
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 4, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Msichana mwenye umri wa miaka 14 na ugonjwa wa kupooza kwa ubongo ambaye anategemea kiti cha magurudumu alikuwa kati ya umati wa watu wanaokimbia shughuli za ndege za jeshi la Israeli mashariki mwa Rafah huko Gaza mnamo 13 Oktoba 2023, alisema mjumbe wa kamati Muhannad Salah al-Azzeh, ambaye aliwasilisha ripoti juu ya maeneo ya Palestina…
António Guterres ndiye wa kwanza anayehudumia Katibu Mkuu wa UN kutembelea nchi, ambayo inaadhimisha miaka 50 ya uhuru. Alisifu utofauti wake mkubwa, na lugha zaidi ya 800 zilizozungumzwa na mila nyingi. Kujitolea kwa amani, hadhi na maendeleo “Na bado, una ahadi ya pamoja ya kuongea na sauti moja – kuwa na ‘mazungumzo moja’ – kwa…
NA MWANDISHI WETU MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28,000,000 kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) ambayo inalenga watoto kuanzia umri sifuri hadi miaka minane. Programu hiyo ilizinduliwa rasmi mwaka 2021 ambayo inatekelezwa kupitia afua tano za afya, lishe,…
Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji na Msimamizi Mkuu wa Jubilee Health Insurance, Dk Harold Adamson amesema mageuzi ya kidijitali ndiyo njia sahihi ya kuongeza idadi ya wananchi wanaojiunga na bima ya afya. Vilevile, amesema ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi umesaidia kufanikisha mabadiliko hayo. Dk Adamson amesema ajenda ya afya kwa wote imekuwa msingi…
Arusha. Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Ngarenaro, Mussa Luambano (50) na mlinzi wa shule hiyo, Olais Mollel (33), wakituhumiwa kumfanyia ukatili mwanafunzi wa darasa la saba. Akitoa taarifa leo Septemba 3, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema watuhumiwa wanadaiwa kutumia mnyororo na kufuli, kumfunga mguu…
Shinyanga. Jimbo la Shinyanga Mjini, ni moja kati ya majimbo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yaliyokuwa na mvutano mkali katika mbio za kumpata mgombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Kati ya watinia lukuki waliojitokeza, Patrobasi Katambi na Stephen Masele ndiyo walikuwa katika vuta nikuvute kubwa. Wawili hao, wamekuwa kwenye ‘vita’…
:::::: Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, TALEPPA, kwa lengo la kufungua fursa mpya katika sekta ya ngozi na kuimarisha viwanda vya ndani,Makubaliano hayo yameambatana na uzinduzi wa Mradi wa Viatu vya Shule Tanzania, TALSSI, unaolenga kuongeza thamani ya ngozi ya ndani na kuchochea…
Vyumba viwili vya madarasa shule ya msingi Nyabilezi Shule ya Sekondari Kitela ikiwa ni miongoni mwa miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru Nyumba ya kulala wageni(The Grace Hotel) iliyopo kata ya Bwanga ambayo miongoni mwa miradi itakayowekewa jiwe la msingi na mwenge wa uhuru. ……….. JUMLA ya miradi yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.6 inatarajiwa…
KMC inayonolewa na kocha Marcio Maximo imeanza vyema michuano ya Kombe la Kagame 2025 kwa kuifumua Mlandege ya Zanzibar kwa mabao 3-2. Ushindi huo umeifanya KMC kuwa timu ya kwanza Bara kuzoa pointi zote tatu, baada ya jana Singida Black Stars kubanwa na Coffee ya Ethiopia iliyomaliza pungufu na kutoka suluhu jana kwenye Uwanja wa…