Folz avunja ukimya Yanga, awajibu mashabiki

YANGA imeanza kwa kishindo Ligi Kuu kwa kushinda mabao 3-0 dhidi ya Pamba Jiji na kuwafanya mashabiki kuifurahia ushindi huo mnono licha ya kutofurahishwa na jinsi timu ilivyocheza, lakini Kocha Romain Folz amewashusha presha, huku akijifungia na mastaa na kuwawashia moto. Watetezi hao wa Ligi Kuu na Kombe la FA, ilipata ushindi huo…

Read More

Sowah aachiwa msala kwa Fountain Gate

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Jonathan Sowah, leo ndiye aliyepewa jukumu la kuongoza mshambulizi ya timu hiyo katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu dhidi ya Fountain Gate inayochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar. Hii ni mechi ya kwanza ya kimashindano kwa Sowah kubebeshwa jukumu hilo, awali alikosa mechi ya Ngao ya…

Read More

Aliyekutwa akisafirisha kokeni jela maisha

Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ,imemuhukumu kifungo cha maisha jela, Hemed Mrisho, maarufu Horohoro baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya kokeni gramu 326.46. Hukumu hiyo ilitolewa Septemba 23, 2025 na Jaji Sedekia Kisanya aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo ya uhujumu uchumi ya mwaka…

Read More

TEC yawapa onyo mapadri, watawa

Dar es Salaam. Kanisa Katoliki nchibni Tanzania limewapiga marufuku watawa, mapadri na waseminari kujihusisha na kampeni za uchaguzi za chama chochote cha siasa, wala kuvaa sare zao ili kulinda heshima na usafi wa kanisa hilo. Wito huo umetolewa leo Septemba 25, 2025 na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa, wakati…

Read More

Mambo yamnyookea Simbu jeshini, sasa ni Sajinitaji

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amempandisha cheo, Sajini Alphonse Simbu kuwa Sajinitaji (Staff Sergeant) baada ya kutwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya dunia ya mbio za marathon ya kilomita 42 yaliyofanyika Tokyo, Japan. Simbu amepandishwa cheo leo, Alhamisi Septemba 25, 2025 katika Makao Makuu ya Jeshi Upanga, jijini Dar es…

Read More

Rekodi idadi ya wanawake wanaoishi katika umbali wa kushangaza wa mizozo ya kijeshi – maswala ya ulimwengu

Wanawake wanasimama katika makazi yaliyoharibiwa ya kuhamishwa huko Khan Younis, Gaza. Mikopo: Kliniki ya UNFPA/Media Maoni na Taasisi ya Utafiti wa Amani Oslo (Oslo, Norway) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OSLO, Norway, Septemba 25 (IPS) – uwanja wa vita sio mbali tena; Kwa mamilioni ya wanawake, ni mlango unaofuata. Takriban wanawake…

Read More

TOTALEENERGIES YATOA ELIMU YA USALAMA BARABARANI KWA MARA YA KWANZA DODOMA

::::::::: Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya TotalEnergies Tanzania, Getrude Mpangile, amesema kampuni hiyo imetoa  Elimu ya usalama barabarani katika Shule ya Msingi Mnadani Septemba 24,2025 ikiwa ni mara ya kwanza kufanyika katika Mkoa wa Dodoma. ‎Amesema elimu hiyo inalenga kuwafundisha watoto sheria na kanuni za usalama barabarani ili waweze kutumia barabara kwa…

Read More