
Serikali yawasilisha ombi lingine kesi ya Boni Yai, Malisa
Dar es Salaam. Wakati kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni inayomkabili Boniface Jacob maarufu Boni Yai na mwanaharakati Godlisten Malisa, ikisubiri uamuzi wa Mahakama Kuu ili kuendelea na usikilizwaji, Jamhuri imeomba kufanya mabadiliko ya kielelezo katika kesi hiyo. Usikilizwaji bado haujaanza baada ya Jamhuri kukata rufaa Mahakama Kuu kupinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu…