
RC Malisa aagiza maofisa kusimamia asiyepanda miti 20 kunyimwa kibali cha ujenzi
Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa amewaagiza maofisa mazingira, ardhi na mipango miji kuweka utaratibu mzuri utunzaji wa mazingira na kutoruhusu mtu kujenga pasipo kupanda miti 20 katika maeneo yao. Hatua hiyo imetajwa kuwa sehemu ya kuhamasisha jamii katika utunzaji wa mazingira kwa kutambua ni jukumu la kila mmoja na sio kwa vikundi wala…