Ecobank Tanzania Yazindua Toleo Jipya la ‘Ellevate’ kwa Kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake
Ecobank Tanzania imezindua rasmi toleo lililoboreshwa la mpango wake wa “Ellevate by Ecobank”, likiwa na lengo la kuharakisha ujumuishaji wa kifedha na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake wajasiriamali.. Awali, Ellevate ilianzishwa kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs) zinazoongozwa au kumilikiwa na wanawake. Hata hivyo, mpango huu sasa umeboreshwa na kupanuliwa ili kuwafikia wanawake katika…