MUHIMBILI YAKANUSHA KUWAFUTA KAZI WAFANYAKAZI 200

 :::: Hospitali ya Taifa Muhimbili imekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni kuwa imewafuta kazi wafanyakazi 200 kwa kuwa haina fedha za kuwalipa. Taarifa iliyotolewa na hospitali hiyo imesema hadi kufikia Septemba 25, 2025, ina jumla ya wafanyakazi 4,326 ambapo wenye mikataba ya muda mfupi ni 251. “Tangu Januari hadi Septemba 25, 2025, Hospitali imepokea wafanyakazi wa ajira…

Read More

WAFANYABIASHARA WA MADINI WAHIMIZWA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI

GEITA Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Geita Bi. Eva Ikula amewatakawafanyabiashara wa madini mkoani humo kuzingatia matumizi ya vipimo sahihikatika biashara yao ili kuhakikisha kunakuwa na usawa kwa pande zotezinazohusika na kuepusha upande wowote kupunjika. Ametoa wito huo Septemba 25, 2025 alipozungumza na waandishi wa habarikatika maonesho ya kimataifa ya teknolojia ya…

Read More

RIDHIWANI KIKWETE ASHIRIKI KAMPENI LUGOBA, AAHIDI MAENDELEO JUMUISHI NA USHIRIKIANO WA DHATI

📌Bagamoyo, Pwani 24 Septemba 2025: 🆕Mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete, ameshiriki mkutano mkubwa wa kampeni uliofanyika katika kata ya Lugoba, wilayani Bagamoyo, ambapo alipokelewa kwa shangwe na hamasa kubwa kutoka kwa wananchi wa eneo hilo. Katika mkutano huo uliojaa shamrashamra, Mheshimiwa Ridhiwani aliungana na Diwani wa…

Read More

Bado Watatu – 39 | Mwanaspoti

AMOUR akamuuliza: “Alikwambia ni jambo gani alilolifanya?”Binti akajibu: “Aliniambia, lakini aliniambia iwe siri yangu.”“Sasa ndio ninataka uitoe hiyo siri utuambie.”“Aliniambia kuwa alipokwenda nyumbani kwa Sufiani alimvizia pale ukumbini kwao, akijua atatoka kwenda chooni kwa sababu alikuwa amelewa. Alipomuona anatoka chumbani saa tisa usiku akamnyatia kwa nyuma na kumpiga rungu la kichwa. Shefa akafa hapo hapo.“Sasa…

Read More

NCCR-Mageuzi yaahidi kutumbua mafisadi kikipewa ridhaa

Kibaha. Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Magezi, Haji Khamis ameahidi kusimamia maadili ya uongozi na kuwawajibisha viongozi watakaobainika kutumia ofisi za umma kwa manufaa binafsi, endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu ujao. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika Jumatano Septemba 24, 2025 mjini Kibaha, Khamis amesema moja ya changamoto kubwa nchini ni viongozi wa ngazi za utekelezaji…

Read More

Mambo matatu yaizunguka mechi Simba v Fountain Gate

KUNA mambo matatu yatatazamwa katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayochezwa leo Alhamisi kati ya Simba na Fountain Gate kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kwanza, Fountain Gate inaingia katika mechi hiyo ikiwa na wachezaji 10 tu, kati ya hao makipa ni wawili, hivyo inaweza kutokea yaliyotokea misimu miwili iliyopita wakati Azam ikiikabili…

Read More

Benki zinavyolinda na kuboresha uhai wako

Dar es Salaam. Kwa sehemu kubwa, wengi wetu tunafahamu kuwa jukumu kuu la benki ni kuhifadhi fedha, kutoa mikopo, kusimamia malipo pamoja na kutoa ushauri wa kifedha. Hata hivyo, jambo ambalo wengi hatulifahamu ni kwamba benki hizi sasa zimepewa wajibu mpana zaidi unaogusa moja kwa moja uhai na mustakabali wa kila mmoja wetu. Katika zama…

Read More

Wawili Yanga waomba kumrithi Fadlu Simba

MIONGONI mwa makocha wanaotajwa kutuma maombi ya kazi pale Simba SC kurithi mikoba ya Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco siku chache zilizopita, ni pamoja na Patrick Aussems na Didier Gomes Da Rosa ambao waliwahi kukalia kiti hicho, sambamba na waliowahi kuifundisha Yanga, Luc Eymael na Miguel Gamondi.. Kwa sasa viongozi wa Simba wapo…

Read More