
Ujumbe wa Tanzania wavutia wawekezaji mkutano wa Chakula Afrika Senegal
Senegal. Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika, (African Food System Forum 2025) umeendelea leo ijini Dakar Senegal ambapo ujumbe wa Tanzania umekutana na wawekezaji ambao walihitaji kuzisikia fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta kama madini, kilimo, utalii, uvuvi na ufugaji na maeneo mengine ya kibiashara. Akizungumza leo Alhamisi Septemba 4, 2025, Meneja Mtafiti…