TLP yaahidi wanafunzi kupanda mabasi bure

Dar es Salaam. Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimesema kikipata ridhaa ya wananchi ya kuongoza nchi miaka mitano ijayo, wanafunzi kuanzia elimu ya awali hadi sekondari watasafiri bure kwenye mabasi. Hatua hiyo imeelezwa ni kutokana na tabu wanayopata wanafunzi wanapokwenda shuleni na wanaporejea nyumbani. Ahadi hiyo imetolewa leo Septemba 4, 2025 na mgombea urais…

Read More

Gombo amwaga sera Shinyanga amtaja Mpina, Lisu

Shinyanga. Mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, ameahidi kufuta gharama za matibabu, elimu hadi chuo kikuu, pamoja na mikopo ya watumishi wa umma mara tu atakapochaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akizungumza leo, Septemba 4, 2025, wakati wa kampeni za kuomba kura kwa wananchi zilizofanyika katika Stendi ya…

Read More

NLD yaja na misingi kwa wananchi, ikishinda urais

Tanga. Chama cha National League for Democracy (NLD) kimezindua rasmi kampeni zake na kuwanadi wagombea wa nafasi za urais, ubunge na udiwani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, huku kikieleza dira na misingi sita kitakayotumia katika uongozi wa nchi endapo kitapewa ridhaa na wananchi. Akizungumza katika uzinduzi huo leo Alhamisi Septemba 4, 2025, mgombea…

Read More

OSHA KUIWEZESHA SHULE YA KAMBANGWA VIFAA VYA KUJIFUNZIA

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeahidi kuiwezesha Shule yaSekondari Kambangwa iliyopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam kwa kuipatia vifaa muhimu vya kujifunzia zikiwemo kompyuta, kichapishi (printer) pamoja na kujenga uzio wa shule hiyo. Ahadi hiyo imetolewa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda wakati akihutubia katika Mahafali…

Read More