Majaliwa atoa maagizo nane kwa wizara saba kushughulikia lishe

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameziagiza wizara saba kuhakikisha kila mojawapo inakamilisha majukumu yake katika kushughulikia afua za lishe ili kuondokana na changamoto zilizopo eneo hilo. Majaliwa ametoa maagizo hayo baada ya kuzindua ripoti ya utafiti uliofanyika nchini ukiangazia ‘Gharama za Utapiamlo Katika Pato la Taifa’. Ripoti hiyo imeangazia gharama za…

Read More

Mashabiki wamkataa Folz Mbeya, uongozi wajibu

Baada ya kuibuka na ushindi katika mechi nne mfululizo msimu huu zikiwamo mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga imesimamishwa na Mbeya City kwenye mwendelezo wa Ligi Kuu Bara wakati timu hizo zikishindwa kufungana.  Hii ni mara ya kwanza Yanga inashindwa kupata ushindi baada ya kucheza mechi tano za mashindano msimu huu, huku mashabiki wakimtaka…

Read More

VIWANGO VYA UDUMAVU NA UKONDEVU VIMEPUNGUA NCHINI-MAJALIWA

::::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa kiwango cha udumavu miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano nchini kimeshuka kutoka asilimia 48 mwaka 1992 hadi asilimia 30 mwaka 2022.  Ameongeza kuwa, kiwango cha ukondefu miongoni mwa watoto walio chini ya miaka mitano kimepungua kutoka asilimia 5 mwaka 1992 hadi asilimia 3.2 mwaka…

Read More

DKT. KIMAMBO KUIONGOZA MUHIMBILI KATIKA MABADILIKO MAKUBWA, AAHIDI KUYAFANYA YAWANUFAISHE WANANCHI

::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo, ameeleza kuwa ameingia katika kuongoza hospitali hiyo katika wakati muafaka, kwani amekabidhiwa majukumu yake katika kipindi cha mabadiliko makubwa yanayoendelea nchini, ambayo yamelenga kuboresha hospitali ya MNH pamoja na sekta ya afya kwa ujumla. Akizungumza katika mahojiano maalum na UTV leo, Septemba 30,…

Read More

Warioba: Watanzania endeleeni kuenzi mazuri ya Dk Salim

Dar es Salaam.  Jaji mstaafu Joseph Warioba amewataka Watanzania kuendelea kuenzi mazuri yaliyofanywa na Waziri Mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim ikiwamo kusimamia ukweli, kwa wazalendo kwa nchi, kujali haki za watu na utu. Warioba amesema hayo leo Septemba 30, 2025 katika kongamano la kwanza la kumbukizi ya Dk Salim Ahmed Salim kama mwanadiplomasia aliyefanya…

Read More

INSPEKTA DK ONYANGO APEWA UBALOZI WA AMANI

Mkuu wa Chuo Kikuu cha LeadImpact, Profesa Cletus Bassey (wa pili kulia) akimfalisha joho, Inspekta wa Polisi, Dk. Christina Onyango mara baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) baada ya kuhitimu masomo kwenye Mahafari yaliofanyika katika Kanisa la Maisha ya Ushindi (VLC), Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo Kikuu cha LeadImpact, Profesa Cletus Bassey (wa pili kulia) akimfalisha joho, Inspekta…

Read More

MIXX, TCCIA NA YAS BUSINESS WAUNGANA KUCHOCHEA MAPINDUZI YA MALIPO YA KIDIJITALI

 :::::::::::::: Na Mwandishi Wetu  Kampuni ya huduma za kifedha kwa njia ya simu, MIXX, imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) pamoja na kampuni ya Yas Business, kwa lengo la kuimarisha ujumuishaji wa kifedha kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Makubaliano hayo yanalenga kuwaunganisha wafanyabiashara, wakulima, wanawake na vijana katika…

Read More