Meridianbet Yaisogeza Mtaani Meridian Bonanza

MERIDIANBET imeusogeza kwenu mchezo mpya wa kasino mtandaoni, Meridian Bonanza, ambao tayari unazua shauku kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri. Mchezo huu ni mkubwa, wa kisasa na wenye ubunifu wa hali ya juu, unaokuweka karibu na ushindi wa kusisimua kila unapopiga mzunguko wako. Meridian Bonanza inachagizwa upekee wake kwa kipengele cha Ante Bet. Wachezaji wanapewa…

Read More

Serikali yamaliza mgogoro wa ardhi Shinyanga

Shinyanga. Serikali imesema itatuma timu ya kamishna wa ardhi kwenda wilayani Kahama mkoani Shinyanga ili kuzitambua baadhi ya kaya zilizosahaulika wakati wa tathmini ya umilikishwaji wa ardhi katika eneo la zaidi ya ekari 300 za Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (Mwanva) FDC. Wananchi hao ni wale waliosahaulika kwenye Takwimu zilizotolewa kwa Rais wa awamu ya…

Read More

Gumzo ahadi za wagombea urais, wadau watahadharisha

Dar es Salaam. Wakati kampeni za wagombea nafasi za urais, ubunge na madiwani, zikipamba moto tangu kuanza kwake Oktoba 28, 2025, sera na ahadi mbalimbali zimeendelea kunadiwa majukwaani licha baadhi ya wagombea kuja na ahadi zinazogonga vichwa vya habari hasa ikiangaliwa utekelezaji wake. Vyama 17 kati ya 18 vilivyosaini kanuni za maadili ya Uchaguzi Mkuu…

Read More

Dk Nchimbi aeleza sababu Samia kuwa chaguo sahihi

Itilima. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema kazi kubwa aliyoifanya Mwenyekiti wa chama hicho na Rais Samia Suluhu Hassan inawapa ahueni ya kuomba kura. Aidha Dk Nchimbi amesema Rais Samia ameboresha mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mbalimbali hali inayochagiza kuvutia zaidi uwelezaji. Ameikamilisha miradi ya kimkakati iliyoachwa na…

Read More

CCM KUENDELEA NA KAMPENI SONGWE KESHO

…………. Wananchi na wakereketwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kwa wingi kuonesha imani yao kwa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea kote nchini ambako kesho anatarajia kufanya Kampeni katika mkoa wa Songwe.  

Read More

WAZIRI MKUU AWATAKA MADEREVA WA SERIKALI KUFANYAKAZI KWA WELEDI

……,…… _Asisitiza wajiepushe na tabia zinazoharatisha maisha, mali na siri za Serikali_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa madereva wa Serikali wanawajibu wa kufanya kazi kwa weledi na nidhamu ya hali ya juu ikiwemo ukaguzi wa gari kabla na baada ya safari, kujaza na kutunza kikamilifu taarifa za safari na matengenezo. Amewataka madereva na wasimamizi…

Read More