
Cecilia Paresso alivyomnadi Samia, Daniel Awack kwa wananchi Karatu
Karatu. Aliyekuwa mbunge wa Viti Maalumu katika Bunge lililopita na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Cecilia Paresso amesema kwa kazi iliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan anastahili kuenziwa kwa kupigiwa kura ya ndio ili aendelee kukamilisha ndoto yake ya kuijenga Tanzania mpya. Paresso, ambaye awali alikuwa mwanachama…