Ecobank Tanzania Yazindua Toleo Jipya la ‘Ellevate’ kwa Kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake

 Ecobank Tanzania imezindua rasmi toleo lililoboreshwa la mpango wake wa “Ellevate by Ecobank”, likiwa na lengo la kuharakisha ujumuishaji wa kifedha na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake wajasiriamali.. Awali, Ellevate ilianzishwa kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs) zinazoongozwa au kumilikiwa na wanawake. Hata hivyo, mpango huu sasa umeboreshwa na kupanuliwa ili kuwafikia wanawake katika…

Read More

Bolt Tanzania Yagawa Discount Inayoitwa “BOLTXSIMBU” Kusherehekea Medali ya Kwanza ya Dhahabu ya Tanzania.

Bolt Tanzania kwa fahari inatangaza kuzindua nambari mpya ya punguzo, SIMBU, kwa heshima ya Alphonce Felix Simbu, aliyefanya historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha. Ushindi wa Simbu umeiweka Tanzania kwenye ramani ya riadha ya kimataifa, sambamba na mataifa yenye nguvu kama Kenya. Huu si ushindi…

Read More

Palestina yabakiza ngazi moja kuwa taifa huru

New York. Upatikanaji wa taifa huru la Palestina umebakiza ngazi moja, baada ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha kwa kura nyingi ‘Azimio la New York’ linalofufua suluhisho la mgogoro wa mataifa mawili – Israel na Palestina. Mkataba wa Montevideo wa mwaka 1933, ndio unaelekeza vigezo vya kutambua taifa huru chini ya sheria ya…

Read More

Mashabiki Simba waibeba adhabu ya CAF

SIMBA inajiandaa kushuka uwanjani keshokutwa dhidi ya Gaborone United ya Botswana katika pambano la marudiano ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika bila mashabiki kutokana na adhabu iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Simba imeadhibiwa na CAF kutokana na matukio ya fujo zilizofanywa kwenye mechi za msimu uliopita za Kombe la Shirikisho…

Read More

Simba yalia na mashabiki, yafafanua adhabu ya CAF

Wakati ikijiandaa kucheza bila mashabiki katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Jumapili, Septemba, 29, 2025 na faini ya Dola 50,000 (Sh123 milioni), Simba imekutana na adhabu mpya kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Adhabu hiyo mpya ni ya faini ya Dola 30,000 (Sh74 milioni) kutokana na…

Read More

Tumaini jipya elimu kuoanishwa Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Wahitimu wa Kitanzania, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakikabiliana na changamoto ya ajira, sasa wanaweza kuzitafuta Kenya,Uganda au kwingineko Afrika Mashariki kutokana na kuwekwa mfumo wa pamoja wa mikopo na vigezo vya pamoja vya masomo. Vivyo hivyo, mwanafunzi aliye katikati ya muhula wa masomo Tanzania anaweza kuhamia chuo kikuu nchini Rwanda au…

Read More

Kauli ya mahakama shauri la mjane Alice kuhusu nyumba

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, Dar es Salaam, imetoa taarifa kuhusu shauri la madai ya ardhi lililofunguliwa na mjane, Alice Haule, kuhusu mgogoro wa nyumba. Septemba 23, 2025 kupitia vyombo vya habari Alice alizungumzia kuhusu uwepo wa shauri hilo kwenye mahakama hiyo, baada ya nyumba yake kuvamiwa na watu waliotoa vitu nje…

Read More