Jumuiya ya Kimataifa kuweka misingi ya utawala wa AI unaohitajika haraka – maswala ya ulimwengu

Uwekezaji, Matarajio na Wasiwasi: Hizi ni tatu kati ya madereva makubwa ya kupendeza katika akili ya bandia na athari zake. Kwa sababu changamoto na fursa ni za ulimwengu, majibu pia yanahitaji kuwa kamili zaidi kuliko suluhisho zilizogawanyika na zilizopigwa ambazo zimetungwa hadi sasa: a Ripoti ya UN kutoka 2024 iligundua kuwa nchi 118 hazikuwa vyama…

Read More

Mwanamama mdau wa Usafiri wa Anga Tanzania Atambuliwa Katika Mkutano wa 42 wa ICAO

  Sekta ya anga ya Tanzania imepata kutambulika kimataifa wiki hii wakati Bi. Rosemary Kacungira, Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Equity Aviation, alipoheshimiwa katika Mkutano wa 42 wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) unaoendelea Montreal, Canada. Bi. Kacungira alionyeshwa katika heshima maalumu ikionesha mafanikio yake wakati wa Kikao cha Ufunguzi cha Mkutano,…

Read More

MSHINDI WA ZIGO LA MWEZI LA PIKU AKABIDHIWA PIKIPIKI

Na Mwandishi Wetu JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandaoni, leo Septemba 25, 2025 limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya tano ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo iliyofanyika Mabibo jijini Dar es Salaam, mshindi wa kwanza Adam Ahmed Adam alikabidhiwa pikipiki mpya aina…

Read More

Samia: CCM ndiyo italinda na kuinua utu wa Mtanzania

Lindi. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesema hakuna chama kitakachoweza kulinda na kuinua utu wa Mtanzania kama chama chake, hivyo ifikapo Oktoba 29 wananchi hawapaswi kufanya makosa. Samia ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jimbo la Mchinga ambapo pamoja na kuomba ridhaa ya urais  alimnadi mgombea ubunge wa jimbo…

Read More

Wanafunzi NM-AIST wabuni roboti la ukaguzi viwandani

Arusha. Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST), wamebuni roboti lenye uwezo wa kukagua chupa za vinywaji katika mchakato wa uzalishaji viwandani. Mashine hiyo iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Profesa Anaeli Sam, Dk Judith Leo na Jared Nganyi, inafanya kazi kwa mfumo wa kunyanyua na kushusha, ikiwa na mkono wa roboti…

Read More

Uhamiaji yafungua Ligi Kuu Zanzibar kwa rekodi mbili

LIGI Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 imeanza leo kwa kufanyika mchezo mmoja huku ikishuhudiwa Uhamiaji ikiweka rekodi mbili. Mechi hiyo iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja, Uhamiaji imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi. Rekodi ya kwanza Uhamiaji imeiweka kupitia mchezaji wake, Mohamed Mussa kufunga bao la kwanza la msimu akifanya…

Read More

Mtibwa Sugar yapeleka mechi zake Jamhuri Dodoma

Kufuatia Uwanja wa Manungu Complex uliopo Morogoro kutokukidhi vigezo vinavyotakiwa ili utumike kwenye michezo ya Ligi Kuu Bara, Mtibwa Sugar imeuchagua Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa mechi za nyumbani za Ligi Kuu Bara. Mtibwa Sugar iliyorejea Ligi Kuu Bara msimu huu, imeanza kwa kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Mashujaa ikiwa ugenini. …

Read More