Saba waunganishwa kesi bosi wa Jatu, wasomewa mashtaka 37

Dar es Salaam. Watu saba sambamba na  kampuni ya Jatu Public Limited, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 37 yakiwamo ya ubadhilifu wa fedha, kutakatisha fedha na kuisababishia hasara Jatu Saccos ya  Sh3.149 bilioni. Katika mashtaka hayo 37,  32 yanaikabili kampuni ya Jatu Public Limited ambayo ni kutakatisha fedha kwa kujipatia…

Read More

Diarra kweli nimeamini avumae baharini papa

SASA hivi Yanga wanatamba kumchapa mtani wao Simba katika mechi sita mfululizo za mashindano tofauti ambayo ni Ligi Kuu Tanzania Bara na Ngao ya Jamii. Ni haki yao kutamba kiukweli maana hizi ndio timu mbili kubwa na utani wao wa jadi ni wa muda mrefu hivyo unavyompata mwenzako unapaswa utembee kifua mbele haswa maana siku…

Read More

Huwel anusa ubingwa mbio za magari 2025

DEREVA kutoka Iringa, Ahmed Huwel amejiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa taifa wa mbio za magari kwa mwaka huu kutokana na ushindi wake wa zile za Mkwawa zilizomalizika mkoani Morogoro mwishoni mwa juma. Huwel, ambaye alimaliza wa tatu nyuma ya mabingwa wa Afrika; Karan Patel na Samman Vohra, alikuwa ndiye bingwa wa mashindano…

Read More

Nsajigwa asaka rekodi Transit Camp

KOCHA wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’, amesema miongoni mwa malengo yake makubwa na timu hiyo ni kuhakikisha anaipandisha Ligi Kuu Bara, licha ya ushindani mkubwa na makocha wenzake wazoefu katika timu mbalimbali za Championship. Nyota huyo wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Taifa Stars, amejiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya…

Read More

Fei Toto amaliza ukame wa siku 297

KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’, amehitimisha rasmi siku 297 za ukame wa mabao ya Ligi Kuu, baada ya nyota huyo kufunga bao moja katika ushindi wa kikosi hicho wa 2-0, dhidi ya Mbeya City kwenye Uwaja wa Azam Complex. Katika mechi hiyo, Feisal alifunga bao ambalo ni la pili kwa Azam dakika…

Read More

Kipigo chaizindua Pamba Jiji | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana usiku iliendeleza uteja wake mbele ya Yanga kwa kutandikwa mabao 3-0 na kuifanya timu hiyo katika mechi tatu za Ligi Kuu dhidi ya wapinzani wao kufungwa jumla ya mabao 10, kitu kilichomuamsha kocha wa timu hiyo kwa ajili ya mechi zijazo za ligi hiyo. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya…

Read More

Dk Nchimbi: Huduma za afya Kilolo zitaboreshwa

Kilolo. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika miaka mitano ijayo, wanakwenda kuboresha huduma za afya kuwa bora na za kisasa kwa wananchi wa Kilolo, mkoani Iringa. Wakati Dk Nchimbi akiahidi hayo, mgombea ubunge wa Kilolo, Ritha Kabati ameiomba Serikali kuliangalia kwa jicho la kipekee eneo la Mlima…

Read More