Elimu ya fedha kupitia maudhui yanayopendwa na wengi
Katika utoaji wa elimu, njia na mbinu za kufikisha ujumbe ni jambo la msingi. Zikitumika ipasavyo, husaidia maarifa kupokelewa kwa urahisi na kueleweka kwa kundi kubwa la watu kwa muda mfupi. Vilevile, katika huduma za kifedha, utoaji wa elimu unapata msisitizo mkubwa kutokana na mabadiliko makubwa yanayoendelea katika sekta hii. Ikiwa elimu ya fedha itafungamanishwa…