Makambo ampa mzuka Fabrice Ngoy

NYOTA wa Namungo, Fabrice Ngoy amesema kucheza timu moja na mshambuliaji mwenzake raia wa DR Congo, Heritier Makambo kunampa motisha kuhakikisha anaendelea kupambana katika kikosi cha kwanza, kila anapopata nafasi uwanjani. Kauli ya Ngoy inajiri baada ya kuongezewa washambuliaji wengine akiwemo Makambo aliyewahi kuichezea Yanga na msimu uliopita alicheza Tabora United (kwa sasa TRA United)…

Read More

Ukosefu wa chakula unaongezeka barani Afrika, ukianguka Amerika ya Kusini na Karibiani – maswala ya ulimwengu

Kuna kupungua kwa wastani kwa njaa tangu 2022. Wakati maendeleo yanaonekana katika Asia na Amerika Kusini, njaa inaongezeka barani Afrika na Magharibi mwa Asia. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Septemba 25 (IPS) – Ripoti ya Usalama wa Chakula na Lishe ya 2025 ulimwenguni…

Read More

Wasira ataja ishara ya ushindi kwa CCM uchaguzi mkuu

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kuwa Watanzania wako tayari kwa uchaguzi na kwamba, idadi wanaoshiriki kwenye mikutano ya hadhara kusikiliza sera za wagombea ni ishara tosha. Ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 25, 2025 wakati wa mkutano wa kampeni kunadi sera za chama hicho, ambapo alikuwa mgeni rasmi. Amesema mikutano…

Read More

ACT yaomboleza msiba wa Abass Mwinyi, yasitisha kampeni

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimesitisha mkutano wa hadhara na ratiba zingine za kampeni zilizopangwa kufanyika leo Alhamisi Septemba 25, 2025 ili kuomboleza msiba wa Abass Ali Mwinyi. Abass ambaye ni kaka mkubwa wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amefariki dunia leo Septemba 25 katika hospitali ya Lumumba mjini Unguja na anatarajiwa kuzikwa kesho…

Read More