RAIS MWINYI: AMANI CHACHU YA MAENDELEO

………. Zanzibar | 02 Septemba 2025 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio makubwa ya maendeleo yaliyopatikana katika uongozi wa Awamu ya Nane yamechangiwa na kudumu kwa amani, mshikamano na utulivu nchini. Akizungumza na jopo la wahariri na waandishi wa habari Ikulu Zanzibar, Rais Dkt. Mwinyi…

Read More

Dk Mwinyi aahidi akiondoka madarakani hataacha madeni serikalini

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, ametaja kinachompa ujasiri wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo ni kutokana na kufungua akaunti maalumu ya kulipa madeni, akisisitiza kuwa iwapo akiondoka madarakani hataacha deni lolote la Serikali. Dk Mwinyi amesema baada ya kuona kuna haja ya kutekeleza miradi kupitia utaratibu wa mikopo, alifungua akaunti maalumu ambayo kila…

Read More

Mgaza atupia mbili Dodoma Jiji ikiibonda Coastal Union

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza, ameendeleza moto wa kucheka na nyavu katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Coastal Union. Mgaza ambaye amefikisha mabao matatu na kuwa kinara wa ufungaji kwenye michuano hiyo, alianza kuziona nyavu za Coastal Union mapema tu dakika ya pili akiitumia vizuri pasi ya…

Read More

Mgombea mwenza Chaumma akerwa utitiri wa kodi, ushuru kwenye mazao, aahidi neema

Morogoro. Mgombea mwenza urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amewahakikishia Watanzania endapo chama hicho kitaingia madarakani kero ya tozo za mazao ya kilimo na utitiri wa kodi kwa wafanyabiashara zitaondolewa. Amesema Serikali ilipaswa kuwawezesha wakulima kwa zana bora za kilimo  na sio kusubiri wakulima kuteseka kulima, kuvuna na baadae kudaiwa ushuru….

Read More

CCM Kinondoni kuanza na makundi kisha kampeni

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, kimesogeza mbele ratiba ya kuanza kampeni zake kikisema kinatoa nafasi ya kuvunja makundi yaliyoibuka kipindi cha kura za maoni. Kampeni rasmi katika majimbo ya Kawe na Kinondoni zinatarajiwa kuzinduliwa rasmi Septemba 13 na 14, 2025, kama sehemu ya maandalizi kuelekea Uchaguzi…

Read More

Mwalimu aahidi utajiri kwa vijana akiingia Ikulu

Tanga. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, atahakikisha vijana wa Kitanzania wanakuwa matajiri kupitia njia halali na endelevu. Ameyasema hayo leo Jumanne Septemba 2, 2025 wakati akihutubia wananchi wa kata za Maramba na Mapatano wilayani…

Read More