TCU YAFUNGUA DIRISHA LA PILI LA UOMBAJI VYUO ELIMU YA JUU

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kufunguliwa kwa awamu ya pili ya udahili wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 kuanzia Septemba 3, hadi Septemba 21 mwaka huu. Pia tume imewasisitiza waombaji ambao hawakuweza kutuma maombi ya udahili ama kudahiliwa katika awamu ya kwanza kutokana na…

Read More

Mido ya boli APR yaanza na moto

KIUNGO mpya wa APR ya Rwanda, Dao Rouaf Memel ameanza na moto kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame baada ya kuibuka mchezaji bora wa mechi dhidi ya Bumamuru wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0, juzi, Jumatano kwenye Uwanja wa KMC. Licha ya mabao ya APR kufungwa na Ouattara Dj dakika ya…

Read More

VIONGOZI AFRIKA MASHARIKI WAAHIDI KUKABILIANA NA UVUVI HARAMU

  Katika kujenga mshikamano wa kikanda, viongozi wa serikali, wataalamu wa masuala ya bahari na uvuvi, viongozi wa jamii na wanaharakati wa uhifadhi wa mazingira ya pwani wameweka saini makubaliano ya kihistoria ya kuimarisha ushirikiano katika mapambano dhidi ya Uvuvi Haramu, Usioripotiwa na Usiodhibitiwa katika maji ya Afrika Mashariki. Makubaliano haya yamefikiwa kupitia Kongamano la Sauti…

Read More

Ushindi wampa jeuri Maximo | Mwanaspoti

KOCHA wa KMC, Márcio Máximo amesema ushindi wa mabao 3-2 walioupata dhidi ya Mlandege katika mechi yao ya kwanza wa mashindano ya Cecafa Kagame ni sehemu ya mchakato wa kukijenga zaidi kikosi hicho. Máximo alieleza alifurahishwa na nidhamu ya wachezaji wake kwa dakika 80 za mwanzo, lakini alikiri dakika 10 za mwisho walipoteza umakini na…

Read More

Magereza Mbeya walivyofanikiwa kuacha kuni, mkaa

Mbeya. Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya limesema tangu kuanza matumizi ya nishati safi, limepata unafuu wa kupunguza gharama, kuokoa muda na kutoa mwanga katika uhifadhi na utunzaji mazingira, huku likieleza mkakati wa kuwafikia wananchi kuondokana na nishati chafu ya kupikia. Mkuu wa Gereza la Ruanda Mbeya, Christopher Fungo anasema tangu mwaka jana, gereza hilo…

Read More

Mtoko wa Simba, Yanga 2025-26 uko hivi

POINTI 82 ilizovuna katika mechi 30 ilizocheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 zilitosha kuwafanya Yanga kunyakua ubingwa wa nchi kwa msimu wa nne mfululizo. Katika mechi hizo 30, Yanga iliibuka na ushindi mara 27, ilitoka sare mara moja na kupoteza mbili, huku ikifunga mabao 83 na kufungwa 10, hivyo ilikuwa na chanya…

Read More