ZAHANATI TATU MPYA KUANZA KUTOA HUDUMA HANDENI MJI

Na Augusta Njoji, Handeni TC HALMASHAURI ya Mji Handeni, mkoani Tanga, imejipanga kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya wananchi, baada ya zahanati tatu mpya kukamilika na kutarajiwa kuanza kutoa huduma mwezi Oktoba mwaka huu. Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Maryam Ukwaju, amesema ujenzi wa zahanati hizo umefanikishwa na serikali kwa kushirikiana na…

Read More

PSPTB YAJIPANGA KUBORESHA UTENDAJI MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Farida Mangube, Morogoro Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi nchini (PSPTB) imeweka mikakati mipya ya kuboresha utendaji wake kwa mwaka wa fedha 2025/2026, baada ya kufanya tathmini ya bajeti na mafanikio ya mwaka uliopita, lengo likiwa kuongeza ufanisi katika sekta ya ununuzi na ugavi. Akizungumza katika kikao kazi cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika mkoani…

Read More

ERB TOENI MOTISHA KWA WAHANDISI: DKT. BITEKO

 :::::::: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuongeza bidii katika kuwapa motisha wahandisi wanaofanya kazi vizuri kwa kuwatambua na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wakati wa utekelezaji wa majukumu yao. Ameeleza hayo Septemba 25, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akifungua maadhimisho ya 22…

Read More

PROGRAMU ZA MAFUNZO KWA VITENDO ZA BARRICK ZAENDELEA KUNUFAISHA WANAFUNZI WA VYUO VYA KATI NA ELIMU YA JUU NCHINI

  Baadhi ya Wanafunzi waliopo kwenye mafunzo  Baadhi ya Wanafunzi waliopo kwenye mafunzo Baadhi ya Wanafunzi waliopo kwenye mafunzo katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Barrick North Mara *** Kutokana na serikali kufungua milango ya wawekezaji wakubwa kwenye sekta mbalimbali nchini na kasi ya mabadiliko ya matumizi ya sayansi na teknolojia kunahitajika jitihada za…

Read More

TADB Yajenga Uelewa na Kusogeza Huduma kwa Wakulima wa Kagera

Katika kuendeleza dhamira yake ya kuchochea maendeleo ya kilimo nchini, Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeendesha semina maalum kwa wakulima wa Mkoa wa Kagera, Wilaya ya Bukoba.  Semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa ELCT, ikiwa ni jukwaa la maarifa lililowakutanisha wakulima takribani 100 kwa lengo la kupata uelewa kuhusu huduma za kifedha zinazotolewa…

Read More

Lina Tour msimu wa nne waanza kurindima leo Morogoro

WACHEZAJI takribani 137 wamejitosa kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa nne yaliyoanza leo kwenye viwanja vya Gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika 2024 yanaendelea tena mwaka huu yakiwa na lengo la kumuenzi mchezaji gofu wa zamani timu ya taifa ya wanawake marehemu Lina Nkya aliyekuwa na…

Read More

Mnigeria aongeza mzuka Mtibwa Sugar

BEKI wa kati wa Singida Black Stars, Mnigeria Victor Chukwuemeka Collins amejiunga na Mtibwa Sugar kwa mkopo wa mwaka mmoja, huku kocha wa kikosi hicho, Awadh Juma ‘Maniche’, akieleza ataongeza ushindani na nyota wengine waliopo kikosini. Collins aliyezaliwa Novemba 2, 2024, katika mji mkuu wa jimbo la Enugu, Nigeria, amejiunga na Singida dirisha kubwa la…

Read More

Stand United yaja na tamasha kusaka mdhamini

Tamasha la Siku ya Wana linatarajiwa kufanyika 0ktoba 04, 2025 likiambatana na michezo mbalimbali, ikiwemo mechi nne za mwanzo huku Stand United ikikabiliana na timu ya Ligi Kuu Bara itakayotajwa hapo baadaye. Akizungumza na vyombo vya habari leo Septemba 25, 2025, mwenyekiti wa tamasha hilo, Chrispin Kakwaya, amesema: “Timu ya Stand United inaadhimisha Tamasha la…

Read More