DK.NCHIMBI AWAOMBA WANANCHI SHINYANGA KUMPIGIA KURA ZA KISHINDO ZA URAIS DKT.SAMIA,WABUNGE NA MADIWANI.

Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi  akiwahutubia Wakazi wa mji mdogo wa Isaka wilayani Kahama, jimbo la Msalala,kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Alhamis Septemba 3,2025,mkoani Shinyanga. Pamoja na mambo mengine Dkt Nchimbi pia aliwanadi wagombea Ubunge,akiwemo Mgombea Ubunge wa Jimbo la Msalala Mabula Johnson Magangila pamoja…

Read More

Rotary yatakiwa kugusa maisha, kujielekeza vijijini

Dar es Salaam. Uongozi na wanachama wa Klabu ya Rotary Club ya Bahari Dar es Salaam wametakiwa kupanua wigo wa huduma zao ili kuwafikia watu wengi zaidi katika sekta mbalimbali nchini. Wito huo umetolewa na Gavana Mkuu wa Rotary anayesimamia Tanzania na Uganda, Christine Kyeyune Kawooya, katika mkutano maalumu na wanachama wa klabu hiyo ambao…

Read More

MWANDISHI WA HABARI AMTABIRIA MAKUBWA DKT SAMIA

Na Rashid Mtagaluka Mwandishi wa habari na mchambuzi wa masuala ya siasa na kijamii nchini, Saleh Mohamed, amesema Tanzania ipo katika njia sahihi ya maendeleo na kwamba miaka mitano ijayo nchi itakuwa imepiga hatua kubwa zaidi chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza Septemba 4, 2025 kupitia mahojiano na Radio Free Afrika jijini…

Read More

Barbara arudi Simba, Mo akijivua uenyekiti wa bodi

Simba imefanya mabadiliko makubwa ya Bodi ya Wakurugenzi baada ya mwekezaji Mohammed Dewji ‘MO’ akijiweka kando, huku akimteua Crescentius Magori kuchukua nafasi hiyo, ilihali CEO wa zamani wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez akirejea klabuni. Mabadiliko hayo ambayo yametangazwa dakika chache zilizopita, MO mbali na Magori aliyewahi kuwa, Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo na mshauri wa…

Read More

Hatari iliyopo watumiaji ‘system charge’ za simu

Shinyanga. Kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni kuhusu ulinzi wa taarifa binafsi duniani, takribani nchi 144 zimepitisha sheria zinazolenga kulinda data binafsi za raia wao. Sheria hizi zinawahusu watu takribani bilioni 6.64, sawa na asilimia 82 ya watu wote duniani. Hii ina maana kuwa karibu asilimia 83 ya watu duniani wapo chini ya sheria…

Read More