Tabora United yatangulia nusu fainali kwa kishindo

USHINDI wa mabao 4-0 ilioupata Tabora United dhidi ya Eagle FC, umeifanya timu hiyo kufuzu nusu fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Tabora United imetinga nusu fainali kufuatia kukusanya pointi sita kwenye Kundi A lenye timu tatu baada ya kushinda mechi zote mbili. Katika mchezo uliofanyika leo Septemba 2, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite…

Read More

REKODI UTEKELEZAJI MIRADI SONGWE ZAMBEBA MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN,WANANCHI WANAMSUBIRI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAKATI wa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kufanya mkutano wake wa kampeni kesho Septemba 3,2025 mkoani Songwe ,wananchi wa Mkoa huo wanajivunia mafanikio makubwa waliyopata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake. Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mkutano katika Mkoa wa Songwe akiwa…

Read More

Manyika aingia Namungo na mkakati wa kufuta rekodi mbovu

Rekodi ya Namungo kuwa na wastani wa kuruhusu mabao 30+ katika kila msimu ndani ya misimu sita iliyoshiriki Ligi Kuu Bara tangu 2019-2020, imemfanya kocha wa makipa wa kikosi hicho, Peter Manyika, kuingia na mpango kazi maalum. Manyika amesema katika kuhakikisha lango la timu hiyo linakuwa salama zaidi, anapambana kuwaandaa vijana wake kuwa katika kiwango…

Read More

Kocha Fountain Gate Princess azitaka Simba, Yanga

KOCHA wa Fountain Gate Princess, Noah Kanyanga amesema mikakati ya timu hiyo ni kuhakikisha inarudi kwenye makali yake na kupambania ubingwa mbele ya vigogo Simba Queens na Yanga Princess. Kanyanga aliwahi kuzifundisha Ceasiaa Queens, Mburahati Queens, Gets Program na sasa Fountain Gate aliyoanza nayo mwishoni mwa msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema msimu uliopita haukuwa…

Read More