Hukumu rufaa kesi ya Nyundo na wenzake kusomwa leo

‎Dodoma. Hukumu ya kesi ya rufaa waliyoikata Nyundo na wenzake watatu ya kupinga kifungo cha maisha gerezani inatarajiwa kutolewa kesho Septemba 25, 2025 kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. ‎Nyundo na wenzake watatu walihukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kuwakuta na hatia kwenye mashtaka yaliyokuwa yanawakabili ya kubaka kwa…

Read More

Mwaka 2025 na sura halisi ya mwanawake na uongozi kisiasa

Dar es Salaam. Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka rekodi mpya kwa namna wanawake walivyojitokeza kuwania nafasi za juu za uongozi. Historia hii mpya imeandikwa kutokana na ongezeko la wagombea wanawake wanaowania nafasi mbalimbali zikiwamo za urais sambamba na wagombea wenza. Hatua hii inaonesha mafanikio ya mapambano ya usawa wa kijinsia, demokrasia na mustakabali…

Read More

Hewa yenye sumu katika mji wa bandari wa Tanzania inatishia mamilioni, watafiti wanaonya – maswala ya ulimwengu

Umati wa watu katika kitovu cha biashara cha Kariakoo huko Dar es salaam, ambapo uchafuzi wa hewa umeenea. Mikopo: Kizito Makoye Shigela/IPS na Kizito Makoye (Dar es Salaam, Tanzania) Jumatano, Septemba 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari DAR ES SALAAM, Tanzania, Septemba 24 (IPS) – Siku ya mchana moto huko Kariakoo, kitovu cha biashara…

Read More

DK.SAMIA AMWAGIA SIFA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKIOMBA KURA RUANGWA

*Amshukuru kwa ushirikiano, kujituma,uzalendo wake kwa wakati wote wakifanyakazi pamoja.  *Azungumzia pia maendeleo yaliyopatikana Ruangwa katika miaka mitano iliyopita  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruangwa MGONBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi kwa kumchagua Kassim Majaliwa kuwa mbunge wao kwa kipindi cha miaka 15. Akizungumza…

Read More