitaji halisi ya ulimwengu wa kidijitali. Wanasema iwapo taifa linataka kuwaandaa vijana kwa ufanisi kukabiliana na changamoto na fursa za karne ya sasa, basi maarifa hayo…

Read More