Dk Tulia aahidi kujenga barabara za mitaa kiwango cha lami Uyole
Mbeya. Mgombea ubunge Uyole, Mkoa wa Mbeya, Dk Tulia Ackson amesema endapo akipata ridhaa ataondoa vumbi kwa kuja na mkakati wa ujenzi wa barabara za mitaa kwa kiwango cha lami ili kurahisha shughuli za kiuchumi. Katika hatua nyingine amesema atahakikisha anaondoa changamoto ya tatizo la mgawo wa maji kwa hususani kwa wananchi waishio jirani na…