
RAIS MWINYI: AMANI CHACHU YA MAENDELEO
………. Zanzibar | 02 Septemba 2025 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio makubwa ya maendeleo yaliyopatikana katika uongozi wa Awamu ya Nane yamechangiwa na kudumu kwa amani, mshikamano na utulivu nchini. Akizungumza na jopo la wahariri na waandishi wa habari Ikulu Zanzibar, Rais Dkt. Mwinyi…