Meridian Bonanza Imekuja Kuitikisa Dunia ya Kubashiri

MERIDIANBET imezindua Meridian Bonanza kwa kishindo kikubwa, mchezo wa kubashiri wa kisasa unaovunja mipaka ya burudani na ushindi. Ukiwa umeundwa kwa teknolojia ya hali ya juu, Bonanza humweka mchezaji katikati ya tukio, ambapo kila mzunguko hujaa msisimko na matarajio ya ushindi wa kweli. Tofauti na michezo ya kawaida ya kubashiri, Meridian Bonanza inampa mchezaji udhibiti…

Read More

Europa Na Mitanange Ya Kihistoria Usiku Wa Leo

MASHABIKI wa soka duniani leo wanatazamiwa kushuhudia burudani ya hali ya juu katika michuano ya Europa League msimu wa 2025/26, huku viwanja mbalimbali barani Ulaya vikifurika kwa shamrashamra za mechi kali. Timu mahiri zinachuana kwa heshima, pointi na historia, na kwa wale wanaojua kupiga hesabu za ushindi, Meridianbet imeweka odds kubwa na bonanza la kasino…

Read More

BANDA LA DAWASA LAWAVUTIA WENGI SIKU YA WAHANDISI

Wananchi mbalimbali wamejitokeza kwenye banda la maonyesho la Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika maadhimisho ya siku ya Wahandisi Kitaifa yanayoendelea ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Katika Banda la DAWASA wadau wanaojitokeza kupata fursa ya kupata elimu mbalimbali za Mamlaka ikiwemo elimu ya huduma za maji,…

Read More

Rais Mwinyi alivyowasili Unguja baada ya msiba wa kaka yake

Pemba. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameahirisha shughuli zake za kiserikali huko Pemba kutokana na taarifa za kifo cha kaka yake, Abbas Ali Mwinyi, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Lumumba huko Unguja. Abbas ambaye alikuwa mbunge aliyemaliza muda wake na mgombea ubunge katika jimbo la Fuoni, amefariki dunia leo Septemba 25, 2025 wakati akipatiwa…

Read More

MAKINIKIA TANZIA: KAPTENI ABBAS MWINYI KUZIKWA KESHO UNGUJA, RAIS MWINYI ASITISHA ZIARA YAKE YA KAMPENI KISIWANI PEMBA

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia CCM, amewasili Unguja akitokea Pemba kufuatia msiba mzito wa kaka yake, Mhe. Kapteni Abbas Ali Mwinyi, aliyefariki dunia leo tarehe 25 Septemba 2025 katika Hospitali ya Lumumba, Unguja. Marehemu Kapteni…

Read More

HOROHORO JELA MAISHA KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA

Na Mwandishi wetu, Michuzi Tv MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Rushwa na Uhujumu Uchumi, imemuhukumu Hemed Mrisho maarufu “Horohoro” kutumikia kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya cocaine zenye uzito wa gramu 326.46. Aidha, Mahakama imeamuru dawa hizo za kulevya zilizokamatwa ziteketezwe na gari lililotumika…

Read More