Coastal Union tatizo lipo hapa tu!

BAADA ya kukusanya pointi tatu na mabao mawili katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara, Kocha wa Coastal Union, Ally Ameir amesema licha ya kuwa na kikosi kizuri, tatizo lipo eneo la ushambuliaji na anatumia muda uliosalia kurekebisha tatizo kabla ya kuvaana na Dodoma Jiji. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara mwaka 1988 ilianza na…

Read More

Bado Watatu – 40 | Mwanaspoti

TUKATOKA pale kituoni na tukachangukana. Mimi na Sufiani tulikodi bajaj tukaenda nyumbani. Kwa vile sote tulikuwa na makosa, hakukuwa na yeyote aliyemlaumu mwenzake.Siku iliyofuata tulikwenda kuandikisha maelezo yetu na hatimaye Raisa alifikishwa mahakamani kwa kosa la kuua. Wakati Raisa anafikishwa mahakamani, mimi na Sufiani tulikuwa tumeshaachana kutokana na tukio hilo. Hatukuwa tukiaminiana tena.Hapo ndipo nilipoamua…

Read More

Unatunzaje kitovu cha mtoto anapozaliwa?

Kitovu cha mtoto mchanga baada ya kuzaliwa ni sehemu nyeti inayohitaji uangalizi wa karibu, ili kuhakikisha mtoto anakua salama bila kupata maambukizi.  Baada ya kuzaliwa na kutenganishwa na kondo la nyuma la mama, kitovu hubaki kikiwa kimefungwa kwa kitambaa maalum au kipande cha plastiki na huchukua siku kadhaa kabla ya kukauka na kuanguka. Mkuu wa…

Read More

Tabia ndogo za afya zinazoweza kuokoa maisha yako

Dar es Salaam. Kila mwaka duniani kote, mamilioni ya watu hufariki kutokana na magonjwa yasiyoambukiza kama vile shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo na saratani. Shirika la Afya Duniani (WHO) linaeleza kuwa takribani watu milioni 41 hufariki kila mwaka kutokana na magonjwa haya, sawa na asilimia 74 ya vifo vyote duniani. Habari njema ni…

Read More

Vyoo vya kukaa raha, usasa lakini hatari

Katika enzi hii ya maendeleo ya kasi, ambapo miji inakua na teknolojia inachanja mbuga, vyoo vya kisasa vya kukaa vimeingia kwa kishindo katika nyumba nyingi za mijini. Vinang’aa, vinaonekana vya kuvutia, na vinatoa hali ya starehe isiyo na kifani. Kwa hakika ni alama ya maisha ya kisasa yenye hadhi. Hata hivyo, chini ya uso huo…

Read More

INEC yaahirisha uchaguzi Fuoni, sababu yatajwa

Dar es Salaam. Kutokana na kifo cha mgombea ubunge wa Fuoni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Abbas Ali Mwinyi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeahirisha uchaguzi wa ubunge katika jimbo hilo hadi pale itakapopanga tarehe nyingine ya uteuzi wa wagombea. Abbas ambaye ni kaka mkubwa wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi,…

Read More

Nchi sita zazikamia Sh35 m Tanzania Open

ZAIDI ya nyota 150 wa gofu kutoka mataifa sita ya kiafrika wanatarajia kushiriki michuano ya wazi ya Tanzania Open 2025, kuwania Sh35 milioni. Nyota hao wanatoka nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Zambia, Malawi na Zimbabwe ambao wamethibitisha ushiriki wao zikiwa zimesalia siku saba kabla ya michuano hiyo itakayoanza Oktoba 2, kwenye viwanja vya Arusha Kili…

Read More