UCHAMBUZI WA MALOTO: CUF 2025 inamtoa chozi Seif kaburini, Profesa Lipumba akishika tama

Agosti 31, 2025, Viwanja vya Furahisha, Mwanza, ulifanyika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo. Hali ya mkutano inatafakarisha. Inasikitisha. Mahudhurio ya watu yalikuwa kidogo. Hadhira ilitosha hema moja. Kila kitu kilidhihirisha jinsi chama hicho kilivyo na uhaba wa rasilimali. Mtu mgeni na asiyejua historia, angeadhani…

Read More

Nyaishozi Mfano wa shule Bora zinazotangaza ushirika kielimu

Na Diana Byera,Karagwe Wamiliki wa shule binafsi wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wametakiwa kuzingatia lengo kuu la kuanzisha shule,ambalo ni kutoa huduma ya elimu badala ya kuzigeuza shule hizo kuwa chanzo cha biashara na faida kubwa.  Wito huo umetolewa kufuatia ongezeko la malalamiko kutoka kwa jamii kuhusu gharama kubwa na michango mingi isiyoelezeka katika baadhi ya…

Read More

Nangu, Yakoub wapata warithi jeshini

BAADA ya JKT Tanzania kutangaza kuachana na kipa Yakoub Suleiman na beki Wilson Nangu waliojiunga na Simba, kocha wa timu hiyo, Ahmad Ally amesema ameshapata mbadala wao. Nangu na Yakoub wamesajiliwa Simba kila mmoja akisaini mkataba wa miaka mitatu, jambo ambalo Ally limemfurahisha akiona kwamba vijana wake wamewapa heshima kubwa JKT Tanzania. Alisema katika nafasi…

Read More

Mtumbuka: Ni muda wa kung’ara Tanzania Prisons

BAADA ya kushindwa kung’ara msimu uliopita akiwa na kikosi cha Mashujaa, winga Emmanuel Mtumbuka amesema ni wakati wa kufanya vizuri na kuonyesha uwezo wake baada ya kutimkia Tanzania Prisons ya Mbeya. Mtumbuka aliyedumu Mashujaa kwa mwaka mmoja baada ya kujiunga nayo msimu uliopita akitokea Stand United ya Shinyanga, alishindwa kupata uhakika wa namba na sasa…

Read More

Gamondi autaka ubingwa Cecafa Kagame Cup

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ametangaza kuwa lengo kubwa kwenye michuano ya Cecafa Kagame Cup 2025 ni kuipa timu yake ubingwa akiitumia pia kama sehemu ya maandalizi ya mashindano ya kimataifa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara. Gamondi, aliyewahi kuinoa Yanga, ameanza jana, Jumanne safari yake na Singida kwenye mchezo wa Kundi…

Read More

Bado Watatu – 17

“HEBU eleza tukio lilivyotokea.” Akaniambia kwamba yeye alikuwa muuguzi wa hospitali ya Bombo ambayo ni ya mkoa. Jana yake alikuwa na zamu ya kulala kazini. Lakini aliporudi asubuhi kutoka kazini akakuta wezi wameruka ukuta na kuvunja mlango wa nyuma na kumuibia vitu kadhaa. “Unasema waliruka ukuta wakavunja mlango wa nyuma?” “Ndiyo.” “Wameiba nini?” “Labda niseme…

Read More

Folz ana jambo lake Yanga

YANGA wameliamsha wakianza rasmi leo safari kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi, lakini kule kambini Kocha Romain Folz akipunguza dozi kidogo huku mastaa wa timu hiyo wakipelekwa kambi moja ya jeshi. Takriban wiki mbili nyuma kule kambini, Yanga ilikuwa ni mwendo wa dozi kali za mazoezi yakifanyika mara mbili kwa siku – kama sio kuanzia…

Read More