TASAC YAONYA UTUPAJI WA PLASTIKI BAHARINI

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Katika kuadhimisha siku ya usafiri wa majini Duniani,Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetawaka wananchi kupunguza uchafuzi wa plastiki katika bahari na kulinda rasilimali hiyo kwa vizazi vijavyo. Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Mazingira (UNEP) linaonyesha kila mwaka tani milioni 19 hadi 20 za plastiki zinatekezwa baharini…

Read More

DAWASA YAENDELEA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA MAJI DAR NA PWANI

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma ya majisafi ndani ya eneo lake la kihuduma na kuendelea kupita mtaani kujiridhisha upatikanaji wa huduma hiyo kwa Wananchi katika Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano DAWASA, Bi. Everlasting Lyaro ametembelea wateja katika…

Read More

Kuzuia Vita vya Nyuklia, Mwisho wa Silaha za Kumaliza na Kukomesha Silaha za Nyuklia – Maswala ya Ulimwenguni

Amani iko mikononi mwetu. Mikopo: www.nuclearabolitionday.org Maoni na Jackie Cabasso (Oakland, California / Basel, Uswizi) Ijumaa, Septemba 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OAKLAND, California / Basel, Uswizi, Septemba 26 (IPS) – Mnamo 2013, alifadhaika kwa ukosefu wa maendeleo juu ya silaha za nyuklia, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulitangaza Septemba 26 kama…

Read More

Ferry: Hatuna cha kupoteza kesho

Kocha wa Wiliete ya Angola, Bruno Ferry amesema timu yake haina cha kupoteza kwenye mchezo wa kesho ambapo  wataingia na akili ya kubadilisha matokeo. Ferry amesema wanatambua matokeo mabaya waliyoyapata nyumbani kwao ambayo yalitokana na uchanga wa kikosi  kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini wamejipanga kusahihisha makosa. “Baada ya mchezo wa kwanza tuligundua makosa yetu…

Read More

Yanga yashusha jezi mpya kuwakimbia ‘wafyatuaji’

Yanga imesema imeshusha mzigo wa jezi mpya awamu ya pili zitakazokuwa na mabadiliko ili kuwakimbia wahujumu wa mapato wanaofyatua jezi feki. Akizungumzia hilo, Meneja wa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema mwekezaji wa biashara ya jezi za klabu baada ya kumalizika kwa jezi za kwanza ameshtukia uwepo wa uzi feki mwingi sokoni. Kamwe amesema baada…

Read More

Kamwe: Msipoona mafuriko kesho, nipigeni makofi

Msemaji wa Yanga, Ally Kamwe ametoa ahadi nzito kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, akisema kama Yanga isiposhinda kwa kishindo atakubali kupigwa makofi. Akizungumza klabuni hapo, Kamwe amewatoa wasiwasi mashabiki wa timu hiyo wenye wasiwasi na timu yao akisema mfumo uwanjani umeshakubali. Kamwe amesema wameshajaribu kila kitu kuelekea mchezo huo wa marudiano…

Read More

Folz kuwashushia mziki Waangola Kwa Mkapa

KOCHA wa Yanga, Romain Folz amesema kikosi kipo tayari kwa mchezo wa marudiano dhidi ya Wiliete akidai  atawashushia mziki kamili Waangola katika mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Kwa Mkapa, kesho. Akizungumza leo, Folz amesema hana presha na lolote juu ya kikosi chake kwa kuwa kipo njia salama na kwamba…

Read More

Uchaguzi Malawi unavyoacha somo kwa mataifa ya Afrika

Dar es Salaam. Demokrasia ya Malawi imepiga hatua. Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na namna nchi hiyo imekuwa ikisimamia na kuratibu chaguzi zake kwa kuwapa wananchi uhuru na haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka na viongozi kuachiana kijiti bila mivutano. Tangu taifa hilo limepata uhuru wake mwaka 1964, limekuwa likibadilisha viongozi kupitia chaguzi za kidemokrasia ambapo…

Read More

Tanzania yasisitiza utatuzi wa migogoro dunaini

New York. Tanzania imelaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa, hali inayochochea matumizi ya nguvu kama njia ya kutatua migogoro. Imeeleza kuwa mwenendo huo si tu unadhoofisha juhudi za kimataifa za kudumisha amani na usalama, bali pia unahatarisha maisha ya raia wasio na hatia katika maeneo ya migogoro. Pia, imesisitiza kuwa matumizi ya…

Read More