Eneo korofi la ‘Kwa Kichwa’ Zingiziwa lakumbukwa

Dar es Salaam. Eneo korofi maarufu ‘Kwa Kichwa’ lililopo Kata ya Zingiziwa, Mtaa wa Ngobedi, Wilaya ya Ilala, limeanza kutengenezwa baada ya muda mrefu kuwa kero kwa wakazi, hasa msimu wa mvua. Kwa muda mrefu eneo hilo limekuwa likijaa maji na kuathiri shughuli za kiuchumi na kijamii, huku wakazi wakishindwa kuvuka na kulazimika kulipa kati…

Read More

WAANDISHI WA HABARI SHINYANGA WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO KATIKA ULINZI WA HAKI ZA BINADAMU

    Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Nyanda Shuli, akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga kuhusu haki na wajibu wao katika kipindi cha uchaguzi.  Na Kadama Malunde – Shinyanga Waandishi wa habari mkoani Shinyanga wametakiwa kuzingatia weledi, maadili na kutokuegemea upande wowote wakati wa kuripoti…

Read More

ONYESHO LA KIHISTORIA LA KUDANSI KUFANYIKA MAKUMBUSHO

Vijana wa Dar es salaam Dances International (DDI) wakifanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi onyesho la kihistoria la kudansi lilotarajiwa kufanyika Katika Ukumbi wa Maonesho wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam (picha na Mussa Khalid) ……………. NA MUSSA KHALID Tamasha la Museum Arts Explosion  kwa kushirkiana na Dar es salaam Dances International (DDI)…

Read More