ELIMU YA KODI MLANGO KWA MLANGO YAWA KIVUTIO MOROGORO

Morogoro, Baadhi ya Walipakodi mkoani Morogoro wameeleza kuvutiwa na elimu ya kodi mlango kwa mlango inayotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kueleza namna linavyowasaidia kutatua changamoto zinazowakabili wakiwa katika maeneo yao ya biashara. Wakizungumza kwa nyakati tofauti walipotembelewa na timu ya kutoa elimu ya kodi mlango kwa mlango mkoani morogoro iliyongozwa na Meneja…

Read More

Zitto aendelea kutangaza neema Kigoma

Kigoma. Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo, mojawapo ya kipaumbele chake cha awali kitakuwa kuboresha miundombinu ya masoko ya jioni yaliyopo katika Kata ya Buhanda, hususan masoko ya Mwansenga na Mgeo. Akizungumza leo Jumatano, Septamba 24, 2025 kwenye mkutano wa…

Read More

Wanawake wa Afghanistan hufa bila sababu baada ya majanga ya asili – maswala ya ulimwengu

Mtetemeko wa nguvu wa ukubwa wa 6.0-ukubwa uligonga mashariki mwa Afghanistan mwishoni mwa tarehe 31 Agosti 2025, na kitovu chake karibu na Jalalabad katika Mkoa wa Nangarhar. Upungufu wa madaktari wa kike waliwaacha wanawake wasiotibiwa kama ushuru wa tetemeko ulivyozidi. Mikopo: UNICEF/Amin Meerzad na chanzo cha nje (Kabul) Jumatano, Septemba 24, 2025 Huduma ya waandishi…

Read More

Chaumma kubinafsisha sekta ya maji, kujenga viwanda vya jipsamu

Same. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devota Minja ameahidi endapo chama hicho kitapewa ridhaa ya kuingia madarakani, kitaibua mageuzi makubwa katika sekta ya maji kwa kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa urahisi kwa Watanzania wote. Akihutubia leo Jumatano Septemba 24, 2025 katika Kata ya Makanya, Wilaya ya Same Magharibi, Minja…

Read More

Wanafunzi msingi wapewa elimu ya usalama barabarani

Dodoma. Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi Mnadani iliyopo Jijini Dodoma wamepewa elimu ya usalama barabarani ili kujilinda na ajali wakati wa kwenda shuleni na kurudi nyumbani. ‎‎Aidha, wanafunzi hao wamefundishwa  alama muhimu za kuvuka barabara kwa usalama ili wasigongwe na magari kutokana na shule yao kupakana na barabara kuu ya kwenda Wilayani Kondoa. ‎‎Wakizungumza…

Read More