
Wadau wa kilimo, mashirika ya kimataifa wakutana katika warsha, wajadiliana Dar
Wadau wa sekta ya kilimo kutoka Serikali ya Tanzania, Umoja wa Ulaya (EU), Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), pamoja na wadau wengine kama benki, taasisi za kibiashara, TANTRED na wazalishaji wa viuatilifu wamekutana katika warsha ya Mradi wa Kuimarisha Huduma za Afya ya Mimea na Usalama wa Chakula (STREPHIT) jijini…