Elimu ya fedha kupitia maudhui yanayopendwa na wengi

Katika utoaji wa elimu, njia na mbinu za kufikisha ujumbe ni jambo la msingi. Zikitumika ipasavyo, husaidia maarifa kupokelewa kwa urahisi na kueleweka kwa kundi kubwa la watu kwa muda mfupi. Vilevile, katika huduma za kifedha, utoaji wa elimu unapata msisitizo mkubwa kutokana na mabadiliko makubwa yanayoendelea katika sekta hii. Ikiwa elimu ya fedha itafungamanishwa…

Read More

Kocha Yanga afichua siri nzito, atoa tahadhari

MTAALAMU wa tiba ya mwili kwa njia ya mazoezi (physiotherapist) wa Yanga, Youssef Ammar amesema timu hiyo kwa sasa ina utofauti mkubwa wa ubora na utimamu wa wachezaji na timu nyingine na anaiona ikifanya vizuri msimu huu huku akimtaja Djigui Diarra. Ammar alijiunga na Yanga Agosti 2021 chini ya Nasreddine Nabi pia amefanya kazi na…

Read More

Zingatia haya kabla ya kufanya uamuzi wa kifedha

Kila siku tunafanya uamuzi wa kifedha ambao ni sehemu muhimu ya safari ya kila mtu katika kuendesha maisha na pia kuelekea ustawi wa kifedha. Hata hivyo, watu wengi mara nyingi hupuuzia umuhimu wa kupanga, kufanya utafiti, na kulinganisha watoa huduma au bidhaa kabla ya kufanya uamuzi wa kifedha. Tabia hii inaweza kusababisha matumizi yasiyo ya…

Read More

Malindi ipo tayari kuivaa Chipukizi ZPL

KIKOSI cha timu ya Malindi, leo kinatarajia kusafiri kutoka Unguja kuelekea Pemba kwa ajili ya kucheza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) dhidi ya Chipukizi itakayofanyika Septemba 27, 2025, kwenye Uwanja wa Gombani uliopo kisiwani humo, saa 10:15 jioni. Msafara wa timu hiyo utakuwa na watu 32 wakiwemo wachezaji 22, viongozi saba na…

Read More

KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS DK.SAMIA ZILIVYOMRUDISHA HARMONIZE KWA DIAMOND AKIIMBA NAMLETA RAIS…

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Ruangwa MWANAMUZIKI maarufu katika muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo Fleva Rajabu Ibrahim maarufu Harmonize leo amewapagawisha wana CCM na wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi baada ya kuimba Wimbo wa Namleta Rais ambao ni wa Msanii Nassib Abdull ‘Diamond’ Kwa muda mrefu Harmonize tangu alivyoondoka Lebo ya WCB ya Wasaf inayomilikiwa…

Read More

VIWANDA NA VYUO VIKUU KUUNGANISHWA KWA MAFUNZO YA VITENDO

  KATIKA  kuhakikisha mafunzo ya darasani yanaendana na mahitaji halisi ya soko la ajira, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amekutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Bi. Suzzane Ndomba, kwa mazungumzo ya namna ya kuwawezesha vijana wahitimu kupata mafunzo ya vitendo sehemu za kazi….

Read More

Walinzi wanahitajika haraka kwa AI kwenye uwanja wa vita, anaonya Guterres – maswala ya ulimwengu

© Unsplash/Igor Omilaev Baraza la Usalama la UN linakutana kujadili athari za akili bandia juu ya amani na usalama wa kimataifa. Jumatano, Septemba 24, 2025 Habari za UN Wanadamu hawawezi kuruhusu roboti za muuaji na silaha zingine zinazoendeshwa na AI kuchukua udhibiti wa vita, Katibu Mkuu wa UN aliwaambia mabalozi katika Baraza la Usalama. “Ubunifu…

Read More

NCCR-Magezi yaahidi kutumbua mafisadi kikipewa ridhaa

Kibaha. Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Magezi, Haji Khamis ameahidi kusimamia maadili ya uongozi na kuwawajibisha viongozi watakaobainika kutumia ofisi za umma kwa manufaa binafsi, endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu ujao. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika Jumatano Septemba 24, 2025 mjini Kibaha, Khamis amesema moja ya changamoto kubwa nchini ni viongozi wa ngazi za utekelezaji…

Read More