
Balozi Nchimbi Ahamasisha Maelfu Kumsapoti Dkt. Samia Itilima – Global Publishers
Itilima, Simiyu – Balozi Emmanuel Nchimbi, Mgombea Mwenza wa CCM, amekutana na maelfu ya wakazi wa Itilima katika mkutano wa hadhara, akizungumza kuhusu Ilani ya CCM ya 2025–2030 na kuhamasisha wananchi kumpa kura za Ndiyo Mgombea Urais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 29 Oktoba 2025. Wakazi wa Itilima wamejitokeza kwa wingi, wakionesha…