DC NYAMWESE ASISITIZA UJENZI WA BWENI UPEWE KIPAUMBELE MRADI WA VETA HANDENI

Na Mwandishi Wetu, Handeni MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amekagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) wilayani humo na kuagiza maboresho mbalimbali kwenye utekelezaji wa mradi huo unaotarajiwa kugharimu Sh.Bilioni 1.6. Miongoni mwa maboresho ni kuangalia namna ya kuhakikisha bweni linajumuishwa katika awamu ya kwanza ya ujenzi, ili wanafunzi waweze kuanza…

Read More

Mgombea udiwani Marangu aahidi kushirikiana na mbunge kuleta maji

Moshi. Mgombea udiwani wa Kata ya Marangu Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Innocent Shirima ameahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi wa kata hiyo, ikiwemo upatikanaji wa maji safi na salama, barabara za ndani pamoja na ajira kwa vijana. Akizungumza leo Septemba 26, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Marangu Mtoni, Shirima amesema changamoto kubwa…

Read More

Mjane Aomba Zuio La Muda – Global Publishers

Alice Hause ambaye ni Mjane wa marehemu Justice Rugaibula leo September 25,2025 amewasilisha maombi madogo Na.24541/2025 katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, akiomba zuio la muda la kutoondolewa kwenye nyumba iliyopo Kiwanja Na.819, Hati Na.49298, Msasani Beach, Dar es salaam. Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano wa Mahakama ya Tanzania,…

Read More

Mpemba alivyomuua mkewe, kumzika chumbani

Morogoro. Wivu wa mapenzi ni jinamizi linalotafuna roho za wapendanao, kauli inayoshabihiana na kilichotokea kwa Mohamed Salahange maarufu Mpemba, aliyemuua mkewe, kisha kuuzika mwili chumbani kwao. Baada ya kuuzika mwili huo, akiwatuma watoto wa mama huyo kuleta mchanga chumbani bila kujua ni kwa ajili ya kumzika mama yao, walihama nyumba na kuifunga hadi siku 81…

Read More

Mke alia mumewe kutoweka katika mazingira tata

Moshi. “Ninamuombea msamaha mume wangu kwa watu wanaomshikilia, naombeni mnisamehe na mimi kama mke wake na muwasamehe watoto niliozaa naye kwa sababu adhabu mnayompa Joseph hata mimi inanipata, tena inanipata zaidi kuliko huyo mnayemshikilia kwa sababu sijui alipo, kwa nini mnatutesa hivi?” Ni kauli ya Rehema Seleman (27), mkazi wa Kata ya Ng’ambo, mjini Moshi…

Read More

Tanzania yasisitiza utatuzi wa migogoro duniani

New York. Tanzania imelaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa, hali inayochochea matumizi ya nguvu kama njia ya kutatua migogoro. Imeeleza kuwa mwenendo huo si tu unadhoofisha juhudi za kimataifa za kudumisha amani na usalama, bali pia unahatarisha maisha ya raia wasio na hatia katika maeneo ya migogoro. Pia, imesisitiza kuwa matumizi ya…

Read More