Folz avunja ukimya Yanga, awajibu mashabiki
YANGA imeanza kwa kishindo Ligi Kuu kwa kushinda mabao 3-0 dhidi ya Pamba Jiji na kuwafanya mashabiki kuifurahia ushindi huo mnono licha ya kutofurahishwa na jinsi timu ilivyocheza, lakini Kocha Romain Folz amewashusha presha, huku akijifungia na mastaa na kuwawashia moto. Watetezi hao wa Ligi Kuu na Kombe la FA, ilipata ushindi huo…