ZEC yaweka wazi watakaopiga kura Zanzibar, 8,325 wakosa sifa

Unguja. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza kuwa jumla ya wapiga kura 717,557 ndiyo walioidhinishwa kushiriki katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, baada ya kukamilika kwa mchakato wa uhakiki wa daftari la kudumu la wapigakura. Akizungumza katika mkutano na wadau wa uchaguzi uliofanyika leo Jumanne, Septemba 30, 2025, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa ZEC,…

Read More

UCSAF kujenga minara mingine 280, lengo ni kuifungua nchi

Dodoma. Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umetangaza kuanza ujenzi wa minara mingine 280 katika awamu ya 10 ili kuifungua Tanzania katika mawasiliano hasa maeneo ambayo yalikosa huduma hiyo. Kabla ya kuanza kwa ujenzi wa minara hiyo, tayari UCSAF imejenga minara 758 ambayo utekelezaji wake upo kwa asilimia 97, hivyo ujenzi wa minara mipya utafikisha…

Read More

OMO kuja na bei elekezi mazao ya viungo

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amewaahidi wakulima wa viungo visiwani humo kuwawekea bei elekezi ili kuwalinda dhidi ya unyonyaji wa madalali na walanguzi. Othman amesema hatua hiyo, itawawezesha pia wakulima hao wa viungo mbalimbali ikiwemo karafuu, vanila na pilipili hoho kupata faida kubwa na kuona tija ya…

Read More

Aina nne za ndege zawania taji la ‘Ndege bora wa mwaka 2026’

Arusha. Aina nne za ndege wanaoishi kwenye nyasi, zimeingia katika kinyang’anyiro cha kuwania taji la ‘Ndege bora wa mwaka 2026.” Wanaogombea taji hilo ni ndege aina ya Mbuni wa Kawaida (Common Ostrich), Kanga Shingo Nyekundu (Red-necked Spurfowl), Korobustadi (Kori Bustard) na Kibibi Ardhi Kusini (Southern Ground Hornbill). Ndege hao wanashindana kumrithi kwezi maridadi (Superb Starling)…

Read More