DK.SAMIA:ANAKWAMBIA ATALETA MAJI KWANI SIKU ZOTE ALIKUWA WAPI?

*Mwingine anasema atatoa elimu bure…kwani CCM hatujatoa ? Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Lindi MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema kwamba hakuna chama kitakachoweza kwa sasa hivi kulinda na kuinua utu wa Mtanzania kama kama Chama hicho. Dk.Samia ametoa kauli hiyo leo Septemba 25,2025 alipokuwa akihutubia mamia ya wananchi…

Read More

Ahoua aendelea kuitesa Fountain, Sowah kama kawa

KINARA wa upachikaji mabao msimu uliopita, Jean Charles Ahoua ameendelea alipoishia kwa kuitesa Fountain Gate baada ya kufunga na kuasisti Simba ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika Ligi Kuu Bara. Msimu uliopita Ahoua dhidi ya Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC, Simba ikiibuka na ushindi wa 4-0 alifunga bao moja na kutoa pasi mbili…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AWAHAKIKISHIA WANANCHI LINDI KUNUFAIKA NA MRADI GESI YA LNG

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Lindi. MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia amewaambia wananchi wa Mkoa wa Lindi kuwa mradi wa  kuchakata Gesi Asilia (LNG)unaokwenda kuwanifaisha wananchi wote wakiwemo mkoa huo. Dk.Samia ameyasema  leo Septemba 25,2025 mkoani Lindi mkoani Lindi alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi wa katika mkutano wa kuomba kura kuelekea Uchaguzi…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AAHIDI SERIKALII KUJENGA MACHINJIO BORA,MAJOSHO

Na Said Mwishehe,Lindi  MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali itakwenda kujenga majosho na machinjio bora kwa mifugo ili nyama ya Tanzania iwe yenye viwango kutambulika maeneo mbalimbali duniani. Akizungumza na maelfu ya wananchi wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi Dk.Samia ametumia nafasi hiyo kuelezea…

Read More

DK SAMIA ASEMA SERIKALI ITAKAMILISHA MIRADI ILIYOANZISHWA NA ILE ILIYOAHIDIWA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mchinga MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewaambia wananchi wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kuwa  iwapo Chama hicho kitapewa ridhaa kuendesha serikali itakwenda kukamilisha miradi iliyoanzishwa na ile iliyoahidiwa kupitia Ilani ya uchaguzi. Dk.Samia ameyasema hayo  leo Septemba 25,2025 alipokuwa akizungumza na wananchi wa Jimbo la…

Read More

Historia inawabeba, Simba katika hili itavuka

KESHOKUTWA Jumapili, Simba itacheza mchezo wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Simba itakuwa chini ya kocha mkuu wa mpito, Hemed Morocco ambaye ameazimwa kutoka Taifa Stars ili ainoe Simba kutokana na changamoto ambayo imeikuta hivi…

Read More