Askofu Mkuu Rugambwa anavyokumbukwa Vatican

Dar es Salaam. Kardinali Pietro Parolin, Katibu wa Vatican, ameongoza misa ya kumuombea na kumuaga, Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican. Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa Vatican, vilevile walikuwapo Askofu Mkuu Msaidizi wa Vatican,  Edigar Pena Para, maaskofu wakuu, maaskofu na mapadri katika misa hiyo iliyoadhimishwa leo…

Read More

Kamisheni Bonde la Ziwa Victoria kupata ofisi zake

Musoma. Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), inatarajia kutumia zaidi ya Sh13 bilioni kwenye ujenzi wa jengo la ofisi zake. Hata hivyo, tayari mradi wa ujenzi huo kwa sasa umeshafikia asilimia 99 za utekelezaji wake. Jengo hilo linalojengwa Mjini Kisumu nchini Kenya, litazinduliwa hivi karibuni na marais wa nchi nane za Jumuiya ya Afrika…

Read More

Serikali yaonya utupaji wa plastiki baharini

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Usafiri wa Majini Duniani, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetawaka wananchi kupunguza uchafuzi wa plastiki katika bahari na kulinda rasilimali hiyo kwa vizazi vijavyo. Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Mazingira (UNEP), linaonyesha kila mwaka tani milioni 19 hadi 20 za plastiki zinatekezwa baharini,…

Read More

Mgombea urais Makini aahidi chakula bure kwa wanafunzi

Mbeya. Mgombea urais wa chama cha Demokrasia Makini (Makini), Coaster Kibonde amesema akipata nafasi ya kuongoza nchi, serikali yake itatoa chakula bure kwa wanafunzi wote nchini na kuifuta Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB). Amesema anahitaji kuona mabadiliko katika sekta ya elimu kwa kujenga nchi iliyo na wasomi na wajuzi wenye kujiajiri, kuajiri…

Read More

Dk Tulia aahidi miradi ya kipaumbele Uyole

Mbeya. Mgombea ubunge wa Uyole, Dk Tulia Ackson ameahidi kuchimba visima vikubwa katika kata ya Itezi ili kumaliza adha ya maji kwa wananchi wake ikiwa ni miongoni mwa vipaumbele vyake katika jimbo hilo. Vipaumbele vingine alivyojiwekea Dk Tulia ni pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara na kusimamia utoaji mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana…

Read More

DC KYOBYA AAINISHA VYANZO VYA KODI KILOMBERO

::::::: Kilombero  Mkuu wa wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro Mh. Dunstan Kyobya amesema wilaya anayoiongoza ina vyanzo vingi vya mapato ambavyo vimekuwa vikichangia makusanyo ya Kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa maendeleo ya Taifa. Ameyasema hayo leo tarehe 25.09.2025 wilayani Kilombero alipotembelewa na maofisa wa TRA wanaoendesha zoezi la kutoa elimu ya Kodi…

Read More

Tafiti na masoko ya madini yawapa wachimbaji wadogo fursa ya mikopo

Geita. Uwepo wa tafiti za kijiolojia zinazowawezesha wachimbaji kuchimba maeneo yenye uhakika, pamoja na uanzishwaji wa masoko ya madini yanayohifadhi kumbukumbu za mauzo, umetajwa kuwa kichocheo cha taasisi za fedha kuanza kuwakopesha wachimbaji wadogo. Akizungumza leo Alhamisi, Septemba 25, 2025, kwenye Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani Geita, Mkuu wa…

Read More

Mke adaiwa kujiteka, akishinikiza mume kulipa Sh10 milioni

Mwanza. Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Loveness Kisile (30), mkazi wa Mtaa wa Temeke, jijini Mwanza akituhumiwa kutoa taarifa za uongo kwa askari, ndugu, jamaa na marafiki kuwa ametekwa. ‎Anadaiwa kutoa taarifa kwa mume na ndugu zake kwamba ametekwa na watu watatu waliotaka Sh10 milioni ili wasimdhuru na kuondoa ujauzito aliokuwa nao. Kamanda wa Polisi…

Read More